Povu la Maaskofu kuhusu mkataba wa bandari ni kuondolewa kwa uchochoro wa kupiga pesa

Povu la Maaskofu kuhusu mkataba wa bandari ni kuondolewa kwa uchochoro wa kupiga pesa

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
 
Uchochoro gani unaondolewa?!

Kwani sheria ya Kodi mmeibadilisha.

Rais halipi Kodi, na makanisa na misikiti si wanapewa msamaha.

Ukiwa hujui kitu chutama!

DP world ndio anakuja kuondoa sheria za Kodi?!

Omba uelimishwe
Mashirika ya dini au makanisa hayakukataa kulipa kodi ,walikaa na serikali,wakaieleza serikali ikawaelewa ,Kwa huduma wanazitoa Kwa jamii, mfano: hosp, mashule hata vyuo vya kati na vya juu, ndiyo wanaopata huduma huko wanachangia na gharama zao siyo kubwa kama sector zingine za binafsi.

Kwa Mimi wanaweza tu kulipa kodi, ili misamaha isiwe kufuri la kuwafunga watumishi hao wa Mungu kuksema au kutoa maoni yao. Yesu alilipa Kodi kwa nini hao wasilipe ? Walipe tu kama serikali itaona yafaa walipe.
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Kitumbua cha maaskofu kimeingia mchanga. Wamechanganyikiwa! Hapa kila mmoja wao atanena kwa lugha yake.
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Muwe mnasoma na kuelimika kidogo. Mnaendeshwa na emotions akili ziko kwenye masaburi
 
Huo ni uongo na upuuzi wa hali ya juu. Msamaha ya kodi ipo kwa mujibu wa sheria, hata akiwa DPW pale bandarini misamaha itakuwepo tu.

Kinachopingwa na watu wote wenye nia njema sio uwekezaji wa DPW au mwekezaji mwingine yeyote, bali ni mkataba wa kipumbavu kabisa ulisainiwa na serikali na kupitishwa na bunge kwa azimio. Ni mkataba wa hovyo, wa kijinga na kipumbavu kabisa.
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR

Huu utaratibu utaendelea hata wakija hao DP world

You know hiyo project ni mzuri ila serikali ilikosea the way imelileta hili Jambo Kwa watanzania

Na kibaya zaidi kila mtu anaongea anachohisi yeye amekielewa,

Ishu ya msingi ikifika Kwa wanasiasa inakuwa ni hatari
 
Uchochoro gani unaondolewa?!

Kwani sheria ya Kodi mmeibadilisha.

Rais halipi Kodi, na makanisa na misikiti si wanapewa msamaha.

Ukiwa hujui kitu chutama!

DP world ndio anakuja kuondoa sheria za Kodi?!

Omba uelimishwe
Kuna watu nimewauliza, hiyo misamaha ya kodi inatolewa na bandari au TRA!!??
Je na TRA nayo tunabinafsisha!!?!
Hawana majibu zaidi ya elimu akhera.
 
Maoni ya Maaskofu yanawafanya chama cha hovyo kukosa Amani ?

Kama mnauza Bandari uzeni tu, CDM ikichukua kiti msimamo wetu ni ule ule Bandari haiuzwi .
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Exactly
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
SUALA LA UCHOCHORO KUFUNGIKA LINA UMIZA SANA WAPIGAJI AMBAO HUTUMIA MLANGO WA DINI KUINGIZA BIASHARA ZAO,SEREKALI YETU IFUMBE MACHO IKAZIE MSIMAMO WAKE MLEMLE.
 
Huo ni uongo na upuuzi wa hali ya juu. Msamaha ya kodi ipo kwa mujibu wa sheria, hata akiwa DPW pale bandarini misamaha itakuwepo tu.

Kinachopingwa na watu wote wenye nia njema sio uwekezaji wa DPW au mwekezaji mwingine yeyote, bali ni mkataba wa kipumbavu kabisa ulisainiwa na serikali na kupitishwa na bunge kwa azimio. Ni mkataba wa hovyo, wa kijinga na kipumbavu kabisa.
Hujui misamaha ya kodi inavyozungukwa. Katika misamaha ya kodi (mashirika, taasisi) zaidi ya nusu ya mizigo iko nje ya misamaha. Kwa maneno mengine sreikali inapoteza zaidi ya 50% ya pato kupitia misamaha ya kodi.
DPW wanateknolojia yan kisasa itayogundua udanganyifu huo. Hapa ndio walaji wanapolialia.
 
Back
Top Bottom