Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo
View attachment 2316635View attachment 2316636
Wana JF Wenzangu, tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, kufanya vema, sio kujipendekeza kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu humu kiukweli mnakera, sisi watu wa media, kila tukimpongeza rais kwa kufanya vema au mazuri yoyote, mnatuzodoa na kutunyooshea vidole kuwa pongezi hizo ni pongezi za kinafki kujipendekeza tuu ili kusaka uteuzi!.

Tangu rais Samia ameingia madarakani amefanya mengi mazuri ya kustahili pongezi za dhati, nami nimempongeza kwa mengi, lakini nakereka kila nikipongeza nabezwa kuwa nafukuzia uteuzi!.

Haya sasa Mungu bariki, mimi niko Mbeya, kwenye maonyesho ya Nane Nane nikifanya Vipindi vyangu vya Nane Nane na PPR, na rais yuko Mbeya, ndiye mgeni kwenye kilele cha Nane Nane, hivyo kesho ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kukutana na Rais Samia face to face, tangu Mungu alipomteua kuwa rais wetu, hivyo ikitokea katika pita pita za mabandani. ikitokea akapita karibu yangu, nitamsalimia kwa sauti kubwa tuu na atasikia, sijui kama atajibu, shikamoo yangu...

Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
ila nikipata fursa ya kumsalimu kwa karibu, nitampa ukweli huu wa jinsi JF mnavyokera kwa kumweleza wazi kuwa pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote licha
  1. Pascal Mayalla ni Mtanzania, anayekidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa na rais kushika wadhifa wowote kama U DC!. Siku zote nimekuwa nikisema sihitaji uteuzi, ila kuna mwana jf mmoja akauliza kama ikitokea ghafla mara pap... Pascal Mayalla umeteuliwa DC, Jee Utakataa?. Nilishindwa kujibu!, Ukiteuliwa ukikataa utaonekana ni mtovu wa nidhamu!. Ili kuzuia utovu wa nidhamu, ni vizuri uki declare interest wazi, openly na publically, Pascal Mayalla hahitaji uteuzi wa kuwa DC!.
  2. Kwenye uteuzi wa Majaji wapya, mmoja wa majaji wapya ni mwandishi wa habari binti, tulimpokea pale RTD, tukamfundisha kazi, akaenda kusoma sheria, akawa wakili wa kujitegemea juzi kateuliwa Jaji. Mimi pia nimesoma sheria, tena LL.B yangu ni LL.B (HONS) ya UDSM, hivyo ninakidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa kuwa Jaji, lakini naomba kukiri, siwezi kumhukumu mtu kifo, hivyo siwezi kuwa Jaji na naomba nisiteuliwe kuwa Jaji!.
Japo Kuna Wengi Wanapenda Uteuzi, Lakini Kuna Watu wa Ajabu!, Hawataki Kabisa Uteuzi wala Kazi za Malipo Manene!.
Kuteuliwa wadhifa wowote na rais wa JMT ni heshima kubwa, hivyo wateuliwa hufurahi kuheshimishwa, hivyo kuna wengi wanautamani sana u DC, U DAS, DED RC etc, amini usiamini, kuna watu fulani ambao hawasimikii kabisa uteuzi!, au kazi za malipo manene!. Watu hao sio tuu ni wazuri at what they do, but they love what they do, and they are the best at what they do, ukiwateua watu hawa na kuwa u DC, japo u DC ni cheo kikubwa, lakini uki compare watakacho fanya kwenye U DC compared to what they do, its a waste!. Just imagine unamchukua Profesa wa Chuo Kikuu kama Prof. Shivji, ateuliwe DC!.
Mimi ni mtu wa mastory mastory, wale wa mastory, tuendelee, wale wa short and clear, nenda mwisho.


Rais wetu Mama Samia, ameonyesha kwa kauli na vitendo kuwa yeye ni mtu msikivu, na kuna mazuri mengi ameyafanya na anaendelea kuyafanya, yanayostahili pongezi. Sisi watu wa media, tukiandika jambo lolote zuri kumpongeza rais Safia kwa mazuri yake, tunanyoosjewa vidole ku3wa tunanyemelea uteuzi wa UDC, U RC au Ukurugenzi yaani U RAS au U DAS!. Kwa vile mimi ni Mtanzania na nina sifa za kustahili kuteuliwa nafasi yoyote ya uteuzi, kwa sababu ni haki yangu, kama Mtanzania, naomba ku declare publically kuwa mimi Pascal Mayalla, sipongezi kwa kutafuta uteuzi wowote wa u DC au u RC au Ukurugenzi, au uteuzi wowote wa Mama!.

