comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
swali gani sijui anauliza[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swali gani sijui anauliza[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ukomeAisee imenibidi nicheke jinsi ulivyoniattack aggressively
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ausioounataka kula sumu halafu unaomba ushauri??? kunywa ufe tukuzike
ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ausioo
Nna 7800 hapa nije PM?Nyie wasengenyaji mna ujumbe wenu huku.
Uje pm kununua nini?Nna 7800 hapa nije PM?
Sikomi mpaka nihakikishe single maza hamuolewiNdio ukome
Na sie hatuolewi na wanaume makapuku kama wewe ambae bado upo kwenu bora tuzae na kulea sio wote wanaolilia kutunziwa watoto wewe yahaya .Sikomi mpaka nihakikishe single maza hamuolewi
Haijalishi single maza ni nani yako ... upuuzi ni upuuzi tuWengine utakuta Mama zao ni Single Mother lakini ndio wanaongoza kwa kuwasema Single Mother kila kukicha, siyo vizuri kabisa Single Mother nao ni Binadamu kama walivyo Binadamu wengine.
Call it love and devotion
Call it a mom's adoration, foundation
A special bond of creation, hah
For all the single moms out there
Going through frustration
👌
Hahahah stress za single maza shida tuNa sie hatuolewi na wanaume makapuku kama wewe ambae bado upo kwenu bora tuzae na kulea sio wote wanaolilia kutunziwa watoto wewe yahaya .
Sasa mnapowasema msisahau kuwasema na hao wanaowazalisha tofauti na hapo unakuwa ni unafiki tu ndiyo maana tunasema kama hamuwezi kuwasema na wanaowazalisha basi hata single mothers nao msiwasemeHii ni sawa na kutuambia mwizi asisemwe kwa tabia yake ya wizi, muongo vivyo hivyo,muuaji kadhalika kitu ambacho siyo sawa lazima wasemwe ili hii tabia ya kuzaa nje ya ndoa ambayo kwa jina moja inaitwa uzinzi iishe kabisa kwa hiyo usizuie watu kukemea maovu
NdioUnaweza imba?
Hapo kwenye paragraph ya mwisho wahanga ni wengi sana.nasupport kuwasema hapa jukwaani ilikukemea huu ujinga wa kuasingle maza ..wewe mtu hajakuoa unazaanae watu wamaana wenye nia ya kuoa unawakataa alafu ukikimbiwa ukaachiwa mtoto unalialia.
NOTE: with exception ya wanaokimbiwa wakiwa ndani ya ndoa ambao ni asilimia chache sana au wanaofiwa na waume zao
Tunawaambia haya sio kwamba hatuwapendi bali ni ukweli tunaletewa mizigo nyumbani for instance mimi wadogo zangu wawili wakike ni single maza nnaona wanavyokiwa mzigo unategemea tutetee huu upuuzi