Poromoko la bei la Gari aina ya Nissan Dualis

Poromoko la bei la Gari aina ya Nissan Dualis

Wajomba mnaosema nissan gari mayai,nissan patrol mnaijua?

Enzi hizo kabla ya haya ma vx nissan patrol ilikua ni habari ingine

wahenga najua mshajua naongelea gari gani,picha ishajileta haina haja ya picha tena.
 
Twin 1.5[emoji15][emoji15] nikiongezea kidogo navuta kimakonda changu!

Nimewaona insta so nikasema niulize naona wanajua kazi kwelikweli

Twin kiukweli ukipeleka gari hutojuta sema gharama na siku hizi ndiyo wamezidisha mwanzo walikua hawana hata bei
 
Ni gari nzuri na hiyo bei ya 23M sijui uliionea wapia huenda ni kwa madalali vichwa panzi... Dualis nyingi zinazoingizi kwetu ni kati ya 2007-2009 na hizo bei zake ni 14-16M na huko 16M labda ukaagiziwe na hao vishoka mnaowaaita ma agent ila ukiagiza mwenye top top 14. Kuhusu matatizo yake kuwa tatizo lake kubwa ni kushuka kwa roof yani Dualis zote roof lazima itakuja kushuka au utaagiza tayari ikiwa imeshashuka ila siku hizi mafundi wazuri wapo wanafanya repair unaendelea kudunda.
Kuhusu ubovu nakataa ila nissan ni gari inahitaji umakini sana muda service ukifika peleka service tena kwa fundi anaejua kazi, spare funga kwa wakati la si sivyo utaikimbia labda kipengele ni bei ya spare imesimamia kucha kidogo ila pia sio ishu sana tofut na toyota spare bei chee (feki) na unaweza buta tu.
Tatizo la kushuka roof si limekubuhu sana kwenye bmw hizi wanazoagiza siku hizi?
 
Ninayo mwaka wa tatu Sasa, baada ya kushuka kwenye Noah nikaamua nikae humu.
Gari haina usumbufu wowote, mafuta inanusa, iko stable barabarani. Ni tamu Sana, tatizo watanzania ni mabingwa wa matango mwitu
em kapicha bas mkuu
 
asante sana kwa ushauri boss! naskia kluggee inakunywa sana mafuta... compared to subaru forester, ipi inakunywa zaidi?
Klugger ya cc2360 iko na fuel consumption nzuri sana! Subaru hiyo forester xt inakunywa sana kuliko kawaida... Zote nimezitumia
 
Hio ndio kitu kimeniudhi katika hio gari kwa kweli. Kuna jamaa yangu analo nikamwambia sijawahi kalia subaru hebu ni test drive. Lipo kimya sana ndani, sound system nzuri ila siti jau,,,yani upo kwenye 4*4 ila siti ziko chini utafikiri umekaa kwenye crown😂😂😂!

Niliendesha Suzuki Grand Vitara lipo na siti nzuri kuliko hio Subaru.
Yani sijui waliwaza nini.. Ukiwa unaendesha nje unaonekana kichwa tu...😂😂😂! Vitara ni noma mkuu
 
Anyway
emoji849.png
emoji849.png
emoji849.png
,Kila gari na changamoto zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap. Ila ile haijawa designed
V8 tamu zaidi kwa kweli! Ndio maana kina Humphrey wanapata wazimu huko Chichiem.
Kabisa kabisa
 
Nissan unauziwa bei rahisi ila matunzo aghali sana. Toyota unauziwa bei ghali ila matunzo rahisi
Naaaam! Tatizo wabongo hawawezi kukiri kama gari aliyonunua inamtesa hadi atakapoiuza... Utasikia tu ukitunza itadumu sasa kutunza gari sio kama kunywa orojo! Kila mbongo gari yake hainywi mafuta, kila mbongo gari yake haimsumbui 😂😂
 
....na magari ni kama wanawake...
1....Kuna mwanamke gharama zake za nywele, kucha,vocha,vipodozi, kinywaji akipendacho kwa mwezi mzima..akijumlisha gharama unakuta ni mshahara wa mtu fulani...na kuna wanaume wanamgharamikia na hawapigi kelele..[emoji38][emoji38]....
Ingekuwa wanawake hawa ni gari hapa kuna BMW,VW,,Benz,Aud, Nissan, Subaru na mengine meengi..

2....Kuna mwanamke kumgharamia , gharama zake ni za kawaida saana...hana mambo mengi...kuna wanaume wengi wanapenda kundi hili vile halina gharama kubwa..[emoji1][emoji1]....mwanamke ninayemzungumzia hapa angekuwa ni gari basi Ni TOYOTA zile common saana mfano IST, Alion,Premio, Spacio na wenzake weengi

3....Lakini pia usisahaku kuna wale wanawake wanajiuza pale Mrina Arusha,..hata buku tatu unamng'oa tu bao la fasta fasta... shubaamiti..[emoji38][emoji38][emoji28]..Wapenda vya kunyonga wanaponea hapa..
Wanawake hawa hufananishwa na Starlet, Carina, GX 90 mpka 100, Vitz old model za milango 3 na mengine meengi..

Kwa hiyo kila mtu huangukia kundi linaloendana na uwezo wa wallet yake au mapenzi yake..[emoji3][emoji3]

Sasa hawa wanaume wanaoangukia kundi la 2 na 3, kazi yao huwa ni kulia lia tu kuwa kundi namba 1 hapo juu halifai, eti lina gharama kubwa..[emoji38][emoji38]..
Tukae kwa kutulia watu waendeshe magari roho inapenda...bora wallet iwe na pesa za kununua spea pale zinapohitajika..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu ila hata hao wenye uwezo wa kumiliki wanawake namba 1 kuna muda wanalia lia maana maisha nayo hayo constant muda wote... Nilikuwa nasoma reviews za audi A4 hata wazungu ambao tunawaona hawana shida wanalia nayo na hasa gharama za matengezo ta engine maana ndio tatizo kubwa
 
Achana na nissan mi mwenyewe ni nayo ni kichefu chefu ni gari mayai haitaki manginjanginja pia spare aghali itakufilisi

Go fo kluger au landrover defender hutanutia
Haya ni maneno ya kuambiwa. Aachane na Nissan achukue gari gani?
 
Back
Top Bottom