Na kwa vile mimi niko Mbeya kwenye Nane Nane, na Mama Samia pia yuko Mbeya kuja kufunga Nane Nane, ikitokea nikakutana na Mama Samia kesho kwenye Nane Nane, Kwanza nitamsalimia, “Sjikamoo Mama!...

Pili nitampongeza kwa kazi nzuri!, na Tatu nitampa salamu zenu wana jf, na mimi Pascal Mayalla kumtakia mama kuwa sitaki uteuzi wowote!.
Namna ya kukutana na kuzungumza na rais Samia hapo kesho ni kwa kutumia kitu kinachoiitwa na power of mind suggestibility, kama niliotumia hapa

na hapa


Wasalaam.

Paskali.
Nimekuelewa juzi ulisema ulivaa shati la kijani ulipokwenda kurudisha fomu ya Ubunge wa EAC Assembly.Ata ningekuwa Mimi ningesifia tu kazi ya Mama!
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo
View attachment 2316635View attachment 2316636
Wana JF Wenzangu, tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, kufanya vema, sio kujipendekeza kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu humu kiukweli mnakera, sisi watu wa media, kila tukimpongeza rais kwa kufanya vema au mazuri yoyote, mnatuzodoa na kutunyooshea vidole kuwa pongezi hizo ni pongezi za kinafki kujipendekeza tuu ili kusaka uteuzi!.

Tangu rais Samia ameingia madarakani amefanya mengi mazuri ya kustahili pongezi za dhati, nami nimempongeza kwa mengi, lakini nakereka kila nikipongeza nabezwa kuwa nafukuzia uteuzi!.

Haya sasa Mungu bariki, mimi niko Mbeya, kwenye maonyesho ya Nane Nane nikifanya Vipindi vyangu vya Nane Nane na PPR, na rais yuko Mbeya, ndiye mgeni kwenye kilele cha Nane Nane, hivyo kesho ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kukutana na Rais Samia face to face, tangu Mungu alipomteua kuwa rais wetu, hivyo ikitokea katika pita pita za mabandani. ikitokea akapita karibu yangu, nitamsalimia kwa sauti kubwa tuu na atasikia, sijui kama atajibu, shikamoo yangu...

Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
ila nikipata fursa ya kumsalimu kwa karibu, nitampa ukweli huu wa jinsi JF mnavyokera kwa kumweleza wazi kuwa pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote licha
  1. Pascal Mayalla ni Mtanzania, anayekidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa na rais kushika wadhifa wowote kama U DC!. Siku zote nimekuwa nikisema sihitaji uteuzi, ila kuna mwana jf mmoja akauliza kama ikitokea ghafla mara pap... Pascal Mayalla umeteuliwa DC, Jee Utakataa?. Nilishindwa kujibu!, Ukiteuliwa ukikataa utaonekana ni mtovu wa nidhamu!. Ili kuzuia utovu wa nidhamu, ni vizuri uki declare interest wazi, openly na publically, Pascal Mayalla hahitaji uteuzi wa kuwa DC!.
  2. Kwenye uteuzi wa Majaji wapya, mmoja wa majaji wapya ni mwandishi wa habari binti, tulimpokea pale RTD, tukamfundisha kazi, akaenda kusoma sheria, akawa wakili wa kujitegemea juzi kateuliwa Jaji. Mimi pia nimesoma sheria, tena LL.B yangu ni LL.B (HONS) ya UDSM, hivyo ninakidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa kuwa Jaji, lakini naomba kukiri, siwezi kumhukumu mtu kifo, hivyo siwezi kuwa Jaji na naomba nisiteuliwe kuwa Jaji!.
Japo Kuna Wengi Wanapenda Uteuzi, Lakini Kuna Watu wa Ajabu!, Hawataki Kabisa Uteuzi wala Kazi za Malipo Manene!.
Kuteuliwa wadhifa wowote na rais wa JMT ni heshima kubwa, hivyo wateuliwa hufurahi kuheshimishwa, hivyo kuna wengi wanautamani sana u DC, U DAS, DED RC etc, amini usiamini, kuna watu fulani ambao hawasimikii kabisa uteuzi!, au kazi za malipo manene!. Watu hao sio tuu ni wazuri at what they do, but they love what they do, and they are the best at what they do, ukiwateua watu hawa na kuwa u DC, japo u DC ni cheo kikubwa, lakini uki compare watakacho fanya kwenye U DC compared to what they do, its a waste!. Just imagine unamchukua Profesa wa Chuo Kikuu kama Prof. Shivji, ateuliwe DC!.
Mimi ni mtu wa mastory mastory, wale wa mastory, tuendelee, wale wa short and clear, nenda mwisho.


