Povu la Jokate

Povu la Jokate

Alibugi kudate na Yule mtu mrefu kama mnazi. Kamuacha kama kisima. Kila boy anayejaribu anazama na kina kirefu. Pole kidoti
 
As long huyo mubabu atampenda na kumjali sioni shida wazee ka wale hawasumbui sasa hawa vijana ni kero tupu wanataka kusuuza rungu kila sehemu ukichangia na ustar plus kiki basi ni majanga
Kusuuza rungu!!!
Duuh, una maneno
 
Mastar wetu hawajui potential zao ndo maana wana dharaulika, kiba kamtumia jokate hasa kipindi kile cha timu kiba na mond sasa kaona utimu umepoa huyo kamuacha, vera sidika ni star ila huwezi kukuta anafanya ujinga wa kina Joketi, Jokate ana deserve mambo makubwa kuliko hapo alipo fika.


Hivi hana washauri jamani na umri wote alionao? She's a sad case kwa kweli.....mtu unajitoa povu kwa asiyekutaka?
 
Elimu ni mabadiliko ya tabia maishani kutoka ktk hali duni kiutendaji na kimaono kuelekea kwenye ufanisi.
Kumbuka kuna tofauti ya kusoma ma kuelimika.
Elimu ipi unayomzingumzia?!

Maana hata ukikiaa na babu yako akawa anakuwa mawaidha ukaelimika nayo hiyo ni Elimu pia.
 
Ndio ana msuuza ujue mapenzi ni zaidi ya Ku do sana kupita kiasi kuna vtu vingine vinafanya mwanamke atulie kabisa. Hasa upendo na care
Hao labda walikuwa bibi zetu enzi hizo.

Siku hizi haijulikani kama mapenzi pesa au mapenzi ni kupetipeti.

Ukimpa hela bila kwichikwichi ya kweli utaachwa kwenye mataa na hela zako....Ukipiga kichwikwichi bila hela utaachwa akafatwe mwenye gari.
 
Uprofessor sio kupata cheti ukatulia, ni zaidi ya hapo. Ukiwa na masters kurudi nyuma ukinyamaza tu hata kama unaokota makopo ya kupima chuma chakavu, bado masters yako utakuwa nayo. Ila u professor kuna vitu unatakiwa kuendelea kufanya. Kama lipu sio professor tena maana kutwa kucha anakimbizana na polisi wenye certificate wengine wanamkaba kabali. Professor hakabwi bana
 
Ni tofauti mkuu japokuwa katika matumizi yetu ya kawaida huwa tunayatumia kama maneno yenye maana moja, maarufu ni mtu anaejulikana na watu wengi either mambo yasiyopendeza jamii au yanayopendeza jamii lakini mashuhuri kuna element ya kukubalika na watu wengi wa rika tofauti tofauti na aina tofauti tofauti ya watu. Otherwise nilikuelewa ila nilikuwa nachombeza tu mkuu
Niongezee...umashuhuri pia unatokana na kufanya jambo kubwa kwa jamii wakati umaarufu mara nyingi huendana na mambo binafsi. Kiujumla mtu anaweza kuwa maarufu asiwe mashuhuri ila mtu mashuhuri mara nyingi pia anakuwa maarufu. Mfano Mwl Nyerere anakuwa mtu mashuhuri but ni vigumu kusema Mondi ni mtu mashuhuri, inamake sense zaidi ukisema Mondi ni mtu maarufu.
 
Jokate maisha yake yalitakiwa yawe kama kina Nancy summary,jacline ntuyabaliwe,kina Faraja nyalandu Hawa wadada wanajielewa sana na wanakula maisha yao taratiiiiibu hata kama kuna skendo sio rahis sana kuzisikia and yet bado ni maarufu cjui ila mi naona kaliba ya jojo iko kule kwa maana ana akili sana sema cjui what went wrong kuna saa unaweza ukamfananisha na bongo movie kabisa.
Nimegundua kumbe vile nnavyofikiri kuhusu Jokate ndivyo wanavyomfikiria wengi. Jokate toka zamani alikuwa anaonekana yuko smart sana kichwani tofauti na sampuli za hawa kina Wema Sepetu, cha ajabu mambo anayoyafanya hayana tofauti na hao malaya wengine
 
Shule na mshedede wapi na wapi,we njoo na mavyeti yako uone km hujayatupa...chezea mshedede ww
 
Naomba kuuliza niliwah kuona millard ayo ni msitarab na wakawa wanajitangazia dating na uchumba hii nayo ikafia wapi??
 
Niongezee...umashuhuri pia unatokana na kufanya jambo kubwa kwa jamii wakati umaarufu mara nyingi huendana na mambo binafsi. Kiujumla mtu anaweza kuwa maarufu asiwe mashuhuri ila mtu mashuhuri mara nyingi pia anakuwa maarufu. Mfano Mwl Nyerere anakuwa mtu mashuhuri but ni vigumu kusema Mondi ni mtu mashuhuri, inamake sense zaidi ukisema Mondi ni mtu maarufu.
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom