Hizo sifa zifanye kuwa maswali ujijibu mwenyewe
1. Asingekuwa amezaa angekupenda kama ilivyo sasa au kacheza na fursa?
2. Anavojibidua kwenye ngono sasa hivi, angekuwa hajazaa bado nyonyo imesimama angekubidulia?
3. Mawazo anayokupa sasa hiv unayaona productive na unafanikiwa kweli, ingekuwa kipind hana mtoto angekupa uyafanyie kazi ama ni yeye anajiweka safe side zaidi kiuchumi?
4. Sikufundishi namna ya kuishi na mpenzio ila nikushauri tu, Usijimwage hivyo ukijiaminisha kuwa dunia ya mapenzi imeishia hapo.