Precision Air, ndege yenu namba PW 417 inatoa mlio wakati wa kushusha matairi

Precision Air, ndege yenu namba PW 417 inatoa mlio wakati wa kushusha matairi

Jana (2 Nov) nimesafiri kutoka Mwanza na ndege hiyo kuja Dar kupitia KIA. Pale mwanza tulichelewa kwa zaidi ya saa zima, badala ya 12:55pm tuliondoka around 14:10pm.

Nilikaa maeneo ya karibu na injini ilipo na niliusikia ule mlio wa paaah wakati tunatua KIA na vilevile wakati tunatua Nyerere airport.

Pengine ni kitu cha kawaida mimi ndio sifahamu ila kama ni hitilafu basi iangaliwe kabla haijatokea matairi kugoma kushuka.
Ndege za zamani hiyo milio ni ya kawaida. Hizi za kisasa hakuna million
 
Vipi mkiwa angani...haijapiga kelele kama mko rough road?
Hizo ndege zao zimechoka sana, siku hizi naziogopa sana
Hiyo hali inaitwa turbulance,ni jambo la kawaida wala haihusiani na Ndege kuchoka,hiyo hutokea pale air inapokua inapush against clouds,ni matokeo ya turbulance,ndio maana kuna wakati abiria huambiwa kufunga mikanda hata kama mpo kwenye altitude,turbulance inaweza hata kuwatupa abiria chini kutoka kwenye viti vyao kama hawakufunga seat belt.
 
Braza ninafahsmu sana air tubulance.
Nina uzoefu wa miaka 22 ya kupanda ndege ndani na nje ya nchi.

Suala la precision air ni uchakavu, hata zinapokuwa runway zinapiga krlele sana kama vile lori lililochoka...sio zote ni baadhi, hivyo ninaloongea nalijua.

Kipindi cha miaka kama mitano nyuma zilikuwa vizuri sana lakini kwasasa ni chakavu.

Kila mara zinachelewa kuondoka mara nyingi zipo kwa marekebisho madogo madogo.

Ukweli ni kwamba hilo shirika kwasasa linayumba sana sio kidogo
Nilikujibu kutokana na maelezo yako ya huko juu,na jibu langu ni sahihi kabisa,pia maelezo yangu ni sahihi kutokana na comment yako 46# hayo mambo ya kupande ndege miaka sijui 22 wala hakuna umuhimu kwa mimi kujua hilo,

Tatizo lako umetafsiri kama vile umedharaulika,hivyo naona umejikoki kubishana au unajitutumua usionekane kua upo nyuma,

Narudia tena,nimekujibu kutokana na maelezo yako ya comment 46# that's all,the rest it's up to you.
 
Nilikujibu kutokana na maelezo yako ya huko juu,na jibu langu ni sahihi kabisa,pia maelezo yangu ni sahihi kutokana na comment yako 46# hayo mambo ya kupande ndege miaka sijui 22 wala hakuna umuhimu kwa mimi kujua hilo,

Tatizo lako umetafsiri kama vile umedharaulika,hivyo naona umejikoki kubishana au unajitutumua usionekane kua upo nyuma,

Narudia tena,nimekujibu kutokana na maelezo yako ya comment 46# that's all,the rest it's up to you.
Nawe pia hujiamini, mtu akiongea ukweli unaona anajitutumua.

Wewe ni aina ya watu wa humu mtu akitaja ana gari unaona anajitutumua, haya ni mambo madogo sana acha roho kutu.

Ilikuwa lazima nitoe ufafanuzi ili ujue kuwa najua nikisemacho.

Kupanda ndege ni sawa na kupanda daladala, mwisho wa siku wote ni usafiri tu
 
Nawe pia hujiamini, mtu akiongea ukweli unaona anajitutumua.

Wewe ni aina ya watu wa humu mtu akitaja ana gari unaona anajitutumua, haya ni mambo madogo sana acha roho kutu.

Ilikuwa lazima nitoe ufafanuzi ili ujue kuwa najua nikisemacho.

Kupanda ndege ni sawa na kupanda daladala, mwisho wa siku wote ni usafiri tu
Unazidi tu kujionyesha jinsi ulivyo mpumbavu,hii wala haikua issue ya unayoyaandika hapa,ni wapi nimekwambia kua na Gari ni kujitutumua? Najua umejiona mjinga baada ya mimi kukufahamisha kuhusu turbulance.
 
Uwe unapanda gari kama Mimi zile za hakuna kulala
Umenkumbusha mbali enzi za ujana wangu, tunataka kwenda club hela ya tax usiku hatuna basi tunasubiri daladala za mwisho kabisa ndio tunatoka nazo pale chuo, tulikua tunaziita "ngorika ya mwisho" yani unapiga kibukta fresh na kitop swafi kabisa halafu wasubiria ngorika ya mwisho 🙄
 
Mleta mada ni mshamba na pia ni limbukeni flani hivi,
lengo la thd wala sio kujua hicho alichouliza,

Endelea kupanda Ndege kisha utakuja kuona kua ni usafiri wa kawaida tu na wala hutakua unajiulizisha maswali ya kitoto na kijinga hapa.
Wewe jamaa ni mtu masikini sana na utaendelea hivyo kwasababu akili yako imefubaa na umeshajiwekea vikwazo.
 
Binafsi nikiskia precision kama nakaona kale kapicha ka swala pale ziwani bukoba..nakumbuka ile ajali ya ndege cruise ujinga huu utanitoka lini
 
Umenkumbusha mbali enzi za ujana wangu, tunataka kwenda club hela ya tax usiku hatuna basi tunasubiri daladala za mwisho kabisa ndio tunatoka nazo pale chuo, tulikua tunaziita "ngorika ya mwisho" yani unapiga kibukta fresh na kitop swafi kabisa halafu wasubiria ngorika ya mwisho 🙄
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom