Pongezi kwenu Single Mothers
Mi naona wanaume wana nafasi kubwa sana ya kufuta kama sio kupunguza kabisa hii kitu ya single mothers....

Mwanamke hata awe mzuri vipi usikubali kukutana naye bila kinga

Kama akipata mimba bila kutarajia na wewe mwanaume haupo tayari fanyeni mpango hiyo mimba itolewe ila wengi mtasema ni dhambi Mungu hapendi sijui ukristo mwingi as if wakati mnadinyana Mungu alikua anafurahia

Mwanaume kama binti huna mpango wa kumuoa usikubali akubebee mimba

Tungeshirikiana kulimaliza hili jambo wote badala ya kunyoosheana vidole. Hao single mothers mimba hawakuipata wenyewe jamani

Wakiwakubalia mkawapa mimba mkaawaacha mnawaita wahuni....mkikataliwa mnasema wanawake wanawaringa ngoja tuone nani atamuoa umri ukienda

Maneno mabaya ya wanaume kama haya ndio yanafanya wanawake wengi wanakua na low self esteem wanakua frustrated sababu yenu.


Mnaweza mkadhani mkiongea kitu humu jf ni utani ila maneno makali popote pale yana madhara makubwa sana hasa yakisemwa na watu wengi.

Wanaume punguzeni lawama kwa kweli na masimango kwa single mothers. Yangu ni hayo tu[emoji124]
Noted
 
Single mom what you doing out there?
Facing the hard life without no fear
Just see and know that you really care
'Cause any obstacle come you well prepared
And no mamma you never shed tear
'Cause you haffi set things year after year
And you give the youth love beyond compare
You find the school fee and the bus fare
Hmmmm more when paps disappear
In a wrong bar can't find him nowhere
Steadily you work flow, heavily you know so you nah stop
No time no time fi a jeer
Now she got a six year old,
Trying to keep him warm,
Trying to keep out the cold,
When he looks in her eyes,
He don't know he is safe,
When she says,

She tells him oh love,
No one's ever gonna hurt you love,
I'm gonna give you all of my love,
Nobody matters like you,

She tells him your life,
Ain't gonna be nothing like my life,
You gonna grow and have a good life,
I'm gonna do what I've got to do,

So rockabye baby rockabye,
I'm gonna rock you,
Rockabye baby don't you cry,
Somebody's got you,
Rockabye baby rockabye,
I'm gonna rock you,
Rockaby baby don't you cry,
Rockabye.
 
Hahaa dogo..jamaa gani alienizalisha?
Mi sijazaa bado.naongea kwa niaba yao
Sipendi wanachofanyiwa
Halafu hapa ndipo ninapowashangaa sana baadhi ya watu humu JF yaani mwanamke yeyote anayewatetea single mothers basi na yeye kashakuwa single mother yaani kazi kweli kweli
 
Kabla mpira haujaanza team moja tayari imepewa goal
FIFA Tunaomba Muangalie Kama Kuna Fair Play Hapa
Mbona wapo wanaume wana watoto na wanaoa wanawake wasio na watoto?? Au hapo inakuwa siyo timu moja imepewa goli??
 
Hapo kwenye paragraph ya mwisho wahanga ni wengi sana.

Kuna demu mmoja tumekuwa nae kitaa kimoja, tangu akiwa mdogo alikuwaga anatamani sana kuzaa na mzungu, yaani yeye ndoto zake alikuwa anasema ni lazima aje kuolewa na mzungu au ikishindikana kuolewa basi hata kuzaa nae tu.

Alikuwa anatamani sana kuwa na biracial child, ukicheki simu yake unakuta amejaza picha za vitoto vizuri vizuri tu kama vile vya Mabeste.

Sasa baada ya kuona hakuna uwezekano wa kumpata mzungu ikabidi ajipachike kwa chalii mmoja wa kiarabu anauza spare parts za piki piki, akajibebesha na mimba kabisa ya yule mwarabu.

Baada ya mwarabu kupewa taarifa za ujauzito alichomwambia yule demu ambaye mimi ni kama dada yangu aende akaitoe ile mimba, akampa na hela kabisa ya kutolea mimba. Yule sister alivyo ambiwa hivyo alimtukana sana yule mwarabu akasema mimba hatoi kama ni kulea atalea mwenyewe na ukawa ndio mwisho wa mahusiano yao.

Baada ya sister kujifungua alimuita yule mwarabu amuone mtoto wake, mwarabu akamwambia hamtambui yule mtoto kama ni wake akampa na vitisho vingi sana.. Sister akakubali yaishe na hakumsumbua tena.

