Povu langu nisiye na nyumba

Kuna katibu mmoja wa chadema aliyekuwa mbunge kwa miaka 15 aliutangazia umma kuwa yeye nyumba yake alijengewa na mbowe halafu eti ndio alikuwa anaomba kuwa rais
 
Brother bonge nipasie namba ya huyo binti wa form five nimpe ushauri wa masuala ya shule
 
Wenye nyumba nawapenda sana.wana roho nzuri sana,ukimlipa kodi yake tu
1.unaingiza totoz unazotaka,maza haus anabakia kusema tu, we kijana utaoa kweli,sasa unampenda yupi,maana nimewaona umeleta zaidi ya 7 humu
I really miss those days
 
Ha ha ha simu yake tofali ngapi? Kuna simu zinanunua matofali ya nyumba nzima
@evelyn salt hebu ukuje useme simu yako tofali ngapi?

Ila haya maisha jamani khaaah!!
 
Umepanga wapi hukooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwenye nyumba kichefuchefuu!!!pole
 
Umepanga wapi hukooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwenye nyumba kichefuchefuu!!!pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…