Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Mkuu Kioo, mirror01, karibu mitaa hii!
P
Mda sio upande wako mkuu Pascal Mayalla chaguzi ni next year 2025,mikeka tayari imeanza kusuasua....huna budi nilazima uwe mkali kwa kila uongozi wa lichama lako in short umepata kiwewe hujiwi nini kitatokea...mada yako kwa sasa ipo very irrelevant the timing is so poor baada yakungojea meli JNIA kwa mda mrefu umeamua kupata cheap popularity.Mkuu umekata pumzi nivema upumzike tuu usiwe kama wakina Prof Lipumba
 
JF was meant for GTs, my gt wote humu wananielewa na kunifahamu kuwa sijawahi kufyata, na wala sikujikomba bali nilijiunga rasmi na JPM ili kumsaidia, na nilitangaza humu rasmi kujiunga nae, Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na kiukweli, nilimsaidia sana tu Blaza.

Kwenye fani yetu ya habari, tunafundishwa kuwa majasiri, brave and fearless, but when you reach a point life threatening situation and your facing choosing between bravery to death na kuitwa shujaa or retreat and surrender and survival na kuitwa umefyata, mimi nilichagua the survival path, kama unaamini ile Kawe project niliopata kura moja, nilidhamiria, ni nilivuna nilicho panda, then watch me now in Eala ambayo sasa ndio nimedhamiria kiukweli kweli.

Kama nilivyomsaidia sana JPM, watu waliomzunguka hawana uwezo wa kumsaidia kwenye areas za beyond the paranormal kama eneo karma, na matokeo ndio yale, karma imekula kichwa!. Huyu Mama anahitaji kusaidiwa maeneo hayo, thanks God ni mcha Mungu, mtenda mema na mtenda haki, hivyo there is no life threatening bad karmic creations, msaada mkubwa kwa mama, ni kumsaidia afike salama 2025 October, by July 2025 atasema mwenyewe kitu!.

Tunamsaidia na kwenye Eala nia ni kwenda kulisaidia taifa.
P
Pascal Mayalla , acheni kuvishana nyota zakipumbavu hakuna cha great thinker hapa JF ...Kwanza wewe ungekuwa mtu great ungeongea na kupinga vehemently kupigwa risasi kwa Mh Lissu hata kuungana na media fraternity especially kwenye investigative journalism ili mujuwe Nani alikuwa behind that salvagelish & brutal attack ambaye prime suspect alikuwa Jiwe ..kwasababu ya woga ulienda Kawe ili ukamfurahishe what ashame shetani hana lafiki walikukata.Leo umeona mama amekunyima tonge umeamua kuanza kubwekabweka...wewe huna tofauti na huyu kichaa Lucas mwashambwa aka Mwasambwanda.
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo
View attachment 2316635View attachment 2316636
Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais wetu pia ni binadamu kama binadamu mwingine yeyote, akifanya vema, anastahili pongezi as encouragement, aendelee kufanya mazuri zaidi na zaidi, lakini baadhi ya watu humu kiukweli mnakera, sisi watu wa media, kila tukimpongeza rais kwa kufanya vema au mazuri yoyote, mnatuzodoa na kutunyooshea vidole kuwa pongezi hizo ni pongezi za kinafki kujipendekeza tuu ili kusaka uteuzi!.

Tangu rais Samia ameingia madarakani amefanya mengi makubwa mazuri ya kustahili sifa na pongezi za dhati, lakini pia Rais Samia sio malaika, hivyo anaweza kukosea na tutamkosoa!. Hivyo katika mazuri, nami nimempongeza kwa mengi, lakini nakereka kila nikipongeza nabezwa kuwa nafukuzia uteuzi!, hivi watu mnaona pongezi tuu?, critics hamzioni?.

Jana Rais Samia kateua majaji wapya 22 wa mahakama Kuu, katika uteuzi huo majaji 11 ni Wanawake na 11 ni wanaume, nikapandisha bandiko la pongezi Kuelekea Usawa wa Kijinsia: Kumbe 50/50 Inawezekana!, Wanawake Hao wa 50/50 Wapo!. Hongera Sana Rais Samia Kwa Kuonyesha Njia! Je 2025 Tuwaonyeshe?
wale wazodoaji wakaniibukia eti ni bandiko la kujipendekeza, eti kwa vile sifa za kuwa jaji ni kuwa na LL.B, na mimi ninayo, sasa naupumulia u Jaji!. Acheni hizo!.

Haya sasa Mungu bariki, mimi niko Mbeya, kwenye maonyesho ya Nane Nane nikifanya Vipindi vyangu vya Nane Nane na PPR, na rais yuko Mbeya, ndiye mgeni Rasmi kwenye kilele cha Nane Nane, hivyo kesho ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kukutana na Rais Samia face to face, tangu Mungu alipomteua kuwa rais wetu, hivyo ikitokea katika pita pita za mabandani. ikitokea akapita karibu yangu, nitamsalimia kwa sauti kubwa tuu na atasikia, sijui kama atajibu, shikamoo yangu...

Declaration of Interest: Pascal Mayalla. hahitaji uteuzi wowote wa hisani wa rais kuwa DC, DED, RAS, RC, JAJI, or anybody!.
na ku declare interest publically kuwa Mimi Pascal Mayalla, nikipongeza, ni nina pongeza kwa dhati na sihitaji uteuzi wowote
Paskali.
Mayalla Mayalla,
Uteuzi haukuhusu tena jamaa yangu,tulia tu sasa.
Karibu!
P
 
Back
Top Bottom