Poti wangu wa Kizanaki IGP Wambura haya anza sasa kuaga wafanyakazi wako kwani ni suala la muda tu unaondoshwa, Sawa?

Wambura ni askari mzuri sana kabla hajapewa ultimate power,akiwa ZCO aliperform sana nadhani cheo cha UCEO wa taasisi ni too complex and demanding.Wambura ni mtendaji zaidi.Sababu kwa tabia za huyu jamaa nilitegemea katika kipindi chake uhalifu hautakuwepo kabisa.Lakini cha ajabu imekuwa kinyume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…