Nikuulize wewe unajuwa kodi wanakwepa vipi au hujui?Unajua process za utoaji mizigo kweli?. Naona unajikanyaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuulize wewe unajuwa kodi wanakwepa vipi au hujui?Unajua process za utoaji mizigo kweli?. Naona unajikanyaga.
Inawezekana ikawa ni kweli lakini haifuti ukweli kuwa yake makubaliano ni ya kinyonyaji na kujiondoa itakuwa ngumu. Ukweli ni kwamba inabidi yapitiwe upya maana ipo siku watu tutaanza kulalamika kama tulivyouza madini na wahusika wapo watakuwa dubai na US wakila pensionMaaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.
Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.
Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu
Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.
USSR
Ndio maana unawalaumu washusha makontena kwa yaliyomo ndani ya kontena. Hujui kila mamlaka ina pa kuanzia.Unajuwa wewe mimi sijui
Hatua 6 tu zafanya kuchukuwa mzigo wako, hapa shida ni 2 tu TRA, hawa wanaweza kucheza ndio wapigaji wakubwa. Urasimu wa kushusha cointaner hilo ni suala jingine.Unajua process za utoaji mizigo kweli?. Naona unajikanyaga.
Tufanye thathmini ndogo sehemu ndogo tu Aiport sehemu labda una mzigo wa kiasi tu, hapa wanaweza kuku overcharge, au ukalipa kwa usawa au ukafanyiwa tathimini ndogo ukalipa kidogo na mimi nikawa na mzigo kama wako nikapigwa. TRA ukiwa na good connection nao na ndio wafanya biashara wanawatumia humo kupoteza mapato. Sasa imagine mtu ana cointainer 20 labda nini kinatokea.Ndio maana unawalaumu washusha makontena kwa yaliyomo ndani ya kontena. Hujui kila mamlaka ina pa kuanzia.
Poor knowledgeKitumbua cha maaskofu kimeingia mchanga. Wamechanganyikiwa! Hapa kila mmoja wao atanena kwa lugha yake.
Ukiusoma mkataba unavyotaka unakubaliana nao? au na wewe hujui kilichoandikwa mle?Huu utaratibu utaendelea hata wakija hao DP world
You know hiyo project ni mzuri ila serikali ilikosea the way imelileta hili Jambo Kwa watanzania
Na kibaya zaidi kila mtu anaongea anachohisi yeye amekielewa,
Ishu ya msingi ikifika Kwa wanasiasa inakuwa ni hatari
Ukiusoma mkataba unavyotaka unakubaliana nao? au na wewe hujui kilichoandikwa mle?
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo mnataka kuwabebesha hao kuwa watasolve problem za tra?.Tufanye thathmini ndogo sehemu ndogo tu Aiport sehemu labda una mzigo wa kiasi tu, hapa wanaweza kuku overcharge, au ukalipa kwa usawa au ukafanyiwa tathimini ndogo ukalipa kidogo na mimi nikawa na mzigo kama wako nikapigwa. TRA ukiwa na good connection nao na ndio wafanya biashara wanawatumia humo kupoteza mapato. Sasa imagine mtu ana cointainer 20 labda nini kinatokea.
Shule zinazomilikiwa na kanisa ni gharama sana hazina msaada wowote kwenye jamii
Siasa tu hizi.![]()
Dkt. Kikwete hatalisahau Kanisa Katoliki-Ridhiwani
Na Pascal Mwanache LIKIELEKEA katika kufanya kilele cha Jubilei ya miaka 150 ya Uinjilishaji Tanzania Bara h...tec1956.blogspot.com
Siasa tu hizi.
Makanisa hayana msaada kwenye jamii, huduma zao kwenye jamii ni gharama
Kama kikwete alisoma bure sisi watoto wetu wanatozwa pesa ndefu.Eti Kikwete alisoma Sekondari za Kanisa?
Kuna habari kuwa Rais Kikwete Alisoma Sekondari za Kikristo. Baba yake JK alikuwa Chief akamuombea huko? Mwenye Taarifa zaidi tafadhali aweke hapa. Ni Viongozi gani tena waliosoma sekondari au Seminari?www.jamiiforums.com
View attachment 2685921
Ok. Kwahiyo zina msaada na mpaka akapatikana rais aliyesoma shule za kanisa..!! I just wanted to prove this pointKama kikwete alisoma bure sisi watoto wetu wanatozwa pesa ndefu.
Hata asingesomeshwa rais angepatikanaOk. Kwahiyo zina msaada na mpaka akapatikana rais aliyesoma shule za kanisa..!! I just wanted to prove this point
NI kweli, lakini ndo huyo sasa keshapatikanaHata asingesomeshwa rais angepatikana
Sasa kumbe mnajuwa DP mambo ya mapato hayawahusu wao ni ufanisi na TRA kazi yao kukusanya lakini kwa kuwa mfumo utakuja hakuna makaratasi ni mtandao tu inawekwa kwenye system kuna nini huku TRA wanatoza based na original paper added kwenye system hakuna mambo ya kucheza na makadirio.Sasa hapo mnataka kuwabebesha hao kuwa watasolve problem za tra?.
Issue hapa ni meli isikae siku nyingi kwasababu ya ushushaji wa polepole. Pia kuongeza ufanisi wa kuyatoa hapo bandarini na kuyapeleka ICD au kuyasafirisha kwenda nje ya nchi. Swala la udhibiti wa mapato linabaki kwetu. Kifupi unakodi caterpillar kuchonga barabara badala ya kutumia majembe.
Hujui misamaha ya kodi inavyozungukwa. Katika misamaha ya kodi (mashirika, taasisi) zaidi ya nusu ya mizigo iko nje ya misamaha. Kwa maneno mengine sreikali inapoteza zaidi ya 50% ya pato kupitia misamaha ya kodi.
DPW wanateknolojia yan kisasa itayogundua udanganyifu huo. Hapa ndio walaji wanapolialia.
Nipe shule ili nami nipate kila mwenzangu unachokijua.