Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
She is mediocre!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutwa anasaka ubunge huku anasema hataki uteuzi na huku anaitwa Pascal NjaaSawa kiongozi,jipitishepitishe huenda akakuona!
Kujikomba kwa kusaka uteuzi kukoje?
Tofauti Kati ya Pongezi za Ukweli, Bonafide Genuine na Pongezi za Uchawa na Kujikombakomba ni very thin!.Kujikomba kwa kusaka uteuzi kukoje?
Tofauti Kati ya Pongezi za Ukweli, Bonafide Genuine na Pongezi za Uchawa na Kujikombakomba ni very thin!.Kutwa anasaka ubunge huku anasema hataki uteuzi na huku anaitwa Pascal Njaa
Kujikomba kwa kusaka uteuzi kukoje?
Mkuu Lanlady, naomba kukuuliza swali moja dogo la invasion of your privacy regarding your marital status.Kuwasifu na kujipendekeza kwa walamba asali ilihali wewe unaambulia kumeza mate na kujaza gesi tumboni hakuna faida!
Hahahaha labda Pascal wa 2016 lakini siyo huyu wa 2022Tofauti Kati ya Pongezi za Ukweli, Bonafide Genuine na Pongezi za Uchawa na Kujikombakomba ni very thin!.
The dividing line kati ya pongezi za kweli kwa Rais wa nchi anapofanya vizuri na pongezi za kujikomba komba ama uchawa, is very thin, namna pekee ya kutofautisha ni pongezi genuine atapongezwa kwa mazuri tuu, lakini akikosea, atakosolewa, lakini pongezi za uchawa, kazi yao ni kupongeza tuu, hata akosee vipi, hawatamkosoa!.
Pascal Mayalla ni Msifiaji na Mpongezaji Mzuri, Ila Pia ni Mkosoaji Mzuri
Kila ninaposifu viongozi, kuna watu wanadhani ninasifu kuwinda uteuzi, na waamini Pasco Mayalla hajalamba uteuzi wowote, kwasababu ya ukosoaji wake. Msifiaji mtafuta uteuzi, kamwe hawezi kukosoa!, Pasco Mayalla alimsifu sana JK, ila pia alimkosoa, alimsifu sana JPM, ila pia alimkosoa hadi JPM akamtania "'Mayalla ni Njaa", na Sasa tunamsifu Samia, na ikitokea akakosea pia tunamkosoa!, kwasababu tunajua Rais Samia ni Binadamu, hivyo hawezi kuwa perfect, hivyo japo hapa namsifu rais Samia, siku akikosea, tunamkosoa kwa heshima na unyenyekevu la lengo la kujenga na sio kumbomoa!, constructive criticism.
Kwa Nini Pasco Mayalla, Hataki Uteuzi Wowote wa Hisani?.
Tanzania ni nchi yetu sote, wazalendo wa kweli, wana wajibu wa kuisaidia nchi yao na viongozi wake, sababu pekee inayosababisha Pascal Mayalla hataki uteuzi wowote ni kwa sababu Pascal Mayalla ni member wa Mhimili wa Nne, huku nilipo, nina isaidia sana nchi yangu na kuwasaidia sana viongozi wangu na nchi yangu kuliko hata nikiteuliwa. Na kuna ma DC waliokuwa wanafanya mambo makubwa mazuri ya kulisaidia taifa kabla hawajateuliwa na baada ya kuteuliwa, now they do nothing!.
Media ni Mhimili Sisi Watu Mhimili wa Media, Kama Unatimiza Majukumu Ya Kimhimili, Unataka Uteuliwe ili Ufanye Nini?.
P
Mkuu Azizi Mussa , usemayo ni kweli kabisa, huyu Mama ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki!. Taifa la Tanzania litabarikiwa sana. Haki Huinua Taifa! Rais Samia kwa Kauli na Matendo ameonesha ni mtu wa Haki. Akitekeleza hili kama alivyosema, atabarikiwa, Tanzania itabarikiwaMama ni moja ya viongozi wachache duniani ambao ni waadilifu wasiopenda kabisa dhulma. Hilo pekee linamfanya awe kiongozi bora. Ijapokuwa kuisimamisha haki huhitaji ushirikiano wa watu wengi, kwa kuanzia kuwa na rais muadilifu ni hatua muhimu.
