LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa unaweza kuta CAG kashikishwa mpunga tayari.hii nchi acha tu...Ile ripoti ya CAG aliyoagiza mama ifanyike,waiweke hadharani kwanza na asionewe mtu haya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa unaweza kuta CAG kashikishwa mpunga tayari.hii nchi acha tu...Ile ripoti ya CAG aliyoagiza mama ifanyike,waiweke hadharani kwanza na asionewe mtu haya!
Mwisho wa siku mambo yataisha kimyakimya.Hizo posho zipo taasisi za umma karibu zote. Kwa mfano mei mosi watumishi hawawezi kwenda kwenye maadhimisho bila malipo, kila mmoja atabaki nyumbani kwake. Hata majaliwa analijua hilo.
Na hizo 'special task' kwa mujibu wa kanuni ni 'extra duty', lazima mtumishi alipwe. Huwezi kumtoa mtumishi dar kumtuma aende kwenye kikao dodoma cha kutengeneza sera kwa wiki tatu bila kumlipa full per diem.
PM amepotoshwa, kwasababu hata delegate yake anayo tembea nayo inalipwa posho hizo.
...kwa maoni yangu asafishe wizara yote ya fedha, toka waziri mpaka mfagizi, kupata kazi kwa vimemo huko mfumo huo uishe, watu waingie kwa sifaKama mama hatakunjua makucha kwa wizi wote uliofanyika,hali itakuwa mbaya kuliko hata kwa JK
Hapo mtamuonea Mama... manake naona washamzidi nguvu.....ngoja sie tuendelee kula popcorn tukiangalia movie inayoendelea bongo...... kaazi kweli kweli.Ile ripoti ya CAG aliyoagiza mama ifanyike,waiweke hadharani kwanza na asionewe mtu haya!
Ni sahihi hoja yako.Hizo posho zipo taasisi za umma karibu zote. Kwa mfano mei mosi watumishi hawawezi kwenda kwenye maadhimisho bila malipo, kila mmoja atabaki nyumbani kwake. Hata majaliwa analijua hilo.
Na hizo 'special task' kwa mujibu wa kanuni ni 'extra duty', lazima mtumishi alipwe. Huwezi kumtoa mtumishi dar kumtuma aende kwenye kikao dodoma cha kutengeneza sera kwa wiki tatu bila kumlipa full per diem.
PM amepotoshwa, kwasababu hata delegate yake anayo tembea nayo inalipwa posho hizo.
Inaonesha una maslahi binafsi na hizo poshoHizo posho walizolipana watumishi wa wizara ya fedha, hazina tofauti kabisa na posho wanazolpiwa wabunge(sitting allowance) wawapo Bungeni.
Tofauti iliyopo ni kuwa posho za wabunge zimehalalishwa kisheria ila yote haya ni matumizi mabovu ya fedha za umma.
Ville vile malipo hayo ya posho hayana tofauti na malipo ya posho wanazolipwa Wajumbe wa Bodi za taasisi za umma(wizi mtupu).
Huyo Majaliwa sijui anapata wapi uhalali wa kushangaa watu kujilipa hizo posho ili hali wenyewe wanalipana posho za aina hiyo Bungeni tena kwa kukaa tu.
Watanzania tungekuwa tunajitambu, tungeungana kwanza kupinga sitting allowance za wabunge pamoja na kutaka waliohusika na ubadhirifu wa fedha za umma kulingana na ripoti ya CAG wawajibishwe kabla ya kutaka hawa mchwa wadowadogo kama hao wa wizara ya fedha wawajibishwe.
Jiulize kama wizara zote zitalipana posho kwa staili hii, nchi itabaki na nini hhahahhah..................................Hizo posho walizolipana watumishi wa wizara ya fedha, hazina tofauti kabisa na posho wanazolpiwa wabunge(sitting allowance) wawapo Bungeni.
Tofauti iliyopo ni kuwa posho za wabunge zimehalalishwa kisheria ila yote haya ni matumizi mabovu ya fedha za umma.
