shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
SAS hata mkataba ujauona ila mwekezaji ushaanza muita katili [emoji3]Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Ukiwa na nchi yenye raia wasiojitambua na viongozi wasiojielewa idadi ya watu si hoja!Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Maan ya ubinafsishaji ni ipi nifahamishe ?Kwa nini hawajaibinafisisha ya Zanzibar ?
Etern...NoUkweli mtupu umeongea, ndugu yangu anafanya etern ya udakitari jana alisahau coat lake jaupe akaenda canteen kunywa chai hakulikuta tena manaake liliibiwa na madakitari wenzake hao ndo wasomi wetu.....
Umesahau kwenye kundi pia kuna wale wasiosikiliza Muziki wa singeli wala bongofleva, pia sio macharii wa R, hawachanganyi R na L lakini ni wapumbavu kama ulivyo wewe.Kuwa wengi sio tija. Hata Serengeti utakuta nyumbu zaidi ya 5000 wanakimbizwa na Simba mmoja ambaye hajabalehe. Katika watu 63m kuna wafuatao;
1. Wenye ugonjwa wa kuchanganya L & R kwenye sentensi.
2. Mashabiki wa Yanga.
3. Wakazi wa Geita na Njombe.
4. Wasukuma
5. Wafuasi wa chama cha Mbowe.
6. Wafuasi wa Mwamposa na Kuhani Musa.
7. Mashabiki wa muziki wa Singeli
8. Wahadzabe
9. Machalii wa R
10. Wateja wa Kimboka, Sewa, Corner Bar, Kitambaa cheupe, nk.
12. Video vixens
13. Mpwayungu Village.
Ukitoa hayo makundi hapo juu unakuta wanaobaki wenye akili ni wachache sana kama laki 8 tu.
trust me dp world ataenda kuwafunga watu midomo na kusema kwa nini walichelewa kuja husussani tz ni potential kwenye swala la mizigoUkiingia Bandarini ndio utajua hatuna akili au tuna akili.
Hao ni kina Manjagata wakatanta babukijana Mayor QuimbyKuwa wengi sio tija. Hata Serengeti utakuta nyumbu zaidi ya 5000 wanakimbizwa na Simba mmoja ambaye hajabalehe. Katika watu 63m kuna wafuatao;
1. Wenye ugonjwa wa kuchanganya L & R kwenye sentensi.
2. Mashabiki wa Yanga.
3. Wakazi wa Geita na Njombe.
4. Wasukuma
5. Wafuasi wa chama cha Mbowe.
6. Wafuasi wa Mwamposa na Kuhani Musa.
7. Mashabiki wa muziki wa Singeli
8. Wahadzabe
9. Machalii wa R
10. Wateja wa Kimboka, Sewa, Corner Bar, Kitambaa cheupe, nk.
12. Video vixens
13. Mpwayungu Village.
Ukitoa hayo makundi hapo juu unakuta wanaobaki wenye akili ni wachache sana kama laki 8 tu.
Dubai sio nchi ni mji tu huko U.A.E (United Arab Emirates) Mji Mkuu wa U.A.E ni Abu Dhabi .Kwahiyo hapo umelinganisha mji wa Dubai na nchi ya Tanzania😀😀Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Hela ulizo nazo ziko wapi?Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Dubai sio nchi ni mji tu huko U.A.E (United Arab Emirates) Mji Mkuu wa U.A.E ni Abu Dhabi .Kwahiyo hapo umelinganisha mji wa Dubai na nchi ya Tanzania😀😀
Tanzania ni yetu sote.Nimezaliwa hapa na nitatawala hapa hapa.Mungu ametupa hii dunia tuitawale, mahali popote pale dunia ni nyumbani...! Ukiona Tz hupaelewi dunia ni kubwa sana tafuta mahali unapoona panakufaa nenda kaishi acha kulalamika hovyo, lawama hazijawahi kusaidia chochote