Pongezi kwenu Single Mothers
Hii ni sawa na kutuambia mwizi asisemwe kwa tabia yake ya wizi, muongo vivyo hivyo,muuaji kadhalika kitu ambacho siyo sawa lazima wasemwe ili hii tabia ya kuzaa nje ya ndoa ambayo kwa jina moja inaitwa uzinzi iishe kabisa kwa hiyo usizuie watu kukemea maovu

Bro wewe hujawahi kuzini?

Hapo ulipo huenda una mademu si chini ya watatu na bado unanunua malaya.

Ila upo mstari wa mbele kabisa kuwasema dada zetu.
 
Nasemaje ikome..
Kuzaa azae mwingine kukereka akereke mwingine inahusu?
Wameachana,wamekataliwa,wamepata mimba kwenye starehe,wamepata kwa mume wa mtu.its non of your business!
Unakuta mwanaume mzima na kende zako kubwa ka machungwa ya supermarket kutwa umekaa kumsimanga mwanamke kisa kazaa..ulitaka awe mgumba?
Kuzaa kazaa yeye,analea mwenyewe.anasomesha mwenyewe..ila we kutwa kuongea.kinachokukera nini has a?
Sikiliza nkwambie..mama ni msingi!
Msingi wa watoto na familia kwa ujumla.
Jiulize kwanini familia nyingi mama akifa familia inayumba sana na kusambarathata?mabalaa hayaishi.
Inakosa furaha na uchangamfu kama mwanzo?
Mama ni msingi.wa malezi mema,ulinzi,furaha,mafanikio,baraka nk.
Mama akikosekana watoto wanayumba
Kama msingi wako ulisimama mpaka Leo umekomaa jibaba zima.basi usitikise wa mwenzio tafadhali.yule kichanga ni binadamu mwenzio pia.malezi mema ulopitia nae anayahitaji.
Kama we unavyompenda mamako.nae ana upendo kwa mamake..
Kama unavyoombea mamako aishi umri mrefu Nae anatamani kuendelea kumuona.
Inashangaza mwanamke tangu ana mimba mpaka anajifungua ni maneno tu.masimango tu.mpaka wanakua frustrated, wana huzuni,wanaweza pata hata magonjwa ya moyo kama si kujikaza.
Kama unavyouheshimu msingi wako.uheshimu wa mwenzio,
Kama unavyoupenda wako,nae anaupenda wake.
Kama hupendi kuona wako ukitikiswa.tena ukiwa tayari umekomaa..usitikise wa mwenzako ambae bado hata hajakomaa na anauhitaji kwa asilimia kubwa kuliko wewe.
Nadhani nimeelewekaView attachment 1214001
nimegundua kwanini jamaa alikuzalisha alafu akakukimbia unakiburi sana chakujiona wewe ndo kila kitu
 
Kinachowapa jeuri ya kumsimanga ni ule uthibitisho (mimba). Kama uzinzi mbona wengi wanafanya kila haijulikani?

Una udhuru gani wa kumsimanga mwenzio kwa kilekile unachofanya?
Hii ni sawa na kutuambia mwizi asisemwe kwa tabia yake ya wizi, muongo vivyo hivyo,muuaji kadhalika kitu ambacho siyo sawa lazima wasemwe ili hii tabia ya kuzaa nje ya ndoa ambayo kwa jina moja inaitwa uzinzi iishe kabisa kwa hiyo usizuie watu kukemea maovu
 
wao wenyewe wamekwambia hawapendi wanachofanyiwa?
Na kama umeanzisha uzi huu kisa haupendi wakisemwa kwa nini na sisi tusianzishe uzi kwa tusichokipenda ambacho ni nyie singo maza?
Kwa hiyo unasapoti hii tabia?
 
Hii ni sawa na kutuambia mwizi asisemwe kwa tabia yake ya wizi, muongo vivyo hivyo,muuaji kadhalika kitu ambacho siyo sawa lazima wasemwe ili hii tabia ya kuzaa nje ya ndoa ambayo kwa jina moja inaitwa uzinzi iishe kabisa kwa hiyo usizuie watu kukemea maovu

Tatizo hapo ni kuzini au kuzaa? Tatizo wanadamu tunaishi kwa kuogopa wanadamu wenzetu dhambi ikileta matokeo yanayoonekana ndio inaitwa dhambi mijitu inaanzisha kila siku thread za kuzini na kuhamasisha uzinzi mbona hamkemei?

Hata kanisani watu wanaamkia kwa mabwana zao wanaenda kuimba kwaya ila siku wakipata mimba wenyewe wanajisogeza nyuma hadi warudishwe kundini ndio wanaendelea na maisha ya kawaida ya kikristo, wakati huo mtu amekuwa akizini miaka nenda rudi ila kwa vile dhambi yake haijadhihirika mbele ya mwanadamu basi burudani tu.
 
Kwa hiyo unasapoti hii tabia?
nasupport kuwasema hapa jukwaani ilikukemea huu ujinga wa kuasingle maza ..wewe mtu hajakuoa unazaanae watu wamaana wenye nia ya kuoa unawakataa alafu ukikimbiwa ukaachiwa mtoto unalialia.
NOTE: with exception ya wanaokimbiwa wakiwa ndani ya ndoa ambao ni asilimia chache sana au wanaofiwa na waume zao

Tunawaambia haya sio kwamba hatuwapendi bali ni ukweli tunaletewa mizigo nyumbani for instance mimi wadogo zangu wawili wakike ni single maza nnaona wanavyokiwa mzigo unategemea tutetee huu upuuzi
 
Back
Top Bottom