The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Naona umeamua kujielezea rasmi jinsi ulivyo,hiki kiswali chako ndio kiashiria kikuu cha umasikini wako wa akili na mali,mtu aliyezowea kufly hawezi kuuliza huu upumbavu,ndio maana wachangiaji wengi wamekujibu kua hilo ni jambo la kawaida sana.Wewe jamaa ni mtu masikini sana na utaendelea hivyo kwasababu akili yako imefubaa na umeshajiwekea vikwazo.