Nakuja wape taarifa kabisa wazazi wapokee mkweWe njoo tu unisaidie na kujenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja wape taarifa kabisa wazazi wapokee mkweWe njoo tu unisaidie na kujenga
SawaNakuja wape taarifa kabisa wazazi wapokee mkwe
Kuangalia series...Mkuu,maza haus wangu hana noma,namuona kama bi mkubwa wangu tu,samtaim akikorofisha misosi hevi nikiwepo anawapa mabinti zake waniletee,mmoja yuko form one mwingine form five na wala sina mpango wa kuwagonga,na hua wanakaa sana room kwangu kuangalia season.
Wananiita brother bonge.
Hatari aisee sio poa. Hiyo milioni nne nanunua kiwanja na tofali namwagaIla kumkabidhi mtu 3-4m (kodi) si masihara! Hebu itaje vizuri MI-LI-O-NI 4!!
Good Point!Stori zenu zinaingilia mambo binafsi....hadi unamuuliza mtu unapanga au unaishi kwako mtakuwa mnazungumzia nini.
Ila mi naona kama mama mweny mjengo anakutakia mema au we mwenzetu unatakaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kukaa kwenye nyumba za watu stress, kwanza ile pressure tu kodi inapoisha, pili kupangiana masharti mara ooh kuingia kwangu mwisho saa mbili, ukitembelewa na wageni zaidi ya wawili mwenye nyumba anaanza kukukata jicho(sie wengine tunaishi kijamaa), ukiingiza wanaume tofauti tofauti kosa eti anataka awe anakuja mmoja( kupangiana hadi kwenye mambo binafsi kwani we mama yangu ebooo)
#nimwendowapovumwanzomwisho
Mimi sio mwanae...full stopIla mi naona kama mama mweny mjengo anakutakia mema au we mwenzetu unatakaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama saby ilo lazma tuulize hatuachi yaan hilo ni lazmaNi kama wanaume tu yaan utasikia oo unafanya kazi wapi?
Ntamfikishia taarifa kwamb yule dada mzur mzur wa kile chumb hataki na maisha yake[emoji16][emoji16][emoji16]Mimi sio mwanae...full stop
We mwambie tu yule mwajei mwenye miguu yote ya kushoto anakaa chumba cha kwenye kona anasema umuache na maisha yakeNtamfikishia taarifa kwamb yule dada mzur mzur wa kile chumb hataki na maisha yake[emoji16][emoji16][emoji16]
Mama saby ilo lazma tuulize hatuachi yaan hilo ni lazma
Nakubaliana nawe 10/10... Ila ikiwa ujana wako umeupoteza na umechezea shilingi choni !! Ndo basi Tena..!!!hahaha boss pote pana umuhimu wake makazi ya hapa dunia na makazi ya uko khera. Mshauri ajenge nyumba mbili zote kwa pamoja.
Hizi kauli huwa zinatolewa na watu wa mungu,mashekh ,ma pastor,askof nk huwa wana nia nzuri lakini zinadumaza sana mind za watu katika utafutaji.
tabu wewe hukumwelewa baada ya hapo angeuliza una mtoto? baba yake mnaishi naye? halafu wewe unamjibu ni stori ndefu siku tukipata muda nitakuhadithia inauma sana(hata kama uwongo ataingia king matatizo yako kuku atanunua yeye lift atatoa yeye na posho atakuachia na mwisho utamalizia siwapendi wanaume na siwezi kumwamini yeyote na kwa kusema hivyo utatengeneza mwaliko mwingine na mingine) akistuka alishakulipia KIKOBA deni.Yani ni from no where tu, mtu ndio kwanza kakuona siku ya kwanza
Stori zenu zinaingilia mambo binafsi....hadi unamuuliza mtu unapanga au unaishi kwako mtakuwa mnazungumzia nini.
Kuongelea swala la kutokuwa na mpango tayari ni mpango.. acha kuwafikiria vibaya watoto wa form one[emoji41]Mkuu,maza haus wangu hana noma,namuona kama bi mkubwa wangu tu,samtaim akikorofisha misosi hevi nikiwepo anawapa mabinti zake waniletee,mmoja yuko form one mwingine form five na wala sina mpango wa kuwagonga,na hua wanakaa sana room kwangu kuangalia season.
Wananiita brother bonge.