Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikulilia shida msaidie kama unaweza huwezi muache na shida zake sio kuhangaika kumsema hao waoaji wa maana hawajawekwa bango kwamba huyu ni wa maana na huyu sio wamaananasupport kuwasema hapa jukwaani ilikukemea huu ujinga wa kuasingle maza ..wewe mtu hajakuoa unazaanae watu wamaana wenye nia ya kuoa unawakataa alafu ukikimbiwa ukaachiwa mtoto unalialia.
NOTE: with exception ya wanaokimbia wakiwa ndani ya ndoa ambao ni asilimia chache sana au wanaofiwa na waume zao
Shida wengi wanaozungumzia single mama hasemei kuhusu ubaya wa uzinzi bali ubaya wa single mumKizazi cha nyoka kinatumia nguvu nyingi kuhalalisha uzinzi na uasherati
Hivi mkuu, binti anapowakataa vijana ambao hawajaoa na kujibanza kwa mume wa mtu anategemea atakuwa yeye ndio muke ya huyo jamaa?Akikulilia shida msaidie kama unaweza huwezi muache na shida zake sio kuhangaika kumsema hao waoaji wa maana hawajawekwa bango kwamba huyu ni wa maana na huyu sio wamaana
hatujawahangaikia wanatuomba ushauri na sisi tunawapa ushauri waliouombaKiukweli kuna wanaume wanatuaibisha sana hasa humu jamii forum, nakolezea tu ukimchukia mtu usihangaike na wengine wamchukie, anayetaka kuoa acha akomar na hali yake
Single mom wanaosemwa humu ni wale waliotokana na matokeo ya uzinziShida wengi wanaozungumzia single mama hasemei kuhusu ubaya wa uzinzi bali ubaya wa single mum
Single mothers hawana tatizo kabisa. tatizo linakuja akishaolewa na mwanaume ambae hajazaa nae:sema nikimwonaga mwafrika anamsema vibaya single maza namshangaa sana kwasababu asilimia kubwa ya watoto wanalelewa na hao hao.Wazee wanakimbia majukumu.
Call it love and devotionSingle mom what you doing out there?
Facing the hard life without no fear
Just see and know that you really care
'Cause any obstacle come you well prepared
And no mamma you never shed tear
'Cause you haffi set things year after year
And you give the youth love beyond compare
You find the school fee and the bus fare
Hmmmm more when paps disappear
In a wrong bar can't find him nowhere
Steadily you work flow, heavily you know so you nah stop
No time no time fi a jeer
Bado hatujasikia. Kinachofanyika hapa ni kuhalalisha kitu ambacho si sahihi kuwa sahihi.Sauti imesikika vzuri nafikiriiii.wakihitaji tutaeka speaker
Na sisi singo faza tunacomment wapi?
sema nikimwonaga mwafrika anamsema vibaya single maza namshangaa sana kwasababu asilimia kubwa ya watoto wanalelewa na hao hao.Wazee wanakimbia majukumu.
Kiukweli kuna wanaume wanatuaibisha sana hasa humu jamii forum, nakolezea tu ukimchukia mtu usihangaike na wengine wamchukie, anayetaka kuoa acha akomar na hali yake
[emoji23][emoji23][emoji23]Nataka kuoa single mother jamani ushauri[emoji23][emoji23][emoji23]
Issue sio mwanaume kukataa utakubali vipi kubeba mimba wakati haujaolewa. Sijui umenisoma?Ndo uone ufinyu wa akili zetu sasa..
Na unakuta mwanaume anaesimanga nae kuna mimba kaikataa