Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake

Kichwa tajwa chajieleza...
A. Marwa niko Tarime moja. Mstaafu baba, RIP....wastaafu huwa hawasumbuliwi... ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Na kimya kingi kina mshindo mkuu....
 
Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
Pumbavu dogo , jk ni mali ya umma ,kama ulikua hujui jua , Acha zifike siku 21 naenda police kufungua RB ya kupotelewa na Rais wangu mstaafu Mzee( Mrisho J Kikwete)

Acha utoto dogo fanya Mambo yako hv huko kwenu hasa kijijini hakuna umaskini uliotopea ukaujadili mpaka utake kujua maoni ya jk kwenye issue ya bandari?
 

Bora aendelee kukaa kimya hivyo hivyo anasakamwa sana
 
uwe unafuatilia ratiba zake... tulikuwa nae CHAMAZI kwenye TEAM KIBA v TEAM SAMATTA... Hana Nongwa Mtu yule...

Jiwe aliambiwa asifanye Mchezo na watoto wa Mjini... akashupaza shingo... haya sasa... kiko wapi... Sukuma Gang imedoda...
 
Mtu akishika remote ukamsemesha atakujibu au kukusikiliza? Yrye anakomaa na kubonyezabonyeza tu
 
Asante kwa kurudisha avatar picha Yako ya awali tuliyoizoea.
 
MARADONA! ๐Ÿ‘Š๐Ÿ˜… โœŒ๏ธโœŒ๏ธโœŒ๏ธ๐Ÿ’ฅ
 
JK, RA, Sa100..... Nasikia ndio DPW Tanzania
 
Waisiharamu ni wapumbavuuuu cheki eti huyu kwao ndiyo subuana watara wamemshikia mwamvuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