Hiyo nzuri jirani. Naamini mkiyafanya hayo na sisi tutajitahidi kusonga mbele na si kurudi nyuma.Sawa sawa. Tutajitahidi. Ndio kwanza tumeanza kwa hili..... ila tukiwaoa basi msirud kule kwa wazamani
Sijawahi kukusikia unaongea ongea hovyoMbona unatutukana hivi sisi wanaume?
mtu anaponda single mom na bado hajaoa 🤣🤣 siku anaoa anaoa single mom
Kuna jamaa humu aliomba msamaha alikuwa anaponda single mom mara akaoa alokuwa akiponda
Hapo kwenye paragraph ya mwisho wahanga ni wengi sana.
Kuna demu mmoja tumekuwa nae kitaa kimoja, tangu akiwa mdogo alikuwaga anatamani sana kuzaa na mzungu, yaani yeye ndoto zake alikuwa anasema ni lazima aje kuolewa na mzungu au ikishindikana kuolewa basi hata kuzaa nae tu.
Alikuwa anatamani sana kuwa na biracial child, ukicheki simu yake unakuta amejaza picha za vitoto vizuri vizuri tu kama vile vya Mabeste.
Sasa baada ya kuona hakuna uwezekano wa kumpata mzungu ikabidi ajipachike kwa chalii mmoja wa kiarabu anauza spare parts za piki piki, akajibebesha na mimba kabisa ya yule mwarabu.
Baada ya mwarabu kupewa taarifa za ujauzito alichomwambia yule demu ambaye mimi ni kama dada yangu aende akaitoe ile mimba, akampa na hela kabisa ya kutolea mimba. Yule sister alivyo ambiwa hivyo alimtukana sana yule mwarabu akasema mimba hatoi kama ni kulea atalea mwenyewe na ukawa ndio mwisho wa mahusiano yao.
Baada ya sister kujifungua alimuita yule mwarabu amuone mtoto wake, mwarabu akamwambia hamtambui yule mtoto kama ni wake akampa na vitisho vingi sana.. Sister akakubali yaishe na hakumsumbua tena.
Imepita miaka minne sasa tangu hilo tukio litokee mwarabu alishaoa mwarabu mwenzie wala hana habari na mtoto aliyezaa na sister, na sister nae hana habari na mwarabu kabisa.
Anachojivunia tu sasa hivi huyo dada yangu ni kupata katoto kazuri. Ila ana shida kibao yeye na mwanae, last time nimeenda home nilivyoonana nae aliniomba nimsaidie 50k, nilipojaribu kumuuliza kuhusu baba wa mwanae kama anawajibika akanijibu "hebu naomba usinilize".
Na hawa ndio aina ya single mothers wa miaka ya leo hii, they're the victims of their own stupid mistakes.
Women have normalize rejecting a man cos he doesn’t have a job, as a man you should also normalize rejecting a woman cos she had a kid by another dude.Nawataka single mother
U r born a man...there is no need 2 go up en down wasting u r hard earned resources on saving baby mamas and hoes just so ur male certificate can be validated. Vomit that definition u hear 4rm women what a real man is cos it’s false en rubbish.Single mother atafanya chochote kwako ili akupate na ukishamuoa utaona rangi take halisi.
Kwanini uoe single mother na visichana vimejaa mtaani unachagua tu
The words "Real Man" used to carry weight , until women started using them to lure men into raising fatherless kids.Wanaume wenzako watakuponda mkuu kuhusu ulivyozama kwa single mother jilie mema ya nchi mkuu maisha yenyewe mafupi haya
Ukipendwaa pendeka
Mwanamke akishazalishwa anakua anajituma Sana kwenye mapenzi. Sijui hata kwa Nini.
Men should not care cos the time they cared they told women what they want...which was respect and peace and women didn’t listen.Single mother atafanya chochote kwako ili akupate na ukishamuoa utaona rangi take halisi.
Kwanini uoe single mother na visichana vimejaa mtaani unachagua tu
Nishaipiga chini! Saiv nnachombo mupyaa!tupe mrejesho
vipi virungu?Teh teh teh!
Tafadhali watake radhi single mother maana ni ugonjwa wangu hao[emoji23][emoji23][emoji23]
mzee unakimbia kulipa ada ya watoto wa single mother[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nishaipiga chini! Saiv nnachombo mupyaa!
We acha tuu!mzee unakimbia kulipa ada ya watoto wa single mother[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwanini umtunze mtu wakati mna enjoy wote
Kumbe mwanamke ni bidhaa?starehe gharama...acha kupenda vitu vya bei nafuu