Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza...
A. Marwa niko Tarime moja. Mstaafu baba, RIP....wastaafu huwa hawasumbuliwi... 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Na kimya kingi kina mshindo mkuu....
 
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
Pumbavu dogo , jk ni mali ya umma ,kama ulikua hujui jua , Acha zifike siku 21 naenda police kufungua RB ya kupotelewa na Rais wangu mstaafu Mzee( Mrisho J Kikwete)

Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
 
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza.

Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi

Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.

Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo

1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?

2. Ameamua kukaa kimya?

3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?

4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI

Mwisho

Bora aendelee kukaa kimya hivyo hivyo anasakamwa sana
 
uwe unafuatilia ratiba zake... tulikuwa nae CHAMAZI kwenye TEAM KIBA v TEAM SAMATTA... Hana Nongwa Mtu yule...

Jiwe aliambiwa asifanye Mchezo na watoto wa Mjini... akashupaza shingo... haya sasa... kiko wapi... Sukuma Gang imedoda...
 
Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo

1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?

2. Ameamua kukaa kimya?

3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?

4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI
Mtu akishika remote ukamsemesha atakujibu au kukusikiliza? Yrye anakomaa na kubonyezabonyeza tu
 
Mnataka watu watoe maoni yao kuhusu bandari ila hamuheshimu uhuru wa maoni wa watu wengine,

Hapo akitoa maoni yake ambayo hayakufurahishi wewe bila shaka utafungua uzi mwingine hapa wakumsema vibaya,

Jifunzeni kwanza kuheshimu uhuru wa maoni wa watu wengine hata kama hayo maoni hayakupendezi au hayakuja kama ulivyo tarajia wewe.
Asante kwa kurudisha avatar picha Yako ya awali tuliyoizoea.
 
Jakaya ni Mwanasiasa bobezi

hata wakati wake hakuwa anaongelea mambo yakiwa ya moto …anasubiri yamepoa then a achagua upande kwa busara sio kwa mihemko

wakati Waandishi wanamsubiri aongelee ya Escrow wakashangaa a anaongelea ya Tezi dume

sasa hivi yupo na Awesu ana ratibu Mkutano wa masuala ya maji Duniani

wakati wa Richmond akawa anaongelea ya Sinema ya Mapanki

Yule Mzee amekwepa mishale mingi sana kwa style hii

la Mkataba atakuja tu kuliongelea baadae sana kama vile alivyoongelea la Babu wa Loliondo wakati wa Katiba mpya
MARADONA! 👊😅 ✌️✌️✌️💥
 
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza.

Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi

Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.

Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo

1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?

2. Ameamua kukaa kimya?

3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?

4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI

Mwisho
JK, RA, Sa100..... Nasikia ndio DPW Tanzania
 
Mnataka watu watoe maoni yao kuhusu bandari ila hamuheshimu uhuru wa maoni wa watu wengine,

Hapo akitoa maoni yake ambayo hayakufurahishi wewe bila shaka utafungua uzi mwingine hapa wakumsema vibaya,

Jifunzeni kwanza kuheshimu uhuru wa maoni wa watu wengine hata kama hayo maoni hayakupendezi au hayakuja kama ulivyo tarajia wewe.
Waisiharamu ni wapumbavuuuu cheki eti huyu kwao ndiyo subuana watara wamemshikia mwamvuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
Screenshot_20230701-221558_Lite.jpg
 
Back
Top Bottom