Imepita miaka minne sasa tangu hilo tukio litokee mwarabu alishaoa mwarabu mwenzie wala hana habari na mtoto aliyezaa na sister, na sister nae hana habari na mwarabu kabisa.

Anachojivunia tu sasa hivi huyo dada yangu ni kupata katoto kazuri. Ila ana shida kibao yeye na mwanae, last time nimeenda home nilivyoonana nae aliniomba nimsaidie 50k, nilipojaribu kumuuliza kuhusu baba wa mwanae kama anawajibika akanijibu "hebu naomba usinilize".

Na hawa ndio aina ya single mothers wa miaka ya leo hii, they're the victims of their own stupid mistakes.
Vipi na wewe Ni mhanga wa paragraph ya mwisho?
 
Nasemaje ikome..
Kuzaa azae mwingine kukereka akereke mwingine inahusu?
Wameachana,wamekataliwa,wamepata mimba kwenye starehe,wamepata kwa mume wa mtu.its non of your business!
Unakuta mwanaume mzima na kende zako kubwa ka machungwa ya supermarket kutwa umekaa kumsimanga mwanamke kisa kazaa..ulitaka awe mgumba?

Kuzaa kazaa yeye,analea mwenyewe.anasomesha mwenyewe..ila we kutwa kuongea.kinachokukera nini has a?

Sikiliza nkwambie..mama ni msingi!
Msingi wa watoto na familia kwa ujumla.
Jiulize kwanini familia nyingi mama akifa familia inayumba sana na kusambarathata?mabalaa hayaishi.
Inakosa furaha na uchangamfu kama mwanzo?
Mama ni msingi.wa malezi mema,ulinzi,furaha,mafanikio,baraka nk.
Mama akikosekana watoto wanayumba

Kama msingi wako ulisimama mpaka Leo umekomaa jibaba zima.basi usitikise wa mwenzio tafadhali.yule kichanga ni binadamu mwenzio pia.malezi mema ulopitia nae anayahitaji.

Kama we unavyompenda mamako.nae ana upendo kwa mamake..
Kama unavyoombea mamako aishi umri mrefu Nae anatamani kuendelea kumuona.
Inashangaza mwanamke tangu ana mimba mpaka anajifungua ni maneno tu.masimango tu.mpaka wanakua frustrated, wana huzuni,wanaweza pata hata magonjwa ya moyo kama si kujikaza.

Kama unavyouheshimu msingi wako.uheshimu wa mwenzio,
Kama unavyoupenda wako,nae anaupenda wake.
Kama hupendi kuona wako ukitikiswa.tena ukiwa tayari umekomaa..usitikise wa mwenzako ambae bado hata hajakomaa na anauhitaji kwa asilimia kubwa kuliko wewe.

Nadhani nimeelewekaView attachment 1214001
07689990 nipigie kwenye hiyo namba single mother tuone jins gan nakutafuna
 
Wengine utakuta Mama zao ni Single Mother lakini ndio wanaongoza kwa kuwasema Single Mother kila kukicha, siyo vizuri kabisa Single Mother nao ni Binadamu kama walivyo Binadamu wengine.
Ni kweli.na hata kama inaonekana ni kosa wtambue Mao ni binadamu wanakosea
Mambo ya kuandamana yanakera
 
Hey..unashauri wachororpoe mimba kuepuka kuwa singo mother?
Wish..
Mi naona wanaume wana nafasi kubwa sana ya kufuta kama sio kupunguza kabisa hii kitu ya single mothers....

Mwanamke hata awe mzuri vipi usikubali kukutana naye bila kinga

Kama akipata mimba bila kutarajia na wewe mwanaume haupo tayari fanyeni mpango hiyo mimba itolewe ila wengi mtasema ni dhambi Mungu hapendi sijui ukristo mwingi as if wakati mnadinyana Mungu alikua anafurahia

Mwanaume kama binti huna mpango wa kumuoa usikubali akubebee mimba

Tungeshirikiana kulimaliza hili jambo wote badala ya kunyoosheana vidole. Hao single mothers mimba hawakuipata wenyewe jamani

Wakiwakubalia mkawapa mimba mkaawaacha mnawaita wahuni....mkikataliwa mnasema wanawake wanawaringa ngoja tuone nani atamuoa umri ukienda

Maneno mabaya ya wanaume kama haya ndio yanafanya wanawake wengi wanakua na low self esteem wanakua frustrated sababu yenu.


Mnaweza mkadhani mkiongea kitu humu jf ni utani ila maneno makali popote pale yana madhara makubwa sana hasa yakisemwa na watu wengi.

Wanaume punguzeni lawama kwa kweli na masimango kwa single mothers. Yangu ni hayo tu[emoji124]
 
Back
Top Bottom