Rais wetu Mama Samia, ameonyesha kwa kauli na vitendo kuwa yeye ni mtu msikivu, na kuna mazuri mengi ameyafanya na anaendelea kuyafanya, yanayostahili pongezi. Sisi watu wa media, tukiandika jambo lolote zuri kumpongeza rais Safia kwa mazuri yake, tunanyoosjewa vidole ku3wa tunanyemelea uteuzi wa UDC, U RC au Ukurugenzi yaani U RAS au U DAS!. Kwa vile mimi ni Mtanzania na nina sifa za kustahili kuteuliwa nafasi yoyote ya uteuzi, kwa sababu ni haki yangu, kama Mtanzania, naomba ku declare publically kuwa mimi Pascal Mayalla, sipongezi kwa kutafuta uteuzi wowote wa u DC au u RC au Ukurugenzi, au uteuzi wowote wa Mama!.

Na kwa vile mimi niko Mbeya kwenye Nane Nane, na Mama Samia pia yuko Mbeya kuja kufunga Nane Nane, ikitokea nikakutana na Mama Samia kesho kwenye Nane Nane, Kwanza nitamsalimia, “Sjikamoo Mama!...

Pili nitampongeza kwa kazi nzuri!, na Tatu nitampa salamu zenu wana jf, na mimi Pascal Mayalla kumtakia mama kuwa sitaki uteuzi wowote!.
Namna ya kukutana na kuzungumza na rais Samia hapo kesho ni kwa kutumia kitu kinachoiitwa na power of mind suggestibility, kama niliotumia hapa

na hapa


Wasalaam.

Paskali.
Ppole mkuu jina lako kutoonekana kwenye list ya juzi ya majaji

#Maendeleo hayana Chama
 
Kwa hili bandiko tu ni dhahiri Paskali unataka uteuliwe.
Sio mbaya kutaka hivyo ila kule kutaka upate kwa kusifia ndiko tatizo liliko, hutakuwa tofauti na mtoa rushwa.

Huyu raisi hastahili kusifiwa kwa kila analofanya kwa kuwa anatimiza wajibu wake. Muhimu sana kukosolewa anapotoka nje ya mstari ili awajibike ipasavyo kwa maslahi mapana ya taifa.
 
Bila shaka umejionea vibe la Mbeya ..

Ukiwa humu mitandaoni ambapo Chadema na Sukuma gang qanaongoza kwa mafuriko unaweza dhani huko kitaa mambo hayaendi na kila Mtu anamchukia Rais.h

Nimecheka kwa nguvu, huku mitandaoni hakuna wajinga wa kulishwa propaganda mfu. Rais kujaza watu kwenye ziara zake sio ishara ya kukubalika, maana mbinu zinazotumika kujaza watu kwenye ziara za rais tunazifahamu.
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo
View attachment 2316635View attachment 2316636
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu humu kiukweli mnakera, sisi watu wa media, kila tukimpongeza rais kwa kufanya vema au mazuri yoyote, mnatuzodoa na kutunyooshea vidole kuwa pongezi hizo ni pongezi za kinafki kujipendekeza tuu ili kusaka uteuzi!.

Tangu rais Samia ameingia madarakani amefanya mengi mazuri ya kustahili pongezi za dhati, nami nimempongeza kwa mengi, lakini nakereka kila nikipongeza nabezwa kuwa nafukuzia uteuzi!.

Haya sasa Mungu bariki, mimi niko Mbeya, kwenye maonyesho ya Nane Nane nikifanya Vipindi vyangu vya Nane Nane na PPR, na rais yuko Mbeya, ndiye mgeni Rasmi kwenye kilele cha Nane Nane, hivyo kesho ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kukutana na Rais Samia face to face, tangu Mungu alipomteua kuwa rais wetu, hivyo ikitokea katika pita pita za mabandani. ikitokea akapita karibu yangu, nitamsalimia kwa sauti kubwa tuu na atasikia, sijui kama atajibu, shikamoo yangu...

Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
ila nikipata fursa ya kumsalimu kwa karibu, nitampa ukweli huu wa jinsi JF mnavyokera kwa kumweleza wazi kuwa pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote licha
  1. Pascal Mayalla ni Mtanzania, anayekidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa na rais kushika wadhifa wowote kama U DC!. Siku zote nimekuwa nikisema sihitaji uteuzi, ila kuna mwana jf mmoja akauliza kama ikitokea ghafla mara pap... Pascal Mayalla umeteuliwa DC, Jee Utakataa?. Nilishindwa kujibu!, Ukiteuliwa ukikataa utaonekana ni mtovu wa nidhamu!. Ili kuzuia utovu wa nidhamu, ni vizuri uki declare interest wazi, openly na publically, Pascal Mayalla hahitaji uteuzi wa kuwa DC!.
  2. Kwenye uteuzi wa Majaji wapya, mmoja wa majaji wapya ni mwandishi wa habari binti, tulimpokea pale RTD, tukamfundisha kazi, akaenda kusoma sheria, akawa wakili wa kujitegemea juzi kateuliwa Jaji. Mimi pia nimesoma sheria, tena LL.B yangu ni LL.B (HONS) ya UDSM, hivyo ninakidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa kuwa Jaji, lakini naomba kukiri, siwezi kumhukumu mtu kifo, hivyo siwezi kuwa Jaji na naomba nisiteuliwe kuwa Jaji!.
Japo Kuna Wengi Wanapenda Uteuzi, Lakini Kuna Watu wa Ajabu!, Hawataki Kabisa Uteuzi wala Kazi za Malipo Manene!.
Kuteuliwa wadhifa wowote na rais wa JMT ni heshima kubwa, hivyo wateuliwa hufurahi kuheshimishwa, hivyo kuna wengi wanautamani sana u DC, U DAS, DED RC etc, amini usiamini, kuna watu fulani ambao hawasimikii kabisa uteuzi!, au kazi za malipo manene!. Watu hao sio tuu ni wazuri at what they do, but they love what they do, and they are the best at what they do, ukiwateua watu hawa na kuwa u DC, japo u DC ni cheo kikubwa, lakini uki compare watakacho fanya kwenye U DC compared to what they do, its a waste!. Just imagine unamchukua Profesa wa Chuo Kikuu kama Prof. Shivji, ateuliwe DC!.
Mimi ni mtu wa mastory mastory, wale wa mastory, tuendelee, wale wa short and clear, nenda mwisho.


Rais wetu Mama Samia, ameonyesha kwa kauli na vitendo kuwa yeye ni mtu msikivu, na kuna mazuri mengi ameyafanya na anaendelea kuyafanya, yanayostahili pongezi. Sisi watu wa media, tukiandika jambo lolote zuri kumpongeza rais Safia kwa mazuri yake, tunanyoosjewa vidole ku3wa tunanyemelea uteuzi wa UDC, U RC au Ukurugenzi yaani U RAS au U DAS!. Kwa vile mimi ni Mtanzania na nina sifa za kustahili kuteuliwa nafasi yoyote ya uteuzi, kwa sababu ni haki yangu, kama Mtanzania, naomba ku declare publically kuwa mimi Pascal Mayalla, sipongezi kwa kutafuta uteuzi wowote wa u DC au u RC au Ukurugenzi, au uteuzi wowote wa Mama!.

Na kwa vile mimi niko Mbeya kwenye Nane Nane, na Mama Samia pia yuko Mbeya kuja kufunga Nane Nane, ikitokea nikakutana na Mama Samia kesho kwenye Nane Nane, Kwanza nitamsalimia, “Sjikamoo Mama!...

Pili nitampongeza kwa kazi nzuri!, na Tatu nitampa salamu zenu wana jf, na mimi Pascal Mayalla kumtakia mama kuwa sitaki uteuzi wowote!.
Namna ya kukutana na kuzungumza na rais Samia hapo kesho ni kwa kutumia kitu kinachoiitwa na power of mind suggestibility, kama niliotumia hapa

na hapa


Wasalaam.

Paskali.

Ww wala huhitaji kusema unahitaji nini na nini huhitaji. Sisi wenyewe tunaweza kupima na kujua bila muongozo wako.

