Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages

Hivi mtu atafanya propaganda juu ya maelezo ya msimamo wa Kanisa, kwa lengo gani?
 
Upinde wanatumia wanaharakati vizuri sana.
 
Kwann mtu anayejaribu kujiua anashtakiwa? Mwili ni wake, uhai ni wake, kufa kwake hakukoseshi haki msikiti wala kanisa, sasa objective ya kumkamata ni ipi?
 
Yaani hili jambo kwako unaliona sio la msingi?...
Kumbe wewe jamaa ni mpumbavu sana....
Isije ikawa na wewe ni.....
 
Kwann mtu anayejaribu kujiua anashtakiwa? Mwili ni wake, uhai ni wake, kufa kwake hakukoseshi haki msikiti wala kanisa, sasa objective ya kumkamata ni ipi?
Ni uonevu. mwacha ajiue.
Unajua historia ya Ufalme? Sheria ya kutojiua ni ya kifalme. Katika nchi za kifalme wewe na mimi ni mali ya mfalme. Objects of the mfalme. wewe mwili wako ni mali ya mtu na si wako. Wewe huna nafsi, nafsi ni mali ya mfalme, kama kilivyo kikombe , kuku, bata, kijiko. hatuna tofauti na hivyo vifaa vya mfalme. Hivyo kujiua ni kuua kifaa cha mfalme ndiyo maana waka criminalize kujiua.
 
Ukitaka kufunga kampuni unahakikisha hakuna atakayeathirika na kufungwa hiyo kampuni. Unapojiua unaacha mambo mengi nyuma, madeni, majukumu n.k nani ayafanye?

Imagine pampas na pedi za kina mama serikali haijaweza kusambaza, sasa tuongeze na pampas za wanaume wazee na masikini? Maana ni suala la muda wataanza kuomba hiyo haki punde watakapohalalishwa.

Ushoga unaathiri jamii ya kizazi kinachokuja. Hawa mashoga waliopo wapo sababu wazazi wao walifanya ngono na jinsia tofauti.
 
Kwani huna official documents za kanisa? Haya mambo yamebainisgwa ila sema uvivu unawafanya kula vitu vya mtandao. A Catholic should posses documents on a all matters as explicated by the Church. Haya mambo yalishawekwa wazi kitambo
 
Ulishasoma chapisho lokote la kanisa kuhusu homosexuality?
 
Nipe credible source inayosema kanisa LA ujerumani kimeruhusu. Pili inaonekana haujui hierarchical structure ya kanisa katoliki. Unafikiri ni umoja wa semiautonomous churches kama Anglican. Read
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…