Mambo ya maandishi yaacheni kama yalivyo.Neno linaloitwa UKWELI ni somo zuri sana.
Mimi huwa sipendi longolongo ndo maana naishi happy.
Jamaa anasema anasaka mwenza lakini hajawahi kubahatika kila akitongoza anakula za pua.
Kumbe kapata mapacha.
Hongera zake sanaπ€£
Asante ππ- kwa niaba yakeMkuu National Anthem Mungu akusimamie uwalee katika misingi yake...dunia imeharbika mno..
Yalikuja kwa meli na mitumbwiππ. π I mean no malice to nobodyMambo ya maandishi yaacheni kama yalivyo.
Asante ππ- kwa niaba yakeHongera kwake jmn
Hii movie itakuwa na hitimisho lengwaπ€£π€£ anatupanga.?!
Hili la leo amenaswa sio π€£Hii movie itakuwa na hitimisho lengwa
Sina imani naye 1000%Ngoja Tuanze Kumfuatilia Maana Thread Hii Nadhani Ya Pili Ama Tatu Zote Kuhusu Uzazi
Tunafuatilia Kwa Karibu Na Kuwauliza Aliowataja Baadaye Ataanza Kutuchangisha Huyu
Najua huwa huingizwi kingi kizembeπ€£Hili la leo amenaswa sio π€£
Asante ππ- kwa niaba yakeHongera sana Mkuu.
Kila la kheri.
Mkuu sie tukae palee tuusome huu mchezo na popcon ππHii movie itakuwa na hitimisho lengwa
Vuta Subiraπ
I don't even need your trust, Niko close Sana na hao watu.Sina imani naye 1000%
Mpe Hongera.
Mwambie Mamndenyi anatafuta kazi ya uyaya
Msajili wa vizazi- jf πUnaamilni hili?
Je huyu member ni kweli anataarifa ya wazazi wa jf kiasi hiki?
I mean no malice to nobody, mbona chuki Sana. Una jifanya mtabiriππHii movie itakuwa na hitimisho lengwa
National Anthem atakuja hapa bila shakaI don't even need your trust, Niko close Sana na hao watu.
πUnaeza wafuata pm, ku confirm hilooπ€π€
πDamn esculando