Pongezi kwenu Single Mothers
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hao wasengenyaji wengine utakuta mama zao pia ni single mothers
Ni hivi vivulana visiavyopevuka akili...
Ukute mdingi wake mwenyewe alimtelekeza..Leo yuko bize kuwasema wanawake wanaolea peke yao.
 
Mi hata havinipi shida..
Hiviv ni vile vivulana unapishana navyo barabarani vimevaa skin tyt..bado havijakomaa akili kuyaelwwa maisha.
Mwanaume na ukomavu wake wa akili hawezi kuwa hivi
Halafu hapa ndipo ninapowashangaa sana baadhi ya watu humu JF yaani mwanamke yeyote anayewatetea single mothers basi na yeye kashakuwa single mother yaani kazi kweli kweli
 
Jaman nishaurini nataka kuoa single maza .... msaada please
Kama kuna mwanamke jina lake ni Single maza muoe, ila kama single maza kwa maana ya kwamba ana mtoto aliyezaa na msela mwingine ambaye bado yuko hai.........hivi mpaka hapo ujapata jibu bado???

Fikiria vizuri kisha fanya maamuzi yaliyo sahihi
 
Kama kuna mwanamke jina lake ni Single maza muoe, ila kama single maza kwa maana ya kwamba ana mtoto aliyezaa na msela mwingine ambaye bado yuko hai.........hivi mpaka hapo ujapata jibu bado???

Fikiria vizuri kisha fanya maamuzi yaliyo sahihi

Mkuu nimekupata vizuri sana ... tena zaidi ya unavyofikiri
 
Hivi mkuu, binti anapowakataa vijana ambao hawajaoa na kujibanza kwa mume wa mtu anategemea atakuwa yeye ndio muke ya huyo jamaa?
Huwa nawaonea huruma wale waliofiwa na waume zao na ambao wanaume zao ndio chanzo Cha wao kuwa hivyo.
Waliobakwa ni bahati mbaya tu.
Hawa wanaotumia uchi Kama kitegauchumi aafu waje kuonewa huruma Ni ujinga.
Waolewe wawe wake wenza huko.
Unazalishwa na mume wa mtu aafu unaanza kusumbua wachungaji wakuombee upate mume!!
Pumbaf
Mkuu wengi wanaosengenya single maza hawawezi kutofautisha kati ya aliyepewa na mume wa mtu na aliyepata mimba ya kijana tena unakuta kijana mwenye malengo kabisa lakini baadae mtu anabadilika mwanamke kama huyo unafikiri atafanyeje zaidi yakulea mtoto wake , kuwasema sema na kuwadharau sana hakusaidii zaidi tutaongeza idadi ya utoaji mimba tu ni bora tukubaliane na hali halisi ndipo tulipofika hata tukigaragara chini tuakipiga kelele kuwa single maza hawafai haitapunguza chochote zaidi yakusababisha wakatoe mimba
 
Single mom wanaosemwa humu ni wale waliotokana na matokeo ya uzinzi
Tukisimama kwenye ukweli single maza wote ni uzinzi, aliyezaa akiwa kwenye ndoa kisha wakaachana huyo hawezi kuwa single maza, maana baba wa mtoto anafull respossiblity kwa mtoto wake na ana haki zote kama baba, sasa kama tukizungumzia uzinzi maana tunatakiwa tuhusishe jinsia zote mbili au tuseme single parent badala ya single mother
 
Sauti imesikika vzuri nafikiriiii.wakihitaji tutaeka speaker
Ambia mwenzio aongeze sauti kidooogo.
Uchi wake,Mimba kabeba yeye,kanyonyesha yeye,analea yeye baada ya kukata mauno YEYE MWENYEWE!hahalazimisha umtake ila unakazaana kumsema..huo ni utoto.hebu tuwaache watu wafanye maisha yao na wapambane na hali zao
 
Mkuu wengi wanaosengenya single maza hawawezi kutofautisha kati ya aliyepewa na mume wa mtu na aliyepata mimba ya kijana tena unakuta kijana mwenye malengo kabisa lakini baadae mtu anabadilika mwanamke kama huyo unafikiri atafanyeje zaidi yakulea mtoto wake , kuwasema sema na kuwadharau sana hakusaidii zaidi tutaongeza idadi ya utoaji mimba tu ni bora tukubaliane na hali halisi ndipo tulipofika hata tukigaragara chini tuakipiga kelele kuwa single maza hawafai haitapunguza chochote zaidi yakusababisha wakatoe mimba
Boss,hata angekua ameiokota chini ya mwembe,maisha ni yake!Mwanamke kua na mimba SIO HABARI,WAACHWE!
 
Habari zangu ziwafikie wanaume wote waingwana wa hapa JF

Na zisiwafikie wote wasio waungwana.
Huwa nahuzunishwa sana na kusononeka sana ninapoona kila Mara mada zikiwa za kuwaponda wadada wanaolea watoto wenyewe.

Ikumbukwe ukiona mdada analea mtoto mwenyewe kwa kumhudumia kwenye dhiki na faraja. Kumsomesha, kumvika kumlisha...n.k
Dada huyu kwenye jamii anahitaji pongezi kubwa sana na si haya ninayoyasoma kila siku humu.
Nani asiyejua ulezi ulivyo mgumu?

Why huyu Dada hakumtupa huyu mtoto au kumtelekeza kituo cha basi au kuitoa mimba? Yumkini mabinti wakiendelea kusoma haya ya JF kwa baadhi ya Wavulana wasiojitambua wengi wao sasa wakipata ujauzito badala ya kulea mimba na kuzaa watatoa au kuvinyonga vichanga vyao mbali huko na kurudi mtaani wakijifanya watakatifu.