Nimecheka hapo uliposema kuwa kuna binti mlimpokea TBC na sasa ni jaji, hivyo na ww unaweza kuwa jaji. Ni kweli unaweza kuwa jaji, maana vigezo vya kuteua majaji hapa Tanzania sio lazima uwezo, bali vigezo vikuu ni utashi na malengo ya mteuaji. Kwa mahakama hizi zisizo huru, yoyote anaweza kuwa jaji ili mradi anakidhi vigezo vya mteuaji. Ingekuwa unahitaji ujaji hapo Kenya wangalau wao wanajitahidi kutunza viwango ningeona unajivunia uwezo.
 
Nimecheka kwa nguvu, huku mitandaoni hakuna wajinga wa kulishwa propaganda mfu. Rais kujaza watu kwenye ziara zake sio ishara ya kukubalika, maana mbinu zinazotumika kujaza watu kwenye ziara za rais tunazifahamu.
Mbona Chadomo huwa mnaongoza mafuriko ya mitandaoni ila mtaani mnapigwa za USO,hamuoni nyie ni wajinga mnaowekeza nguvu sehemu isiyo na faida kwenu?
 
She is simply incompetent.
And yet it's you who dance according to the tone she plays........

And yet she has got a bilion reasons not to give a damn about you but you have got none.........

And yet she is the most powerful person in tz while you are the weakest.........

And yet she lives in the 'cleanest' place where, unlike your place, bed bugs have got no room............

And yet she is guaranteed a life-time handsome monthly pension more than your whole clan annual income (if my English is ok)........

And yet..............
And yet..............
And yet..............
 
Mbona Chadomo huwa mnaongoza mafuriko ya mitandaoni ila mtaani mnapigwa za USO,hamuoni nyie ni wajinga mnaowekeza nguvu sehemu isiyo na faida kwenu?

Huko mtaani hatushindwi bali huwa tunaporwa ushindi na vyombo ya dola. Huku mitandaoni hakuna mbeleko ya vyombo vya dola bali kila mtu anashinda mechi zake. Ondoeni matumizi ya vyombo dola ndio mtajua nguvu yenu halisi ilipo.
 
And yet it's you who dance according to the tone she plays........

And yet she has got a bilion reasons not to give a damn about you but you have got none.........

And yet she is the most powerful person in tz while you are the weakest.........

And yet she lives in the 'cleanest' place where, unlike your place, bed bugs have got no room............

And yet she is guaranteed a life-time handsome monthly pension more than your whole clan annual income (if my English is ok)........

And yet..............
And yet..............
And yet..............
This is the kind of thinking for an ignorant and unfortunate creature.
 
And yet it's you who dance according to the tone she plays........

And yet she has got a bilion reasons not to give a damn about you but you have got none.........

And yet she is the most powerful person in tz while you are the weakest.........

And yet she lives in the 'cleanest' place where, unlike your place, bed bugs have got no room............

And yet she is guaranteed a life-time handsome monthly pension more than your whole clan annual income (if my English is ok)........

And yet..............
And yet..............
And yet......

This is the kind of thinking for an ignorant and unfortunate creature.
Ooooh!
May be s/he is not aware of what she has wrote. Because all he has mentioned are just life materials. Anyone can have them, it depends on their efforts and opportunity!

Kulala pazuri, kuwa na maisha bora ni suala la jitihada +kudra!
Kwa mfano ingetokea kila mtanzania akapewa chimbo lake achimbe dhahabu walau kg 1, au auze wanyama nje ya nchi, au avue samaki ziwani, baharini nk, nani angebaki maskini?

Lakini hao anaosema wana maisha bora ni kwasababu wana nafasi ya kutumia rasilimali za taifa na kujilipa hiyo mishahara mikubwa!
 
Ooooh!
May be s/he is not aware of what she has wrote. Because all he has mentioned are just life materials. Anyone can have them, it depends on their efforts and opportunity!

Kulala pazuri, kuwa na maisha bora ni suala la jitihada +kudra!
Kwa mfano ingetokea kila mtanzania akapewa chimbo lake achimbe dhahabu walau kg 1, au auze wanyama nje ya nchi, au avue samaki ziwani, baharini nk, nani angebaki maskini?

