Posho walizolipana watendaji wa wizara ya fedha hazina tofauti na posho za kukaa wanazolipwa wabunge

Posho walizolipana watendaji wa wizara ya fedha hazina tofauti na posho za kukaa wanazolipwa wabunge

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hizo posho walizolipana watumishi wa wizara ya fedha, hazina tofauti kabisa na posho wanazolpiwa wabunge(sitting allowance) wawapo Bungeni.

Tofauti iliyopo ni kuwa posho za wabunge zimehalalishwa kisheria ila yote haya ni matumizi mabovu ya fedha za umma.

Vile vile malipo hayo ya posho hayana tofauti na malipo ya posho wanazolipwa Wajumbe wa Bodi za taasisi za umma(wizi mtupu).

Huyo Majaliwa sijui anapata wapi uhalali wa kushangaa watu kujilipa hizo posho ili hali wenyewe wanalipana posho za aina hiyo Bungeni tena kwa kukaa tu.

Watanzania tungekuwa tunajitambu, tungeungana kwanza kupinga sitting allowance za wabunge pamoja na kutaka waliohusika na ubadhirifu wa fedha za umma kulingana na ripoti ya CAG wawajibishwe kabla ya kutaka hawa mchwa wadowadogo kama hao wa wizara ya fedha wawajibishwe.
 
Uko sahihi kabisa, pia watu wafuatilie zile pesa za watu kuunga juhudi zilitoka wapi. Hao watumishi wa wizara ya fedha waliamua kujiongeza maana walikuwa wanajua jinsi pesa zilivyokuwa zinachotwa kihuni.

Kubwa kuliko yote, watuwekee ile ripoti ya BoT ya januari to March tuone hali ilivyokuwa. Mbona ripoti ile inafichwa kuna nini?
 
Uko sahihi kabisa, pia watu wafuatilie zile pesa za watu kuunga juhudi zilitoka wapi. Hao watumishi wa wizara ya fedha waliamua kujiongeza maana walikuwa wanajua jinsi pesa zilivyokuwa zinachotwa kihuni.

Kubwa kuliko yote, watuwekee ile ripoti ya BoT ya januari to March tuone hali ilivyokuwa. Mbona ripoti ile inafichwa kuna nini?
Hakuna aliyeunga juhudi aliyenunuliwa.
 
wanawaonea tu. Si afadhali hao, je covid 19 wanalipwa kwa msingi upi? Ya Kangi Lugola yaliishia wapi? wote ni wezi. Wala wasiwaonee. Atykayewez kuiba aibe tu, kila mmoja mwenye nafasi anaiba
Tumekuwa Taifa la wajinga!
 
Uko sahihi kabisa, pia watu wafuatilie zile pesa za watu kuunga juhudi zilitoka wapi. Hao watumishi wa wizara ya fedha waliamua kujiongeza maana walikuwa wanajua jinsi pesa zilivyokuwa zinachotwa kihuni.

Kubwa kuliko yote, watuwekee ile ripoti ya BoT ya januari to March tuone hali ilivyokuwa. Mbona ripoti ile inafichwa kuna nini?
Wanafiki sana hawa watu na wanatuona watanzania wajinga.
 
Ziko taasisi za serikali Ni vichaka vya wizi na ufisadi, kwa mfano wizara ya fedha, hazina, TRA, bandari, BOT, huko Kuna madudu ya kutisha.Ndo maana kupata kazi huko mpaka uhonge na sio vetting tu.Na wengi huko Ni watoto wa vigogo...
 
Hizo posho zipo taasisi za umma karibu zote. Kwa mfano mei mosi watumishi hawawezi kwenda kwenye maadhimisho bila malipo, kila mmoja atabaki nyumbani kwake. Hata majaliwa analijua hilo.

Na hizo 'special task' kwa mujibu wa kanuni ni 'extra duty', lazima mtumishi alipwe. Huwezi kumtoa mtumishi dar kumtuma aende kwenye kikao dodoma cha kutengeneza sera kwa wiki tatu bila kumlipa full per diem.

PM amepotoshwa, kwasababu hata delegate yake anayo tembea nayo inalipwa posho hizo.
 
We mmachinga endelea kupiga kelele na kulipia kitambulisho chako cha umachinga waacheni watu wapige hela

Hii nchi ukipata nafasi we piga tu hela ya serikali haina mwenyewe
 
Hizo posho zipo taasisi za umma karibu zote. Kwa mfano mei mosi watumishi hawawezi kwenda kwenye maadhimisho bila malipo, kila mmoja atabaki nyumbani kwake. Hata majaliwa analijua hilo.

Na hizo 'special task' kwa mujibu wa kanuni ni 'extra duty', lazima mtumishi alipwe. Huwezi kumtoa mtumishi dar kumtuma aende kwenye kikao dodoma cha kutengeneza sera kwa wiki tatu bila kumlipa full per diem.

PM amepotoshwa, kwasababu hata delegate yake anayo tembea nayo inalipwa posho hizo.
...hyo posho ipo kwa watumishi wote au wizara ya fedha tu? Kutetea huu ufisadi inapaswa uwe na moyo mkuu
 
Hizo posho zipo taasisi za umma karibu zote. Kwa mfano mei mosi watumishi hawawezi kwenda kwenye maadhimisho bila malipo, kila mmoja atabaki nyumbani kwake. Hata majaliwa analijua hilo.

Na hizo 'special task' kwa mujibu wa kanuni ni 'extra duty', lazima mtumishi alipwe. Huwezi kumtoa mtumishi dar kumtuma aende kwenye kikao dodoma cha kutengeneza sera kwa wiki tatu bila kumlipa full per diem.

PM amepotoshwa, kwasababu hata delegate yake anayo tembea nayo inalipwa posho hizo.
hawa hawakwenda popote walikuwa wizarani.. take note
 
Back
Top Bottom