Mbotech
Member
- Aug 23, 2019
- 81
- 79
Uyo ni single maza suguKuna single maza hapa jirani,naona amebeba nyingine[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo ni single maza suguKuna single maza hapa jirani,naona amebeba nyingine[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweli.hilo kundi la kwanza ndo wahanga wakuu.wanapata wakati mgumu sana.Single mother 70% nizao la wanaume wazembe,wavivu,waoga,wanapenda sana NGONO lakini wanaogopa MAJUKUMU.
30% ni wao wenyewe wanawake wanajitakia.
Kwa kifupi tatizo la single mother linatokana na kizazi cha vijana wakiume wasiopenda kuwajibika,lakini ni mabingwa wa kufanya ngono.
Mkiwa mnawasema msiwaache wanaume walowapachika..maana kama umalaya wameshirirki kwa pamojaBado hatujasikia. Kinachofanyika hapa ni kuhalalisha kitu ambacho si sahihi kuwa sahihi.
Single mother ambao hawapaswi kusemwa ni wajane na wale ambao ndoa zimevunjika/wametengana kwa sababu moja au nyingine.
Ila danga kuwa single mother lazima tuwaseme tu.
Sawa Single MamaNasemaje ikome..
Kuzaa azae mwingine kukereka akereke mwingine inahusu?
Wameachana,wamekataliwa,wamepata mimba kwenye starehe,wamepata kwa mume wa mtu.its non of your business!
Unakuta mwanaume mzima na kende zako kubwa ka machungwa ya supermarket kutwa umekaa kumsimanga mwanamke kisa kazaa..ulitaka awe mgumba?
Kuzaa kazaa yeye,analea mwenyewe.anasomesha mwenyewe..ila we kutwa kuongea.kinachokukera nini has a?
Sikiliza nkwambie..mama ni msingi!
Msingi wa watoto na familia kwa ujumla.
Jiulize kwanini familia nyingi mama akifa familia inayumba sana na kusambarathata?mabalaa hayaishi.
Inakosa furaha na uchangamfu kama mwanzo?
Mama ni msingi.wa malezi mema,ulinzi,furaha,mafanikio,baraka nk.
Mama akikosekana watoto wanayumba
Kama msingi wako ulisimama mpaka Leo umekomaa jibaba zima.basi usitikise wa mwenzio tafadhali.yule kichanga ni binadamu mwenzio pia.malezi mema ulopitia nae anayahitaji.
Kama we unavyompenda mamako.nae ana upendo kwa mamake..
Kama unavyoombea mamako aishi umri mrefu Nae anatamani kuendelea kumuona.
Inashangaza mwanamke tangu ana mimba mpaka anajifungua ni maneno tu.masimango tu.mpaka wanakua frustrated, wana huzuni,wanaweza pata hata magonjwa ya moyo kama si kujikaza.
Kama unavyouheshimu msingi wako.uheshimu wa mwenzio,
Kama unavyoupenda wako,nae anaupenda wake.
Kama hupendi kuona wako ukitikiswa.tena ukiwa tayari umekomaa..usitikise wa mwenzako ambae bado hata hajakomaa na anauhitaji kwa asilimia kubwa kuliko wewe.
Nadhani nimeelewekaView attachment 1214001
Ubebe mimba uliolewa?Ni kweli.hilo kundi la kwanza ndo wahanga wakuu.wanapata wakati mgumu sana.
Na pia hata kama kaendekeza ngono.its OK..umegundua baada ya yeye kuzaa.mimba ndo imekua proof ya kumsimanga.
Muachieni Mungu ahukumu.wanaume wazinzi sana ila bahati Hanna proof.na mimba mnazikimbia.
Issue sio mwanaume kukataa utakubali vipi kubeba mimba wakati haujaolewa. Sijui umenisoma?
Umesikika kunako alafu utakuta anaesema hivyo bado yupo kwao toka enzi za story ya utamu wa mua uliozamisha meliNasemaje ikome..
Kuzaa azae mwingine kukereka akereke mwingine inahusu?
Wameachana,wamekataliwa,wamepata mimba kwenye starehe,wamepata kwa mume wa mtu.its non of your business!
Unakuta mwanaume mzima na kende zako kubwa ka machungwa ya supermarket kutwa umekaa kumsimanga mwanamke kisa kazaa..ulitaka awe mgumba?