Ville vile malipo hayo ya posho hayana tofauti na malipo ya posho wanazolipwa Wajumbe wa Bodi za taasisi za umma(wizi mtupu).
Huyo Majaliwa sijui anapata wapi uhalali wa kushangaa watu kujilipa hizo posho ili hali wenyewe wanalipana posho za aina hiyo Bungeni tena kwa kukaa tu.
Watanzania tungekuwa tunajitambu, tungeungana kwanza kupinga sitting allowance za wabunge pamoja na kutaka waliohusika na ubadhirifu wa fedha za umma kulingana na ripoti ya CAG wawajibishwe kabla ya kutaka hawa mchwa wadowadogo kama hao wa wizara ya fedha wawajibishwe.
Kwa sasa hivi kwa taarifa yako bungeni hakuna tena posho zile za sitting allowance,kuna d.s.a tu ya posho ya kujikimu kwa siku hao maofisa,ngoja hilo suala lichunguzwe na zitawatokea puaniHizo posho walizolipana watumishi wa wizara ya fedha, hazina tofauti kabisa na posho wanazolpiwa wabunge(sitting allowance) wawapo Bungeni.
Tofauti iliyopo ni kuwa posho za wabunge zimehalalishwa kisheria ila yote haya ni matumizi mabovu ya fedha za umma.
Ville vile malipo hayo ya posho hayana tofauti na malipo ya posho wanazolipwa Wajumbe wa Bodi za taasisi za umma(wizi mtupu).
Huyo Majaliwa sijui anapata wapi uhalali wa kushangaa watu kujilipa hizo posho ili hali wenyewe wanalipana posho za aina hiyo Bungeni tena kwa kukaa tu.
Watanzania tungekuwa tunajitambu, tungeungana kwanza kupinga sitting allowance za wabunge pamoja na kutaka waliohusika na ubadhirifu wa fedha za umma kulingana na ripoti ya CAG wawajibishwe kabla ya kutaka hawa mchwa wadowadogo kama hao wa wizara ya fedha wawajibishwe.
HayaUko sahihi kabisa, pia watu wafuatilie zile pesa za watu kuunga juhudi zilitoka wapi. Hao watumishi wa wizara ya fedha waliamua kujiongeza maana walikuwa wanajua jinsi pesa zilivyokuwa zinachotwa kihuni.
Kubwa kuliko yote, watuwekee ile ripoti ya BoT ya januari to March tuone hali ilivyokuwa. Mbona ripoti ile inafichwa kuna nini?
Mkuu unadanganya mchana kweupeKwa sasa hivi kwa taarifa yako bungeni hakuna tena posho zile za sitting allowance,kuna d.s.a tu ya posho ya kujikimu kwa siku hao maofisa,ngoja hilo suala lichunguzwe na zitawatokea puani
Hut tu mlevi mavi ndiyo adui namb Moja TanzaniaUkitaka kujua hasira za mlevi mwaga pombe yake
Hata aibu hana!Mkuu unadanganya mchana kweupe
Ila muda mwingine ubongo wako unabebaga kinyesi sasa hiyo picha na hii mada ni wapi na wapi mkuu...
Inafichwa kwa sababu,nchi hii ukianza urais Unaanza na sifuri,huenda Maroli yamesomba pesa yote BoT,haiwezekani kila kitu kiwe hovyo namba hii.Uko sahihi kabisa, pia watu wafuatilie zile pesa za watu kuunga juhudi zilitoka wapi. Hao watumishi wa wizara ya fedha waliamua kujiongeza maana walikuwa wanajua jinsi pesa zilivyokuwa zinachotwa kihuni.
Kubwa kuliko yote, watuwekee ile ripoti ya BoT ya januari to March tuone hali ilivyokuwa. Mbona ripoti ile inafichwa kuna nini?
Tena wabunge kama wakina Catherine wanatumia kodi zetu kijinga kabisa