Povu langu nisiye na nyumba

Povu langu nisiye na nyumba

Kuna katibu mmoja wa chadema aliyekuwa mbunge kwa miaka 15 aliutangazia umma kuwa yeye nyumba yake alijengewa na mbowe halafu eti ndio alikuwa anaomba kuwa rais
 
Brother bonge nipasie namba ya huyo binti wa form five nimpe ushauri wa masuala ya shule
Mkuu,maza haus wangu hana noma,namuona kama bi mkubwa wangu tu,samtaim akikorofisha misosi hevi nikiwepo anawapa mabinti zake waniletee,mmoja yuko form one mwingine form five na wala sina mpango wa kuwagonga,na hua wanakaa sana room kwangu kuangalia season.
Wananiita brother bonge.
 
Wenye nyumba nawapenda sana.wana roho nzuri sana,ukimlipa kodi yake tu
1.unaingiza totoz unazotaka,maza haus anabakia kusema tu, we kijana utaoa kweli,sasa unampenda yupi,maana nimewaona umeleta zaidi ya 7 humu
I really miss those days
 
Umepanga wapi hukooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwenye nyumba kichefuchefuu!!!pole
 
Umepanga wapi hukooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwenye nyumba kichefuchefuu!!!pole
 
Back
Top Bottom