AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,036
Why are here!!! Unamaanisha nini mjomba?
Na maanisha hivyo ulivyoelewa mpwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why are here!!! Unamaanisha nini mjomba?
Na maanisha hivyo ulivyoelewa mpwa
Source plz!!!!!
imeandikwa: kila nafsi itaonja mauti ! Sasa utabiri ni nini hapo ?Vyanzo vyangu vya habari malawi vimethibitisha Dr Bingu wa Mutharika amefariki wanapeleka mwili wake south africa ili kuandaa mazingira ya utawala nchi hiyo.....utabiri wa TB Joshua umetimia
kwani kutabiri kifo ni utabiri ? Kilichozaliwa mwisho wake ni nini ?kesho akija mtu akitabiri waziri mmoja wapo africa atakufa watu watakurupuka kumuamini,
biblia na utabiri wapi na wapi.....
mnamchuria kifo hajafa bado
cardiac arrest watu wanadhani kafa
labd tupate taarifa kamili kutoka ikulu ya malawi
angekufa kweli BBC CNN na local medias wangeshatangaza hadi mdaa huu naandika hakuna taarifa kamili
kwani kutabiri kifo ni utabiri ? Kilichozaliwa mwisho wake ni nini ?
Katika kusisitiza hoja yake, Beatrice anasema, "Nimezungumza na TB Joshua wa Emmanuel TV Nigeria aliyenipa unabii kuwa rais ajaye Tanzania ni Edward Lowassa, nikamuambia haiwezekani kwani amechafuka sana."
Nakuheshimu mno king of MMU ...ila judgement zako zisizo na hoja ndizo zitafanya nisikuheshimu.U r more than that the Boss.
Nimekopy hiyo statement hapo juu kutoka hiyo link umetoa.
Kwanza hebu jiulize...kwa nini kichwa cha habari kimeanza na kiulizo(hii inaonyesha sio habari ya uhakika).
Pili unauhakika gani kama huyo mama hajapika hayo maneno?Umewahi kumsikia Tb Joshua akitamka?
Na tatu kwa nini unapenda kuhukumu?wewe ni Mungu? au malaika? Wewe ndio msafi sana au mtakatifu wa kuanza kusema Lowasa ana dhambi isiyopasa kusameheka?
U never know in this life.Kama wewe huna imani na utabiri/prophesy basi usipike mambo yasiyo na uhakika kujaribu kuweka ubaya wa kitu bila sababu.Wala huna sababu ya kumchukia mwenzio anayeabudu ngo'ombe kama wewe unaabudu jiwe.
Muhimu.....mie sio muumini wa huyo TB joshua wala huyo Lowasa lakn najaribu kuangalia ukweli.
first sio lazima kuniheshim
haina umuhimu saana kwangu
but tumia 'logic' na uelewe maandishi na sio kumvamia mtu na kumponda....tena huku
ume panic na kuongea vingine visivyokuwepo.....
jifunze kuelewa kinachoandikwa kwanza....
ni wapi mimi kama mimi nimesema Joshua kasema Lowassa atakuwa Rais?
hivi unaelewa maana ya neno 'wanadai'???????
na hiyo link si umeiona 'ina madai'?
weather 'madai' na ya kubuni ya Shelukindo au ni ya mhariri....mimi inanihusu vipi?
mimi i simply 'refer' to hayo madai...na link nikaiweka.....na hayo madai yameongelewa mno humu
sasa wewe unatoa wapi ujasiri wa kuniambia 'no research no right to speak'??????
mimi nimesema wapi hiyo ni 'confirmed news'??????
nilichosema ni ku refer 'madai'....ya watu akiwemo Shelukindo........na magazetini imeandikwa
sasa ni vipi mimi nakuwa 'hater??????
tuheshimiane aiseee
Hujamwelewa boss!! kama jamaa anaamini utabiri wa TB Joshua kwa Bingu wa Mutharika, basi aamini na utabiri wa TB joshua kwa Lowassa!!
They guys was just teasing his mind
umekuja na mijimaneno hayo!
Vyanzo vyangu vya habari malawi vimethibitisha Dr Bingu wa Mutharika amefariki wanapeleka mwili wake south africa ili kuandaa mazingira ya utawala nchi hiyo.....utabiri wa TB Joshua umetimia
Halafu na wewe ndio unadandia treni kwa mbele.Kama hujaelewa tulia.Huo utabiri wa TB Joshua kwa Lowasa haupo in first place.Tulia dogo acha mapepe.
kumbe tulidanganywa?? aisee..
basi nimetulia mtoto wa kike wa sayuni! shemeji yangu hajaenda kushtaki kwenye kile chama cha akina baba?
Red.....Wadanganyika huwa tunaamini kila kitu bila kutafuta ukweli.tubadilike
Kwenye bluu sijaelewa na siwezi jibu swali halijaeleweka.Kama kuna swali la nyongeza uliza
hahaha i made this thread as an alert kuwakumbusha watu..about the prophesy nimejaribu ku fatilia juma pili iliyo pita aliwambia waumini wake Wamuombe Raisi mzee atakufa Mungu asha muonesha kila kitu ila waombe labda Mungu anaweza badilisha asife.ila alicho sema it is very near to happen na akasema that president is not from west africa .haya yalikuwa ya jumapili ya juzi. lets wait n see wat will happen maana siku 60 alizo sema yule mchungaji zisha fika alitoa utabiri huu mwezi wa februaryBinafsi sina uhakika.Lakn pia nadhani unabii ulisema raisi atakufa.Kuwa mahututi sio hoja.Mzima anaweza kufa na mahututi akapona..