Precision Air, ndege yenu namba PW 417 inatoa mlio wakati wa kushusha matairi

Wewe jamaa ni mtu masikini sana na utaendelea hivyo kwasababu akili yako imefubaa na umeshajiwekea vikwazo.
Naona umeamua kujielezea rasmi jinsi ulivyo,hiki kiswali chako ndio kiashiria kikuu cha umasikini wako wa akili na mali,mtu aliyezowea kufly hawezi kuuliza huu upumbavu,ndio maana wachangiaji wengi wamekujibu kua hilo ni jambo la kawaida sana.
 
Hongera kwa kutoa taarifa baadhi watakuona kama muchknow lkn hakuna usafiri uliojaa stress kama ndege amani inakuja tu pale unapokanyaga chini kuelekea gate za kutokea.
 
Huo mlio ni kawaida sana hata kwa ndege advanced zinazotumiwa na mashirika makubwa duniani kama Qatar Airways, Emirates nk. Hiyo ni kwa sababu flaps (vifuniko) vya landing gear hufunguka huku kukiwa na upinzani mkubwa wa upepo na pressure.
[emoji115]Bila shaka mleta post ushaona mainjinia wa Kibongo na maelezo yao
 
kumbe hujui sasa umekuja kulalamikia nini. Halafu acha kiherehere kutaka kuja kutuonesha kuwa ulipanda ndege. Wasukuma ushamba baba lenu
 
Hao hawaja wahoji ma engineer wa ndege itakuwa
Kwani walipoenda dp world si walienda kumhoji kuli

Ova
 
Mwambie huyo boya anaona ameongea kitu cha maana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…