Pongezi kwenu Single Mothers
bAADA YA KUSOMA HIKI kITABU MTAZAMO WANGU KUHUSU SINGLE mOTHERS uMEBADILIKA KABISA. nINAWAPENDA SINGLE MOTHRS WOTE.
download (2).jpg
 
Hapo kwenye paragraph ya mwisho wahanga ni wengi sana.

Kuna demu mmoja tumekuwa nae kitaa kimoja, tangu akiwa mdogo alikuwaga anatamani sana kuzaa na mzungu, yaani yeye ndoto zake alikuwa anasema ni lazima aje kuolewa na mzungu au ikishindikana kuolewa basi hata kuzaa nae tu.

Alikuwa anatamani sana kuwa na biracial child, ukicheki simu yake unakuta amejaza picha za vitoto vizuri vizuri tu kama vile vya Mabeste.

Sasa baada ya kuona hakuna uwezekano wa kumpata mzungu ikabidi ajipachike kwa chalii mmoja wa kiarabu anauza spare parts za piki piki, akajibebesha na mimba kabisa ya yule mwarabu.

Baada ya mwarabu kupewa taarifa za ujauzito alichomwambia yule demu ambaye mimi ni kama dada yangu aende akaitoe ile mimba, akampa na hela kabisa ya kutolea mimba. Yule sister alivyo ambiwa hivyo alimtukana sana yule mwarabu akasema mimba hatoi kama ni kulea atalea mwenyewe na ukawa ndio mwisho wa mahusiano yao.

Baada ya sister kujifungua alimuita yule mwarabu amuone mtoto wake, mwarabu akamwambia hamtambui yule mtoto kama ni wake akampa na vitisho vingi sana.. Sister akakubali yaishe na hakumsumbua tena.

Imepita miaka minne sasa tangu hilo tukio litokee mwarabu alishaoa mwarabu mwenzie wala hana habari na mtoto aliyezaa na sister, na sister nae hana habari na mwarabu kabisa.

Anachojivunia tu sasa hivi huyo dada yangu ni kupata katoto kazuri. Ila ana shida kibao yeye na mwanae, last time nimeenda home nilivyoonana nae aliniomba nimsaidie 50k, nilipojaribu kumuuliza kuhusu baba wa mwanae kama anawajibika akanijibu "hebu naomba usinilize".

Na hawa ndio aina ya single mothers wa miaka ya leo hii, they're the victims of their own stupid mistakes.
Capture.PNG
Capturez.PNG
 
Nawataka single mother
Women have normalize rejecting a man cos he doesn’t have a job, as a man you should also normalize rejecting a woman cos she had a kid by another dude.
 
Single mother atafanya chochote kwako ili akupate na ukishamuoa utaona rangi take halisi.

Kwanini uoe single mother na visichana vimejaa mtaani unachagua tu
U r born a man...there is no need 2 go up en down wasting u r hard earned resources on saving baby mamas and hoes just so ur male certificate can be validated. Vomit that definition u hear 4rm women what a real man is cos it’s false en rubbish.
 
Wanaume wenzako watakuponda mkuu kuhusu ulivyozama kwa single mother jilie mema ya nchi mkuu maisha yenyewe mafupi haya

Ukipendwaa pendeka
The words "Real Man" used to carry weight , until women started using them to lure men into raising fatherless kids.
 
Mwanamke akishazalishwa anakua anajituma Sana kwenye mapenzi. Sijui hata kwa Nini.

Women Don't Want A Good Man Until They Are Damaged. Good Guys Are Never An Option Until A Woman Is Tired Of Being Played. Until She Has Kids With A Guy That Doesn't Want Anything To Do With Her.
 
Single mother atafanya chochote kwako ili akupate na ukishamuoa utaona rangi take halisi.

Kwanini uoe single mother na visichana vimejaa mtaani unachagua tu
Men should not care cos the time they cared they told women what they want...which was respect and peace and women didn’t listen.

Here we are now men are expected 2 save baby mamas en marry whores. Don’t do it guys it’s not ur fault
 
Teh teh teh!

Tafadhali watake radhi single mother maana ni ugonjwa wangu hao[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom