RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Zeekea nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣
Hili nalo wazo zuri, ila nisipoolewa je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zeekea nyumbani🤣🤣🤣🤣🤣
Hili nalo wazo zuri, ila nisipoolewa je?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zeekea nyumbani
Nilisahu kumbe sina nyumba.Comment juu ya bati
Ntaftie mteja wa tecno🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli tunatembea na mifuko ya simenti hivi hivi ujue!
Mkuu,maza haus wangu hana noma,namuona kama bi mkubwa wangu tu,samtaim akikorofisha misosi hevi nikiwepo anawapa mabinti zake waniletee,mmoja yuko form one mwingine form five na wala sina mpango wa kuwagonga,na hua wanakaa sana room kwangu kuangalia season.
Wananiita brother bonge.
Nakaa kwa shemejiKumbe pale sio pako
I really miss those daysWenye nyumba nawapenda sana.wana roho nzuri sana,ukimlipa kodi yake tu
1.unaingiza totoz unazotaka,maza haus anabakia kusema tu, we kijana utaoa kweli,sasa unampenda yupi,maana nimewaona umeleta zaidi ya 7 humu
Unamiss kupanga au kuingiza totoz?I really miss those days
@evelyn salt hebu ukuje useme simu yako tofali ngapi?Ha ha ha simu yake tofali ngapi? Kuna simu zinanunua matofali ya nyumba nzima
Yeah!Unamiss kupanga au kuingiza totoz?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Madame ana kiwanja au anajenga barabarani,[emoji23][emoji23][emoji23]
Hila[emoji777]. Ila[emoji818]Hila kujenga muhimu bado mimi sijajenga natamani kweli kujenga???
Nmecheka kwakweli hahahaha ntajenga kwenye lamiMadame ana kiwanja au anajenga barabarani,😂😂😂