Popote alipo namtafuta Mzee Jakaya Kikwete aweke neno kuhusu haya

1. Ikiwa hufamu ujue na waovu wanaishi miaka mingi.

Kibiblia muovu kuishi miaka mingi ni laana.
2. Si kweli kuwa startv inaangaliwa na wengi, ni moja tvvstation yenye maudhui hafifu hadi sauti...bora hata redio yao ina sauti murua
Unamaanisha kua Raisi wa chato sio muovu kwakua alikata Moto mapema,hivi nyie wasukuma akili zenu zinakaa maeneo gani???
 

nenda kwake
 
ukiona jambo linafanywa na mama samia jambo lolote hata uteuzi ujue ni kikwete ndie muelekezaji
 


Lete Maneno....

Kufanya Mambo Mwayangumwayangu....
Akili Za Kuambiwa Changanya Na....

Walisema JK Hachomoi, Nawauliza Nimechomeka Wapi?
By JK Wa Msoga Chalinze Pwani Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…