Pongezi kwenu Single Mothers
Leo nataka nitoe somo kwa jamii forum members.
Single maza ni mwanamke aliyezaa na mwanamme ambaye haishi naye as a family... i mean n mwanamk anayeish na watoto/mtoto kwa nyumba. Kuna sababu nying sana zinazosababisha hali kutokea kwa mwanamke... inawezekana ikawa
1. Mwanamme katelekeza family
2. Mwanamme alidate na mwanamke asiyekuwa kweny ndoto zake.
3. Harakat za maisha.. kutokujipanga kwa mwanamme kupelekea mimba zisizotarajiwa.
4. Kuvunjika kwa ndoa kwa sababu tofauti.
Mara nying single maza n mwanamke ambaye anapitia changamoto nying sana... wengen wamekuwa ivyo kwa sababu ya much know wao.. wengne ni kwa sababu ya much know wa mwanamme.
Mapenz ya single maza.
Single maza uwa hawanaga mapenz ya kugandana san.. uwa wameamua kuishi kwa style ya maisha hayo na hawaoni hatari kutembea na mwanamme siku moja na kumpotezea mazima.
Nina experience na single maza weng hawapend shida za mapenz kujirudia maishan mwao...
My take.
Tuwaliwaze single maza ila tuwe makin nao coz weng wana majeraha ya mapenzi...
Sawa boss
 
Inategemea usingle mother ulikujaje either mwanaume aliezaa nae aliamua tu kumwacha labda hata tu kwa kupenda waschana wengine akamwona huyo hafai. You never know mkuu. Mwanamke kuwa single mother lazima kuna reasons nyuma yake.
Tell him boss
 
Nadhani wewe bado ni mtoto hujielewi kabisa
Wakuu za siku nyingi aisee.....
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.......
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia......

Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu........

Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.

Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.....
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu....
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti....

Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers... nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji...
 
Wakuu za siku nyingi aisee.....
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.......
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia......

Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu........

Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.

Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.....
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu....
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti....

Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers... nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji...
Natafuta watu kama hao ukweli siku nikipata lazima nitaoa tu
 
Ndugu, hawa watu siyo wabaya kuoa na hata Mungu anaruhusu jambo hilo, ila tatizo aina ya hawa singo maza tulio nao Leo wenye namba na mawasiliano ya hao wanaowaita washawaumiza kimapenzi na kuwatelekeza ndo shida ya kwanza ilipo.

Pili hiyo familia unailea vipi na hao ndg wa watoto wa uzao wako bila wao kubaguana, hapo sitaki kufafanua ila ugumu utakuja kuuona mwenyewe mbeleni.

NB; ukiwa kama kijana aidha wa kiume/kike epukeni kuwa na mtoto kabla ya ndoa kamili hata kama una uwezo wa kumlea, ni tatizo litakalotafuna maisha yako yote, hakuna mzazi/ndg/rafiki mwenye mapenzi mema atakayekushauri kuoa/kuolewa na single mother/father.
 
Ndugu, hawa watu siyo wabaya kuoa na hata Mungu anaruhusu jambo hilo, ila tatizo aina ya hawa singo maza tulio nao Leo wenye namba na mawasiliano ya hao wanaowaita washawaumiza kimapenzi na kuwatelekeza ndo shida ya kwanza ilipo.

Pili hiyo familia unailea vipi na hao ndg wa watoto wa uzao wako bila wao kubaguana, hapo sitaki kufafanua ila ugumu utakuja kuuona mwenyewe mbeleni.

NB; ukiwa kama kijana aidha wa kiume/kike epukeni kuwa na mtoto kabla ya ndoa kamili hata kama una uwezo wa kumlea, ni tatizo litakalotafuna maisha yako yote, hakuna mzazi/ndg/rafiki mwenye mapenzi mema atakayekushauri kuoa/kuolewa na single mother/father.
Tatizo linakuja kwenye ndugu...
 
Back
Top Bottom