Hahaha, ila ma single mother yanajua mapenzi jamani. Kibuyu kibuyu kweli yaaniWanakuwaga waongo hao, kwa ground ni majibwa koko π€£π€£π€£
Acheni kupotoshaUsijaribu kuoa single mama utateseka maisha yako yote kwanza baba mtoto lazima akuchapie na ukikaa kizembe atoe apo na mtoto
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jada kwa akili hizi ni wewe tu unaeweza kunitoa kwnye kataa ndoaπππ.Mkuu kwani wewe ni mgeni jf mitandaoni humu watu huwa wanatukana ili kutoa stress tu ila wengi hawamaanishi wanayoyaandika, ukisoma maneno ya humu mfano kuhusu kampeni ya kataa ndoa unaweza kudhani ndoa ndio basi tena, ila cha ajabu ndoa bado zinafungwa kila siku na wengi wanaoolewa ndio hao hao wenye hizo tabia mbovu ambazo wanaume wanazilalamikia na kuwatukania wanawake humu kila siku
Yanarun dunia!
Hivi kumbe Bado haujaoa ππJada kwa akili hizi ni wewe tu unaeweza kunitoa kwnye kataa ndoaπππ.
Sijaoa kabisa ila ni kataa ndoa kindakindaki.Hivi kumbe Bado haujaoa ππ
Oohh we endelea kukataa ndoa mkuu, wakati ukifika mbivu na mbichi zitajulikana, Siku hizi wala hamna haja ya kutishana unaacha tu mtu aje ajionee uhalisia mwenyewe ππSijaoa kabisa ila ni kataa ndoa kindakindaki.
Kuzaaa ni kuanza moja! Music ni malezi na makuzi nakuambia utalia na kusaga meno!sasa kama wa kumuoa hamna, ina maana asizae?? huu ni ujinga.
ili usiwe na F upate uwaziri acha kutaniaNjia rahisi ya kuepuka kuwa single maza ni kuacha uzinzi.
Hasara za uzinzi
Unakuwa dumber
Unakuwa na series of mikosi
Magonjwa ya Akili Kama stress ,worry ,fear na depression.
Tulia usubiri kuolewa Kama unaendekeza uzinzi usitegemee huruma Sana Maisha yapo kwa ajili ya watu wenye discipline.
mpaka mdada anafikisha umri huo ujue ni kiburi na jeuri awe na mtoto asiwe na mtoto! na wengi wao ni single mother!Mdada kafikisha miaka 40 bado tu asifanye uzinzi kuogopa kuwa single mother.
Akili mtu wangu