Kwanza mtambue kwamba hakuna chini ya jua mdada au mwanamke anayetamani au kupenda kulea mtoto mwenyewe.

Ni tumaini la kila mdada alee mtoto ndani ya ndoa au walee na Baba wa mtoto. Utafiti unaonyesha kuna baadhi ya wakaka au Wababa huonyesha mapenzi yote awali na mipango mingine kuendelea but katikati hukutana na Binti mwingine na kumuacha huyu wa mimba.

Anaenda kwa mwingine anampachika mimba anamwacha anaenda kwa mwingine mpaka atakapokinai
No wonder kuna wkt mkikua mnaambia yule na yule ni watoto wa Baba mama mbalimbali..( hapa sio tabia mbaya ya Dada Bali ya huyo Mkaka au Mbaba.
Pia tafiti zinaonyesha kwa mwaka Mwanamke ana uwezo wa kuzaa uzao mmoja tu lakini Mbaba Akazaa hata 20 na zaidi kwa kuchovyachovya.Na hata family planning was supposed to go directly to men!

So kwa kuwa baada ya kupachikwa na kukimbiwa na huyu kirukaruka mzigo anayeubeba ni mdada obviously lazima lawama abebe yeye( Mungu aje asaidie wanaume kwa siku zijazo wabebe mimba nao waone hii kadhia hakika hizi kashfa na dharau kwa Single Mothers zitakoma.

Sote twajua hulka nyingi za wamama ni ulezi na huruma. Anaona imetokea hivyo huyu kirukaruka kakimbia au hasomeki anawaza atoe azae amtupe?

Most of them wanakeep pregnancy na kuzaa na kulea baadaye mtoto yule anakuja kuwa hata A good leader or somebody.

Kabla hujamtupia Mawe Single mother angalia njia zake si wrote wanaweza na so wote waliopata kwa uhuni. Pia chunguzeni hili Malaya na makahaba waliokubuhu kama wanabeba mimba!

Please please Acheni Mada hizo za kuwakashfu hawa Single mothers kwani wanayopitia sio rahisi kama mnavyodhani. May God forgive and give them strength!
 
Na wewe umerudia kosa lile la kuanzisha threads kuhusu single moms
mwisho hiyo mijitu isiyo na akili itakuja hapa na kuanza kuwatukana tena

Dawa ni kutoanzisha threads kama hizi na kutochangia mtu akianzisha

there are so many ways to celebrate life bila kushiriki mijdala ya kipuuzi
 
Habari zangu ziwafikie wanaume wote waingwana wa hapa JF
Na zisiwafikie wote wasio waungwana.
Huwa nahuzunishwa sana na kusononeka sana ninapoona kila Mara mada zikiwa za kuwaponda wadada wanaolea watoto wenyewe.
Ikumbukwe ukiona mdada analea mtoto mwenyewe kwa kumhudumia kwenye dhiki na faraja
Kumsomesha, kumvika kumlisha...n.k
Dada huyu kwenye jamii anahitaji pongezi kubwa sana na si haya ninayoyasoma kila siku humu.
Nani asiyejua ulezi ulivyo mgumu?
Why huyu Dada hakumtupa huyu mtoto au kumtelekeza kituo cha basi au kuitoa mimba?
Yumkini mabinti wakiendelea kusoma haya ya JF kwa baadhi ya Wavulana wasiojitambua wengi wao sasa wakipata ujauzito badala ya kulea mimba na kuzaa watatoa au kuvinyonga vichanga vyao mbali huko na kurudi mtaani wakijifanya watakatifu.
Kwanza mtambue kwamba hakuna chini ya jua mdada au mwanamke anayetamani au kupenda kulea mtoto mwenyewe.
Ni tumaini la kila mdada alee mtoto ndani ya ndoa au walee na Baba wa mtoto.
Utafiti unaonyesha kuna baadhi ya wakaka au Wababa huonyesha mapenzi yote awali na mipango mingine kuendelea but katikati hukutana na Binti mwingine na kumuacha huyu wa mimba.
Anaenda kwa mwingine anampachika mimba anamwacha anaenda kwa mwingine mpaka atakapokinai
No wonder kuna wkt mkikua mnaambia yule na yule ni watoto wa Baba mama mbalimbali..( hapa sio tabia mbaya ya Dada Bali ya huyo Mkaka au Mbaba.
Pia tafiti zinaonyesha kwa mwaka Mwanamke ana uwezo wa kuzaa uzao mmoja tu lakini Mbaba Akazaa hata 20 na zaidi kwa kuchovyachovya.Na hata family planning was supposed to go directly to men!!!!
So kwa kuwa baada ya kupachikwa na kukimbiwa na huyu kirukaruka mzigo anayeubeba ni mdada obviously lazima lawama abebe yeye( Mungu aje asaidie wanaume kwa siku zijazo wabebe mimba nao waone hii kadhia hakika hizi kashfa na dharau kwa Single Mothers zitakoma.
Sote twajua hulka nyingi za wamama ni ulezi na huruma
Anaona imetokea hivyo huyu kirukaruka kakimbia au hasomeki anawaza atoe azae amtupe???
Most of them wanakeep pregnancy na kuzaa na kulea baadaye mtoto yule anakuja kuwa hata A good leader or somebody.
Kabla hujamtupia Mawe Single mother angalia njia zake si wrote wanaweza na so wote waliopata kwa uhuni.
Pia chunguzeni hili Malaya na makahaba waliokubuhu kama wanabeba mimba!!!
Please please Acheni Mada hizo za kuwakashfu hawa Single mothers kwani wanayopitia sio rahisi kama mnavyodhani.
May God forgive and give them strength!
Well said.

Wahusika na wasikie ujumbe huu na kuufanyia kazi
 
Back
Top Bottom