Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza.

Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi

Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.

Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo

1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?

2. Ameamua kukaa kimya?

3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?

4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI

Mwisho
Jjiwe was a Satan, misukule ya jjiwe mnatapatapa,mnaomba kila mtu afe kama yule shetani wenu
 
Endelea kujifunza.....[emoji1787][emoji1787]

Ulimuona wapi mh.Rais Kikwete akijitokeza kuongelea ule mkataba wetu wa serikali ya awamu ya 5 na YERPI MERKEZ kutoka uturuki kwa ajili ya ujenzi wa SGR?!!!

Ulimuona wapi mh.Rais Kikwete akijitokeza kuongelea ule mkataba wa serikali ya awamu ya 5 na ARAB CONTRACTORS kutoka Misri kwa ajili ya ujenzi wa BWAWA la kufua umeme pale Rufiji?!!!!


TUWEKE KUMBUKUMBU



Karibu Al Kasus hapa Chokocho [emoji120]
Jikite kwenye mada , kwangu nimetangaza potewa na rais wangu mstaafu Mzee JAKAYA KIKWETE NATAKA AJITOKEZE BASI ,SASA SHIDA NINI TENA, Huyu Sio mali ya familia yake bali ni mali ya Watz wote ndo maana anaendelea humiwa pitia kodi yangu ,wewe, na watz wengine kwa umoja wetu

Kosa ni nini hapa
 
Jakaya ni Mwanasiasa bobezi

hata wakati wake hakuwa anaongelea mambo yakiwa ya moto …anasubiri yamepoa then a achagua upande kwa busara sio kwa mihemko

wakati Waandishi wanamsubiri aongelee ya Escrow wakashangaa a anaongelea ya Tezi dume

sasa hivi yupo na Awesu ana ratibu Mkutano wa masuala ya maji Duniani

wakati wa Richmond akawa anaongelea ya Sinema ya Mapanki

Yule Mzee amekwepa mishale mingi sana kwa style hii

la Mkataba atakuja tu kuliongelea baadae sana kama vile alivyoongelea la Babu wa Loliondo wakati wa Katiba mpya
Hahaha hana papara anasoma kwanza mchezo...
 
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza.

Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi

Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.

Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo

1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?

2. Ameamua kukaa kimya?

3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?

4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI

Mwisho
Bandari siyo suala gumu Wala zito
 
usitegemee kama ataongea kitu cha maana juu ya bandari zaidi ya kuunga mkono juhudi za uwekezaji

hatutaki kusikia chochote kutoka kwake kwa sabau kutakuwa hakuna jipya
 
Kwanini isiwe Mzee Ally Hassan Mwinyi?
Mzee Mwinyi alisha sema amezeeka sana , na wakati mwingine anasema moja ya watoto wake wakimtembelea ,akiambiwa mwanao flani amefika kukusalimia ,humuhuliza bibi mkubwa kwamba ivi aliekuja ndo nani vile? ( ni maneno yake mwenyewe mzee)

Kama ndo ilivyo vipi mimi ambae ni kabwela si atasema kibaka uyo kaja

Namtafuta MZEE KIKWETE AJITOKEZE VINGINEVYO NITAFUNGUA FAIL POLICE LA KUPOTELEWA NA MZEE KIKWETE( RAIS MSTAAFU WA JMT)
 
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza.

Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi

Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.

Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo

1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?

2. Ameamua kukaa kimya?

3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?

4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI

Mwisho
Jk hawezi kukuongelea wewe mustakabali wa Taifa lalo na vizazi vyako. Waza wajukuu wakiwa wanakuulizia labda ulifanyeje Babu ama utadai wastaafu walikaa kimya namie nikakaa kimya
 
Watanganyika ni asili yenu kulalamika..
akiongea mambo ya nchi na uongozi kwa ujumla oohh anaongoza nchi kwa remote
akikaa kimya - mzee atakuwa anaumwa huyu ama yupo nje anakula bata 😀😀
Kwakweli Mungu atusamehe tu, maana dah!
 
usitegemee kama ataongea kitu cha maana juu ya bandari zaidi ya kuunga mkono juhudi za uwekezaji

hatutaki kusikia chochote kutoka kwake kwa sabau kutakuwa hakuna jipya
Ndo naana amenyamaza ili wewe mwenye akili unateweza kukngea cha maana uongee; mwaga points mkuu watanzania tunakusikiliza!!!
 
Bandari siyo suala gumu Wala zito
Mkuu bandari ni swala la kitaifa na muhim ila pia swala la mzee Kikwete kumtafuta alipo kama Mwananchi ni haki yangu,
Mzee popote ulipo jitokeze Nakutafuta , hata pitia vyombo vya habari ,sina vigezo hata vya kukanyaga hata nje ya mji wako ila kama Uliekua rais wangu kwa miaka 10 nakutafuta
Jk hawezi kukuongelea wewe mustakabali wa Taifa lalo na vizazi vyako. Waza wajukuu wakiwa wanakuulizia labda ulifanyeje Babu ama utadai wastaafu walikaa kimya namie nikakaa kimya
Mimi namtafuta mtu ambae amekua kiongozi wangu mkuu wa nchi kwa miaka kumi ,na hoja sijamuona mda mrefu , sasa kebehi zako za nini katika uzi huu, tueshimiane
 
Back
Top Bottom