Lakini hao anaosema wana maisha bora ni kwasababu wana nafasi ya kutumia rasilimali za taifa na kujilipa hiyo mishahara
Kwangu mimi kumwita mtu aliyehudumu katika nafasi kubwa tu, tangu kitambo tu, na sasa anaendelea katika majukumu makubwa zaidi 'incompetent' ni tusi kubwa sana. Ni dhahiri linachochewa na wasiomkubali kwa sababu zao (ingawa zinaweza kuhisika). Tusio na chuki nae huwa tunajaribu, mara moja moja, kumtetea kutegemea na aina ya attack in the field........serious tutajaribu kuijibu kiuserious; dhihaka itaenda kidhihaka kama hivyo.

Angakizo; sina uhakika kama aliamka tu na kujikuta pale....

Point of correction; it is a person with a magic stick here.....not she!
 
kwani ukipewa U DC utakataa mzee
Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
ila nikipata fursa ya kumsalimu kwa karibu, nitampa ukweli huu wa jinsi JF mnavyokera kwa kumweleza wazi kuwa pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote licha
  1. Pascal Mayalla ni Mtanzania, anayekidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa na rais kushika wadhifa wowote kama U DC!. Siku zote nimekuwa nikisema sihitaji uteuzi, ila kuna mwana jf mmoja akauliza kama ikitokea ghafla mara pap... Pascal Mayalla umeteuliwa DC, Jee Utakataa?. Nilishindwa kujibu!, Ukiteuliwa ukikataa utaonekana ni mtovu wa nidhamu!. Ili kuzuia utovu wa nidhamu, ni vizuri uki declare interest wazi, openly na publically, Pascal Mayalla hahitaji uteuzi wa kuwa DC!.
  2. Kwenye uteuzi wa Majaji wapya, mmoja wa majaji wapya ni mwandishi wa habari binti, tulimpokea pale RTD, tukamfundisha kazi, akaenda kusoma sheria, akawa wakili wa kujitegemea juzi kateuliwa Jaji. Mimi pia nimesoma sheria, tena LL.B yangu ni LL.B (HONS) ya UDSM, hivyo ninakidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa kuwa Jaji, lakini naomba kukiri, siwezi kumhukumu mtu kifo, hivyo siwezi kuwa Jaji na naomba nisiteuliwe kuwa Jaji!.
Japo Kuna Wengi Wanapenda Uteuzi, Lakini Kuna Watu wa Ajabu!, Hawataki Kabisa Uteuzi wala Kazi za Malipo Manene!.
Kuteuliwa wadhifa wowote na rais wa JMT ni heshima kubwa, hivyo wateuliwa hufurahi kuheshimishwa, hivyo kuna wengi wanautamani sana u DC, U DAS, DED RC etc, amini usiamini, kuna watu fulani ambao hawazimikii kabisa uteuzi wowote wa ubwete!, au kazi za malipo manene!. Watu hao sio tuu ni wazuri at what they do, but they love what they do, and they are the best at what they do, ukiwateua watu hawa na kuwa u DC, japo u DC ni cheo kikubwa, lakini uki compare watakacho fanya kwenye U DC compared to what they do, it's a waste!. Just imagine unamchukua mtu kama Profesa wa Chuo Kikuu kama Prof. Shivji, ateuliwe DC!.
Tofauti Kati ya Pongezi za Ukweli, Bonafide Genuine na Pongezi za Uchawa na Kujikombakomba ni very thin!.
The dividing line kati ya pongezi za kweli kwa Rais wa nchi anapofanya vizuri na pongezi za kujikomba komba ama uchawa, is very thin, namna pekee ya kutofautisha ni pongezi genuine atapongezwa kwa mazuri tuu, lakini akikosea, atakosolewa, lakini pongezi za uchawa, kazi yao ni kupongeza tuu, hata akosee vipi, hawatamkosoa!.

Pascal Mayalla ni Msifiaji na Mpongezaji Mzuri, Ila Pia ni Mkosoaji Mzuri
Kila ninaposifu viongozi, kuna watu wanadhani ninasifu kuwinda uteuzi, na waamini Pasco Mayalla hajalamba uteuzi wowote, kwasababu ya ukosoaji wake. Msifiaji mtafuta uteuzi, kamwe hawezi kukosoa!, Pasco Mayalla alimsifu sana JK, ila pia alimkosoa, alimsifu sana JPM, ila pia alimkosoa hadi JPM akamtania "'Mayalla ni Njaa", na Sasa tunamsifu Samia, na ikitokea akakosea pia tunamkosoa!, kwasababu tunajua Rais Samia ni Binadamu, hivyo hawezi kuwa perfect, hivyo japo hapa namsifu rais Samia, siku akikosea, tunamkosoa kwa heshima na unyenyekevu la lengo la kujenga na sio kumbomoa!, constructive criticism.