Kuzaa kazaa yeye,analea mwenyewe.anasomesha mwenyewe..ila we kutwa kuongea.kinachokukera nini has a?
Sikiliza nkwambie..mama ni msingi!
Msingi wa watoto na familia kwa ujumla.
Jiulize kwanini familia nyingi mama akifa familia inayumba sana na kusambarathata?mabalaa hayaishi.
Inakosa furaha na uchangamfu kama mwanzo?
Mama ni msingi.wa malezi mema,ulinzi,furaha,mafanikio,baraka nk.
Mama akikosekana watoto wanayumba
Kama msingi wako ulisimama mpaka Leo umekomaa jibaba zima.basi usitikise wa mwenzio tafadhali.yule kichanga ni binadamu mwenzio pia.malezi mema ulopitia nae anayahitaji.
Kama we unavyompenda mamako.nae ana upendo kwa mamake..
Kama unavyoombea mamako aishi umri mrefu Nae anatamani kuendelea kumuona.
Inashangaza mwanamke tangu ana mimba mpaka anajifungua ni maneno tu.masimango tu.mpaka wanakua frustrated, wana huzuni,wanaweza pata hata magonjwa ya moyo kama si kujikaza.
Kama unavyouheshimu msingi wako.uheshimu wa mwenzio,
Kama unavyoupenda wako,nae anaupenda wake.
Kama hupendi kuona wako ukitikiswa.tena ukiwa tayari umekomaa..usitikise wa mwenzako ambae bado hata hajakomaa na anauhitaji kwa asilimia kubwa kuliko wewe.
Nadhani nimeelewekaView attachment 1214001
Na yule anaempachika mimba.kamuulize hutumii kinga umemuoa?Ubebe mimba uliolewa?
Umesikika kunako alafu utakuta anaesema hivyo bado yupo kwao toka enzi za story ya utamu wa mua uliozamisha meli
Huna lolote bichwa ka gimbi lako sio kila mmoja ana kiburi kwa vile demu wako ana kiburi ukajua na wengine wapo hivyonimegundua kwanini jamaa alikuzalisha alafu akakukimbia unakiburi sana chakujiona wewe ndo kila kitu
tatizo wanaongea sana unakuta mtu kazaa kwa mapenzi yake anamaliza anakuja anaanza kurusha maneno yasiyo na maana mara wanaume siku hizi wamepunua ni week jana tuu kuna mwingine alikua anatokwa povu anasema nanukuu'' hata kama ukiniacha ntapata mwanaume atanioa na kunibembeleza'' sasa wewe unamuambia ni nani halafu kama mmeachana kaa tulia sio unaanza kutoa matambara kwa watu,..na wewe kama ungekaa kimya hakua ambaye angejua wewe ni singke mother ...halafu kiti kingine muwe mnajiandaa kwa yajayo sio unavulishwa chupi unjisahau...mwisho wengi wenu sio waaminifu japo kuwa sio wote na ndio maana sio kwamba tunawaesngenya ila tunawaasa watu wanaoingia kwenye mahusiano ili baadaye asije kulaumu..ni kuelimishana
unataka kula sumu halafu unaomba ushauri??? kunywa ufe tukuzikeNataka kuoa single mother jamani ushauri[emoji23][emoji23][emoji23]
hapana dada yangu sijachamba nasema tuu hali halisi iliyopo...pia ushauri maisha ya leo yanabadilika jiandae kwa lolote usije kuwa mwthrika wa kisaikilojiaPole mwaya.mi bado sijazaa[emoji16][emoji16][emoji16]
Umechamba kwelikweli
We utakuwa single maza sugu aka multiple mazaNa yule anaempachika mimba.kamuulize hutumii kinga umemuoa?
Mwanaume hasemwi bali tunakumbushana tu, kwamba kinga ni muhimu, magonjwa ya zinaa ni noma.Mkiwa mnawasema msiwaache wanaume walowapachika..maana kama umalaya wameshirirki kwa pamoja
Aisee imenibidi nicheke jinsi ulivyoniattack aggressivelyHuna lolote bichwa ka gimbi lako sio kila mmoja ana kiburi kwa vile demu wako ana kiburi ukajua na wengine wapo hivyo
Nataka kuoa single mother jamani ushauri[emoji23][emoji23][emoji23]
unataka kula sumu halafu unaomba ushauri??? kunywa ufe tukuzike