Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?

Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?

Kuwa wengi sio tija. Hata Serengeti utakuta nyumbu zaidi ya 5000 wanakimbizwa na Simba mmoja ambaye hajabalehe. Katika watu 63m kuna wafuatao;
1. Wenye ugonjwa wa kuchanganya L & R kwenye sentensi.
2. Mashabiki wa Yanga.
3. Wakazi wa Geita na Njombe.
4. Wasukuma
5. Wafuasi wa chama cha Mbowe.
6. Wafuasi wa Mwamposa na Kuhani Musa.
7. Mashabiki wa muziki wa Singeli
8. Wahadzabe
9. Machalii wa R
10. Wateja wa Kimboka, Sewa, Corner Bar, Kitambaa cheupe, nk.
12. Video vixens
13. Mpwayungu Village.

Ukitoa hayo makundi hapo juu unakuta wanaobaki wenye akili ni wachache sana kama laki 8 tu.
Wewe bandali ikianza,wakichagua makontena ya uzinduzi ,Nawewe ni moja ya kontena,
 
Kwa kweli siwezi kushangaa kwani tangu udogo wao walikuwa waizi na utakuta mpaka baba ni mwizi

Wengi wamekuwa kwa wizi wizi hebu angalia coat tu tena Dr anaiba

Mimi nawajua vizuri sana nimewasoma sana na nimefanya biashara na kuwajua in and out watu wa matabaka tofauti tofauti
Tunaishi katika jamii inao amini kwamba wizi ni kipato rushwa ni sehemu ya maisha kila kitu kuna dili, neenda uahamiaji, Nida, Tanapa Tenesco TRA ni wizi wizi.....sasa hiyo jamii ndo inategemea iendeshe badali kisasa.
 
Mfano mwingine Nigeria ina mafuta zaidi ya Dubai lakini Petroli mpaka foleni au uende Black Market kila kitu kinaibiwa mali za umma zinaibiwa fedha za umma zinaibiwa.

Waafrika tumefeli inatubidi tubadilishe mindset zetu.
Hao ndio majizi makubwa duniani
Na mataifa yote yanawaogopa
Wanaiba kwa kalamu sana

Nchi yao ni corrupt yote
Wizara ya ulinzi ililalamika kuwa hawawezi kupambana na Boko Haram wanahitaji silaha kubwa na ndege za kivita pamoja na helicopters

Walipewa fungu likapita kwenye bajeti ila cha kushangaza wakawa wanajeshi wanapigwa mpaka wanaingia nchi jirani

Rais Buhari akahoji kulikoni akafukuza maafisa wakubwa kumbe zile hela wamegawana waziri wa ulinzi na wakuu wa majeshi

Sasa kama wakuu wa majeshi wanaiba hela za silaha unategemea uzalendo gani hapo

Na sisi kuna watu huwa nawacheka wanaposema ooh hawa wafanyabiashara wenye asili ya nje tunaogopa usalama wa nchi au kuwabagua watu kwenye wadhifa kubwa na kusema sio watz


Ulaya nchi kama UK leo PM na waziri wa mambo ya ndani na Mayor wa jiji wote asili yao Asia ila husikii wazungu wanasema wanaogopa usalama wa nchi wakati wana mpaka nuclear weapons

Sisi hata kiwanda cha mishale hatuna halafu eti usalama [emoji1]
 
Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Wakaina nani? Ukienda vyuoni kumejaaa makada Chawa
 
Hao ndio majizi makubwa duniani
Na mataifa yote yanawaogopa
Wanaiba kwa kalamu sana

Nchi yao ni corrupt yote
Wizara ya ulinzi ililalamika kuwa hawawezi kupambana na Boko Haram wanahitaji silaha kubwa na ndege za kivita pamoja na helicopters

Walipewa fungu likapita kwenye bajeti ila cha kushangaza wakawa wanajeshi wanapigwa mpaka wanaingia nchi jirani

Rais Buhari akahoji kulikoni akafukuza maafisa wakubwa kumbe zile hela wamegawana waziri wa ulinzi na wakuu wa majeshi

Sasa kama wakuu wa majeshi wanaiba hela za silaha unategemea uzalendo gani hapo

Na sisi kuna watu huwa nawacheka wanaposema ooh hawa wafanyabiashara wenye asili ya nje tunaogopa usalama wa nchi au kuwabagua watu kwenye wadhifa kubwa na kusema sio watz


Ulaya nchi kama UK leo PM na waziri wa mambo ya ndani na Mayor wa jiji wote asili yao Asia ila husikii wazungu wanasema wanaogopa usalama wa nchi wakati wana mpaka nuclear weapons

Sisi hata kiwanda cha mishale hatuna halafu eti usalama [emoji1]
Asante mkuu kwa kiburudisho 🤣🤣🤣
 
Kila mtu anataka akafanye kazi bandari au TRA akaibe
Li nchi limejaa wezi,mafisadi,wabinafsi ,nchi ina laana hii

Ova
Tena viongozi ndio zaidi wanatuma vimemo watoto wao wapelekwe border au bandari

Yaani mtu anapambana apate kazi ambazo anajua kuna rushwa kwa wingi
Sehemu za wizi na ulaji zinajulikana
 
Walahi nakumbuka Railway nilipanda na father miaka ya 60 bado wazungu wapo na tulilala first na lunch tukaletewa chumbani
Enzi hizo Shilling ilikuwa na thamani haswa na ina nguvu sana
Viwanda vilikuwepo na wafanyakazi walikuwa waadilifu haswa

Sijui watu wamebadilika kwa sababu ya viongozi majizi?
Duh 60s salute kamanda

Ova
 
Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.

Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Wewe pimbi kweli unalinganisha idadi ya watu na maendeleo! Kwani nani amekuambia kuwa wengi ndio chanzo cha maendeleo! Ni sawa na kusema mwenye kuku 3.5M ni sawa na mwenye njiwa 65.7M!!! Hovyo kabisa!
 
Kuwa wengi sio tija. Hata Serengeti utakuta nyumbu zaidi ya 5000 wanakimbizwa na Simba mmoja ambaye hajabalehe. Katika watu 63m kuna wafuatao;
1. Wenye ugonjwa wa kuchanganya L & R kwenye sentensi.
2. Mashabiki wa Yanga.
3. Wakazi wa Geita na Njombe.
4. Wasukuma
5. Wafuasi wa chama cha Mbowe.
6. Wafuasi wa Mwamposa na Kuhani Musa.
7. Mashabiki wa muziki wa Singeli
8. Wahadzabe
9. Machalii wa R
10. Wateja wa Kimboka, Sewa, Corner Bar, Kitambaa cheupe, nk.
12. Video vixens
13. Mpwayungu Village.

Ukitoa hayo makundi hapo juu unakuta wanaobaki wenye akili ni wachache sana kama laki 8 tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kifalaaa
 
Back
Top Bottom