Kwa Nini Pasco Mayalla, Hataki Uteuzi Wowote wa Hisani?.
Tanzania ni nchi yetu sote, wazalendo wa kweli, wana wajibu wa kuisaidia nchi yao na viongozi wake, sababu pekee inayosababisha Pascal Mayalla hataki uteuzi wowote ni kwa sababu Pascal Mayalla ni member wa Mhimili wa Nne, huku nilipo, nina isaidia sana nchi yangu na kuwasaidia sana viongozi wangu na nchi yangu kuliko hata nikiteuliwa. Na kuna ma DC waliokuwa wanafanya mambo makubwa mazuri ya kulisaidia taifa kabla hawajateuliwa na baada ya kuteuliwa, now they do nothing!.

Media ni Mhimili Sisi Watu Mhimili wa Media, Kama Unatimiza Majukumu Ya Kimhimili, Unataka Uteuliwe ili Ufanye Nini?.
Serikali zote duniani, zinaundwa na mihimili mitatu ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mhimili wa Nne!. Mhimili huu wa nne ambao sio rasmi, unaitwa “The Fourth Protocol” or “The Fourth Estate”.

Ile mihimili mitatu rasmi, ni rasmi kwasababu ndio iliyomo kwenye katiba, inatambulika na wakuu wa mihimili hiyo wanatambulika rasmi na kuheshimika sana, hawa ni Rais, Spika na Jaji Mkuu, ule mhimili wa Nne kwa vile sio rasmi, sio tuu hautambuliki, bali hauna hata mkuu wa mhimili, lakini mhimili huu upo!.

Mihimili hii mitatu ambayo ni rasmi, inaheshimika na majukumu yake, nguvu yake, , mamlaka yake,na madaraka yake yako wazi yameainishwa kwenye katiba, lakini huu mhimili wan ne usio rasmi. Kwa vile hautambuliki, hivyo nguvu yake, madaraka yake na mamlaka yake hayatambuliki lakini kiukweli yapo na una nguvu fulani kubwa kuliko hata hii mihimili mingine yote ila ngubu hii haijulikani rasmi kwasababu mhimili huu sio rasmi!.
P
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo
View attachment 2316635View attachment 2316636
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu humu kiukweli mnakera, sisi watu wa media, kila tukimpongeza rais kwa kufanya vema au mazuri yoyote, mnatuzodoa na kutunyooshea vidole kuwa pongezi hizo ni pongezi za kinafki kujipendekeza tuu ili kusaka uteuzi!.

Tangu rais Samia ameingia madarakani amefanya mengi mazuri ya kustahili pongezi za dhati, nami nimempongeza kwa mengi, lakini nakereka kila nikipongeza nabezwa kuwa nafukuzia uteuzi!.

Haya sasa Mungu bariki, mimi niko Mbeya, kwenye maonyesho ya Nane Nane nikifanya Vipindi vyangu vya Nane Nane na PPR, na rais yuko Mbeya, ndiye mgeni Rasmi kwenye kilele cha Nane Nane, hivyo kesho ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kukutana na Rais Samia face to face, tangu Mungu alipomteua kuwa rais wetu, hivyo ikitokea katika pita pita za mabandani. ikitokea akapita karibu yangu, nitamsalimia kwa sauti kubwa tuu na atasikia, sijui kama atajibu, shikamoo yangu...

Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
ila nikipata fursa ya kumsalimu kwa karibu, nitampa ukweli huu wa jinsi JF mnavyokera kwa kumweleza wazi kuwa pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote licha
  1. Pascal Mayalla ni Mtanzania, anayekidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa na rais kushika wadhifa wowote kama U DC!. Siku zote nimekuwa nikisema sihitaji uteuzi, ila kuna mwana jf mmoja akauliza kama ikitokea ghafla mara pap... Pascal Mayalla umeteuliwa DC, Jee Utakataa?. Nilishindwa kujibu!, Ukiteuliwa ukikataa utaonekana ni mtovu wa nidhamu!. Ili kuzuia utovu wa nidhamu, ni vizuri uki declare interest wazi, openly na publically, Pascal Mayalla hahitaji uteuzi wa kuwa DC!.
  2. Kwenye uteuzi wa Majaji wapya, mmoja wa majaji wapya ni mwandishi wa habari binti, tulimpokea pale RTD, tukamfundisha kazi, akaenda kusoma sheria, akawa wakili wa kujitegemea juzi kateuliwa Jaji. Mimi pia nimesoma sheria, tena LL.B yangu ni LL.B (HONS) ya UDSM, hivyo ninakidhi sifa na vigezo vya kuteuliwa kuwa Jaji, lakini naomba kukiri, siwezi kumhukumu mtu kifo, hivyo siwezi kuwa Jaji na naomba nisiteuliwe kuwa Jaji!.
Japo Kuna Wengi Wanapenda Uteuzi, Lakini Kuna Watu wa Ajabu!, Hawataki Kabisa Uteuzi wala Kazi za Malipo Manene!.
Kuteuliwa wadhifa wowote na rais wa JMT ni heshima kubwa, hivyo wateuliwa hufurahi kuheshimishwa, hivyo kuna wengi wanautamani sana u DC, U DAS, DED RC etc, amini usiamini, kuna watu fulani ambao hawazimikii kabisa uteuzi wowote wa ubwete!, au kazi za malipo manene!. Watu hao sio tuu ni wazuri at what they do, but they love what they do, and they are the best at what they do, ukiwateua watu hawa na kuwa u DC, japo u DC ni cheo kikubwa, lakini uki compare watakacho fanya kwenye U DC compared to what they do, it's a waste!. Just imagine unamchukua mtu kama Profesa wa Chuo Kikuu kama Prof. Shivji, ateuliwe DC!.

Mimi ni mtu wa mastory mastory, wale wa mastory, tuendelee, wale wa short and clear, nenda mwisho.

Rais wetu Mama Samia, ameonyesha kwa kauli na vitendo kuwa yeye ni mtu msikivu, na kuna mazuri mengi ameyafanya na anaendelea kuyafanya, yanayostahili pongezi. Sisi watu wa media, tukiandika jambo lolote zuri kumpongeza rais Safia kwa mazuri yake, tunanyoosjewa vidole ku3wa tunanyemelea uteuzi wa UDC, U RC au Ukurugenzi yaani U RAS au U DAS!. Kwa vile mimi ni Mtanzania na nina sifa za kustahili kuteuliwa nafasi yoyote ya uteuzi, kwa sababu ni haki yangu, kama Mtanzania, naomba ku declare publically kuwa mimi Pascal Mayalla, sipongezi kwa kutafuta uteuzi wowote wa u DC au u RC au Ukurugenzi, au uteuzi wowote wa Mama!.

Na kwa vile mimi niko Mbeya kwenye Nane Nane, na Mama Samia pia yuko Mbeya kuja kufunga Nane Nane, hapo kesho, ikitokea nikakutana na Mama Samia kesho kwenye Nane Nane,
Simulation ya encounter ya Pasco na Mama Samia
PM:“Sjikamoo Mama!...
RS : Marhaba Mwanangu.
PM: Nina Salaam zako kutoka JF!, akisimama, then nitampa salaam zake,
Asiposimama, then salaam zangu zitakuwa zimeishia hapo!.

Ikitokea amesimama, then nitampongeza kwa kazi nzuri!, na Tatu nitampa salamu zenu wana jf, na mimi Pascal Mayalla kumtamkia mama kuwa sitaki uteuzi wowote!.
Namna ya kukutana na kuzungumza na rais Samia hapo kesho ni kwa kutumia kitu kinachoiitwa na power of mind suggestibility, kama niliotumia hapa


Kesho ni zamu ya Rais Samia

Wasalaam.

Paskali.

Huna lolote wewe kazi kujikomba tu na kujipendekeza ili upate teuzi
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo
View attachment 2316635View attachment 2316636
Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
ila nikipata fursa ya kumsalimu kwa karibu, nitampa ukweli huu wa jinsi JF mnavyokera kwa kumweleza wazi kuwa pongezi zetu kwake kwa sisi baadhi yetu, ni pongezi bonafide genuine, kumpongeza kwa dhati kabisa kwa mazuri anayolifanyia taifa letu na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote
Wasalaam.

Paskali.
Unahangaika sana na teuzi, hii awamu utakuwa mtu wa ajabu sana
Huna lolote wewe kazi kujikomba tu na kujipendekeza ili upate teuzi
Wakuu Memento na Nazjaz karibuni msome hilo declaration
P
 
Back
Top Bottom