Pongezi kwenu Single Mothers
vposterior

Pongezi kwako kijana.kama unefanya hivyo ukakimbilia kuandika mtandaoni ile thawabu umeshapata kwetu.ni sawa na kuwapa msaada wahotaji harafu na wandishi wa harabari wapo kuchukua tukoo na kirusha kwenye TV uonekane.hapo thawabu unapewa na watakaokupongeza .msaada wa kweli ni ule wa kimya kimya.maana hapo kuna wengine wanaweza kuja inbox kukulia shida
 
Pongezi kwako kijana.kama unefanya hivyo ukakimbilia kuandika mtandaoni ile thawabu umeshapata kwetu.ni sawa na kuwapa msaada wahotaji harafu na wandishi wa harabari wapo kuchukua tukoo na kirusha kwenye TV uonekane.hapo thawabu unapewa na watakaokupongeza .msaada wa kweli ni ule wa kimya kimya.maana hapo kuna wengine wanaweza kuja inbox kukulia shida
Kwa mujibu wa uislam ni tofauti, kama yeye ni muislam basi thawabu zake anapata kama kawa
 
Safi sana kakaa umefanya vemaa hakika ni mfano wakuigwa


Lakini mimi akinitunuku bilaa kuiomba naichakata kiroho safii
 
Haya ni maneno ya busara.
I will tell you one thing.

Hawa watu wanaosema ni single mother (kwa kuachika) na waume zao ni mashujaa walioamua kulea mimba zao walizopewa na Sisi sisi tunaojifanya malaika. Wanawake wenzao ambao wali-opt kufanya abortion ili tu wasisimangwe ba jamii eti Leo ndio wanaonekana mashujaa. The world is so crazy, no???

Hawa watu wanaosema ni single mothers (kwa kufiwa) na waume zao, hawakupenda kufiwa. Ni mipango ya mungu ila ona jamii yetu Leo ilivyo, inahukumu tu.

To all strong women out there, Mungu anawapigania na hakika hamuwezi kusimangwa na wote. Some of us appreciate and congratulate you for the best decisions you once made in your life.

One love!
 
I will tell you one thing.

Hawa watu wanaosema ni single mother (kwa kuachika) na waume zao ni mashujaa walioamua kulea mimba zao walizopewa na Sisi sisi tunaojifanya malaika. Wanawake wenzao ambao wali-opt kufanya abortion ili tu wasisimangwe ba jamii eti Leo ndio wanaonekana mashujaa. The world is so crazy, no???

Hawa watu wanaosema ni single mothers (kwa kufiwa) na waume zao, hawakupenda kufiwa. Ni mipango ya mungu ila ona jamii yetu Leo ilivyo, inahukumu tu.

To all strong women out there, Mungu anawapigania na hakika hamuwezi kusimangwa na wote. Some of us appreciate and congratulate you for the best decisions you once made in your life.

One love!
Una malezi mazuri sana best.
Hongera kwa waliokupatia hayo malezi.
 
Pongezi kwako kijana.kama unefanya hivyo ukakimbilia kuandika mtandaoni ile thawabu umeshapata kwetu.ni sawa na kuwapa msaada wahotaji harafu na wandishi wa harabari wapo kuchukua tukoo na kirusha kwenye TV uonekane.hapo thawabu unapewa na watakaokupongeza .msaada wa kweli ni ule wa kimya kimya.maana hapo kuna wengine wanaweza kuja inbox kukulia shida
Mda mwengine tunafanya hivi only kuwashawishi wengine but believe me hata mke wangu hajui kama nimetowa huu msaada. Humu natumia fake id so sidhani kama itakuw ninafanya Riya.
 
Sawa mkuu tutaachaa maana naona unatetea wanawake wenzako.. Kuna wengine wanajitakia
 
Nimefikiria kabla ya kuandika lakini nimeona kwa vile hakuna ananijuw itakuw sio najitangaza bali ni kuwashajihisha wengine wawasapoti wajane na single mothers.
You are very right. Extremely right bro.

Jazzakum Llahu khayr
 
Ulifanya jambo la maana Sana!

Utapata mara 100 ya kile ulichokitoa kwa mjane huyo!

Stay blessed Broh.
 
Nasemaje ikome...

Kuzaa azae mwingine kukereka akereke mwingine inahusu? Wameachana, wamekataliwa, wamepata mimba kwenye starehe, wamepata kwa mume wa mtu.its non of your business!

Unakuta mwanaume mzima na kende zako kubwa ka machungwa ya supermarket kutwa umekaa kumsimanga mwanamke kisa kazaa ulitaka awe mgumba?

Kuzaa kazaa yeye, analea mwenyewe.anasomesha mwenyewe ila we kutwa kuongea kinachokukera nini hasa?

Sikiliza nkwambie..mama ni msingi! Msingi wa watoto na familia kwa ujumla. Jiulize kwanini familia nyingi mama akifa familia inayumba sana na kusambarathata?mabalaa hayaishi. Inakosa furaha na uchangamfu kama mwanzo? Mama ni msingi wa malezi mema, ulinzi, furaha, mafanikio, baraka nk. Mama akikosekana watoto wanayumba

Kama msingi wako ulisimama mpaka Leo umekomaa jibaba zima.basi usitikise wa mwenzio tafadhali.yule kichanga ni binadamu mwenzio pia.malezi mema ulopitia nae anayahitaji.

Kama we unavyompenda mamako.nae ana upendo kwa mamake. Kama unavyoombea mamako aishi umri mrefu Nae anatamani kuendelea kumuona. Inashangaza mwanamke tangu ana mimba mpaka anajifungua ni maneno tu masimango tu mpaka wanakua frustrated, wana huzuni, wanaweza pata hata magonjwa ya moyo kama si kujikaza.

Kama unavyouheshimu msingi wako.uheshimu wa mwenzio. Kama unavyoupenda wako, nae anaupenda wake. Kama hupendi kuona wako ukitikiswa tena ukiwa tayari umekomaa usitikise wa mwenzako ambae bado hata hajakomaa na anauhitaji kwa asilimia kubwa kuliko wewe.

Nadhani nimeeleweka

FB_IMG_1569158628586.jpeg
 
Back
Top Bottom