Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Hahahahaaaa labda ni wivu tu ndio unawasumbuaBongo watu hawa value kabisa taaluma za watu......si ajabu impact ya wataalamu wetu haionekani kwa hizi dharau, eti mil. 2 ndo mtu anaona mtaalamu kalipwa pesa ndefu....