Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Flaps, ailerons, kasome zaidi GoogleNa kwanini mabawa ya ndege huwa yanafunguka na kujifunga ndege inapokuwa angani? Ukikaa dirishani usawa wa bawa la ndege utakuta kitu cha namna hiyo.
Aisee..Ngoja wwje kukwambia ni 'kawaida huo mlio' au huo mlio mpaka usikike kama 100 ndo unakuwa hatari
Mimi pia nakulaumu kwa kunilaumu hapa badala ya kuwafikishia ujumbe precision mara baada ya kuusoma.Mm nakulaumu sana ulitakiwa utoe taarifa mapema sana kwa kile ulicho kisikia, au kuhisi ili kifanyiwe kazi kwa wakati,kuliko kuleta ujumbe wako hapa,je kama ikitokea wahusika wasipite humu jukwaani halafu ikatokea ajari ikaua watu utajisikiaje?
Muongo, ungekuwa unaelewa ni kawaida.Napanda ndege almost kila mwezi na nimepanda za aina mbalimbali.
Ndege zao zipo consistent kwa kiasi kikubwa na waliweza kusimama hata kipindi cha jiwe.🤣😂 precision air
Hayo ni mascrepa
Si Kuna wakati walifilisika?
Toka are boss wao shirima hamna kitu pale
Wachaga wanagombea urithi wa shirima,so kampuni inajifia kimyakimya
Usirudie kupanda hilo screpa😂
Nadhani utakuwa na shida zako maana unaleta utani na ujinga kutaja makabila ya watu. Huu ndiyo ushamba kama huna cha kuchangia bora ukae kimya. Kwani wachaga ni viumbe wa ajabu? au wasukuma ni watu wa ajabu? au wamakonde ndiyo watu? au wanyakyusa ndiyo wanafaa kuwa madokta au mafundi? hizi ni tabia za kimama mama ukiona mtu anaongelea ukabila. Changia hoja hujaulizwa kabila au dini.Kuna siku nilionaga kwenye kipindi cha kitenge na zembwela kwenye tv wakiinadi Precision air sasa wakaenda hadi kwenye yard yao mahali zinapofanyiwa service na kuwahoji wale mafundi,nilicheka sana nikakuta fundi wao mmoja ni mchaga yupo bwii halafu kachoka sana nikasema uyu mchaga ufundi wa ndege kajifunzia wapi,mpaka hapo nishajua fundi masawe ni wa mchongo
Mwanza Dar! Lazima utalala tu...Uwe unapanda gari kama Mimi zile za hakuna kulala
Mwenezi wa Shirika pendwaSahihi, ila vigezo vya usalama katika usafiri wa ni vya hali ya juu sana. Kabla ya ndege kuruka hufanyiwa ukaguzi na watu/taasisi tofauti na shirika la ndege husika.
Wewe una ugojwa wa aviophobia/ aerophobia...Umenikumbusha mara yangu ya kwanza nilipanda zile ndege ndogo Cessna 172 chuma ilikua inatetemeka na inakelele kinyama nilivyotua nikapanda bus kimbinyiko yaani kimbinyiko ndo nikaona ni ndege alafu ndege ndo kimbinyiko
Thread closed!Landing gears zinakuwa operated na hydraulic, ndege inapokuwa angani, hizo gears zinakunjwa ili kuwa accommodated kwenye room ya engine, na inapotaka kutua, hydraulic inazioperate kwa ajili ya kuzikunjua (arms and wheels) zisimame wima na kutembea kwenye run way. Kile kishindo ni impact ya wheel arms zinapokita mwisho baada ya kuwa operated na hydraulic.
Kumbe?Mwanza Dar! Lazima utalala tu...
Howling sound ni kitu cha kawaida mkuuJana (2 Nov) nimesafiri kutoka Mwanza na ndege hiyo kuja Dar kupitia KIA. Pale mwanza tulichelewa kwa zaidi ya saa zima, badala ya 12:55pm tuliondoka around 14:10pm.
Nilikaa maeneo ya karibu na injini ilipo na niliusikia ule mlio wa paaah wakati tunatua KIA na vilevile wakati tunatua Nyerere airport.
Pengine ni kitu cha kawaida mimi ndio sifahamu ila kama ni hitilafu basi iangaliwe kabla haijatokea matairi kugoma kushuka.