Tumefika 178, Kawe itasubiri!. Tuliochukua fomu za Kawe, tulikuwa 176!. Kwa vile mimi ni mwana CCM, na kiukweli kwenye kutafuta uteuzi, mbinu mbalimbali hutumika, some ni hooks and crooks, mbinu kuu ikiwa ni mwenye kisu kikali ndiye atakula nyama!, hivyo nimetoa ushauri huu mzuri tuu kwa chama changu Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha IpasavyoTukiachana na hiyo, hivi waliochukua fomu wamefikia wangapi brother P. Nilikuwa busy sijapata updates.
Japo mimi ni muumini wa duality, lakini Pasco wa JF, Pascal Mayalla na Paskali, is the one and the same, juzi, jana na leo na hata milele!.Hahahaha labda Pascal wa 2016 lakini siyo huyu wa 2022
2016- Pascal Mayalla na 2017+ Pascal NjaaJapo mimi ni muumini wa duality, lakini Pasco wa JF, Pascal Mayalla na Paskali, is the one and the same.
P
Paskali umeuliza swali zuri ila kwa sehemu isiyo sahihi.Mkuu Ngorunde , naomba kukuuliza swali moja la a bit invasion of your personal privacy. Wewe ni ME or KE and what is your marital status?.
P.
Kauli huumba, the man was so powerful, ile kauli yake kuwa Mayalla maana yake ni njaa, na kweli baada ya kauli ile, njaa ni kweli ikanitembelea!, ila pamoja na njaa kunitembelea sikubadilika hata mara moja, niko vile vile, ni masikini jeuri!. Kuna siku njaa inakaba kweli kweli na kulala njaa kwataka moyo, mimi ni kama kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda, nilikomaa na njaa yangu hadi Leo, hadi kesho, mimi ni yule yule juzi, jana, leo na hata milele.2016- Pascal Mayalla na 2017+ Pascal Njaa
Umeongea point mkuuMadudu yanayofanyika na mfumoko wa bei za bidhaa unapongeza nini kama siyo unafiki tupu nakusaka fursa za uteuzi? wananchi wanalia maisha magumu mtu mmoja anaongoza na msafara wa magari zaidi ya 100 kwa uchumi upi?
Mkuu Ngorunde, you have the right to remain silent na kutojibu. Sisi watu wa media, zaidi ya kuwa ni wahabarishaji pia sisi ni waalimu wazuri wa jamii. Ungejibu swali langu, ningekufungulia darasa.Paskali umeuliza swali zuri ila kwa sehemu isiyo sahihi.
Swali lako halihusiani na mada iliyoko mezani.
Nina haki ya kutolijibu.
Nchi haiendelei sababu imejaa wanafiki watupu na wasaka fursaUmeongea point mkuu
Mkuu umenichekesha sn, ungekuwa jeuri usingefyata mkia na kujikuta unajikomba kwa jiwe kwenye ubunge na matokeo yake ukaishia kura moja, mtu ambaye anaweza kusema ni jeuri ni Mbowe au Lissu wengine wote ni wasaka fursa tupuKauli huumba, the man was so powerful, ile kauli yake kuwa Mayalla maana yake ni njaa, na kweli baada ya kauli ile, njaa ni kweli ikanitembelea!, ila pamoja na njaa kunitembelea sikubadilika hata mara moja, niko vile vile, ni masikini jeuri!. Kuna siku njaa inakaba kweli kweli na kulala njaa kwataka moyo, mimi ni kama kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda, nilikomaa na njaa yangu hadi Leo, hadi kesho, mimi ni yule yule juzi, jana, leo na hata milele.
P.