Subaru zote zipo hivyo. Siti zake wameziweka chini sana. Ukiingia na kuketi kwenye gari utadhani umekaa kwenye mkeka. Na katika kitu sipendi ni kutumbukia kwenye gari hadi naendesha kwa hofu kwa kuchungulia.Hivi hakuna namna ya kuchakachua angalau siti ya dereva ipande juu kidogo..[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
gari nzuriMnajazana ujinga na uoga.
Mi nataka kununua Nissan Fuga 450gt.
Unanishaurije hapo?
Kwa mtu anayependa gati yake, 1.5 sio pesa ya kuwaza.... Unajichanga gari yako inakwenda kutengenezwa inakuwa poa....Twin kiukweli ukipeleka gari hutojuta sema gharama na siku hizi ndiyo wamezidisha mwanzo walikua hawana hata bei
Mbona dashboard bomba sana ile.... Ipo detailed.Kilitime, gari yenye dashboard mbaya kuwahi kutokea [emoji23][emoji23][emoji23]
Shortcut. Ni sawa uwe na kifaa kinachokualert juu ya damage fulani kwenye gari, wao wakiona wameshindwa kuelewa function za hicho kifaa watakwambia kitoe...Sijui uwa inawakera kitu gani!
Nissan Safari, wahenga wanazijua piaWajomba mnaosema nissan gari mayai,nissan patrol mnaijua?
Enzi hizo kabla ya haya ma vx nissan patrol ilikua ni habari ingine
wahenga najua mshajua naongelea gari gani,picha ishajileta haina haja ya picha tena.
Kumiliki Nissan ni kama kumiliki demu Masaki 😂!!! Mizinga ni malaki mpaka mamilioni on the spot.Hili suala la Xtrail ku'overheat huwa ni MYTHS tu...[emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa gari la xtrail uweke maji ya kisima kwa nini lisichemshe..?
Sababu kubwa ya watu kusema Nissan huwa zina chemsha ni hii..
kuna matoleo ya engine nikikumbuka code zake nitaziweka hapa...engine hizi zilikuwa hazina oil cooler...
Kama inavyofahamika kazi ya oil mbali na kulainisha mitambo, pia inasaidia kupooza engine.
Watu wengi waliopata matatizo na Nissan, watu hao ndiyo wamekuwa chanzoncha matatizo kwa kuhudumia Nissan kama vile wanahudumia Starlet...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusoma review ni muhimu jambo sio lazima kubadili maamuzi yako, kwa mfano mm nimesoma review za audi a4 ila ndio kwanza hamu ya hiyo gari imezidi maana nimeona review zote zina lie kwenye jambo so naona hamna kubwa zaidiUkisoma reviews mtandaoni hakuna gari isiyo na review mbaya. Zote ni mbaya.
Niliwahi soma review za Jeep Wrangler, Mini Cooper na Nissan Patrol. Unaweza usinunue gari kwa review mbaya vile.
Kaangalie sylphy 2013, audi hasa za kuanzia 2010, premio 2007-, zipo nyingi mkuu hizo ni kwa gari za katiMbona dashboard bomba sana ile.... Ipo detailed.
Hebu nambie dashboard ya gari gani iko poa hapa tuelekezane!
Yes, huwezi kuipima gari kwa safari zako za km chache au barabara zako za masaki...Inategemea na matumizi,kama gari umenuna 98% unaitumia kwenda nayo dukani na kurudi nyumbani lazima haitakuwa na shida kwako.
Suala sio kuipenda gari mkuu... Unajua vipato vya watz...Kwa mtu anayependa gati yake, 1.5 sio pesa ya kuwaza.... Unajichanga gari yako inakwenda kutengenezwa inakuwa poa....
ni kweli, ingawa uchumi unatofautiana ila mtu akipeleka pale hawezi jutia hela yakeKwa mtu anayependa gati yake, 1.5 sio pesa ya kuwaza.... Unajichanga gari yako inakwenda kutengenezwa inakuwa poa
Kwa mtu anayependa gati yake, 1.5 sio pesa ya kuwaza.... Unajichanga gari yako inakwenda kutengenezwa inakuwa poa....
Ahaaa hhh haaa [emoji16][emoji28][emoji16][emoji1787] kinachoumia ni mbavu zanguJUKE kwa kiisrael/herbew ni Mende.
Kazi ni kwako
Hee wameona wamepata wateja wengi orTwin kiukweli ukipeleka gari hutojuta sema gharama na siku hizi ndiyo wamezidisha mwanzo walikua hawana hata bei
Kwani Toyota ukiitia kwenye maji haizingui??Kaitie kwenye maji uone kama kifaa ni imara kiasi hicho.
Hahah tumeshampa ukweli kazi ni kwake mkuu.Ahaaa hhh haaa [emoji16][emoji28][emoji16][emoji1787] kinachoumia ni mbavu zangu
Nashanga[emoji15][emoji15]
Hahah unaona kwa mfano Co. Ya Mitsubishi walikua na model yao ya Pajero lkn ikaonekana maana ya pajero kwa wahispania sio nzuri ikabidi model hio huko ma-mbele iitwe Mitsubishi Montero.Nashanga[emoji15][emoji15]
Boss wangu alikuwa nayo, Hii Dualis. Bodaboda akaparamia side mirror. Acha wee, aliipata kwa 300k.Daah nilikua pia nimeipenda..nikawa naifatilia kwa karibu sana..Duuh juzi kati si kuna mtu kapasua taa..kwenda kuulizia anaambiwa eti laki Saba..nika cancel haraka sana.
Ila sahiz naifatilia Toyota Rumion naona itanifaa
Siti haiendani na hadhi ya gari..[emoji4][emoji4]Siti ngumu sana eeh [emoji23][emoji23]?