2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Kila kukicha matukio ya kupotea kwa watoto, huku wakija kupatikana wakiwa hawana viungo vya sehemu za siri.
Shule nyingi Mbagala watoto wameacha kwenda shule wakihofia usalama wao.
Walimu wakapendekeza kila mzazi ampeleke mtoto wake shule na kumrudisha, wazazi wamegoma ssbabu hawana huo muda. Wakaamua bora watoto wabaki nyumbani mpaka siku serikali itakavyohakikisha usalama wa watoto wao.
Swali, nani anawateka watoto na kunyofoa viungo vyao. Je polisi iliyosomea intelijensia meshindwa kazi? Kwanini serikali iko kimya? Wananchi wafanye nini?
Shule nyingi Mbagala watoto wameacha kwenda shule wakihofia usalama wao.
Walimu wakapendekeza kila mzazi ampeleke mtoto wake shule na kumrudisha, wazazi wamegoma ssbabu hawana huo muda. Wakaamua bora watoto wabaki nyumbani mpaka siku serikali itakavyohakikisha usalama wa watoto wao.
Swali, nani anawateka watoto na kunyofoa viungo vyao. Je polisi iliyosomea intelijensia meshindwa kazi? Kwanini serikali iko kimya? Wananchi wafanye nini?