Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
Kama unamuamini mungu..hupaswi kuwaamini hawa wahuni akina t.b. Joshua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujajua kuwa kuna chama cha akina baba wanaopigwa na wake zao??
Kama unamuamini mungu..hupaswi kuwaamini hawa wahuni akina t.b. Joshua!
Aim sorry guys i just cant buy ! it the whole thing of utabiri ..!!! inawezekana alijua afya ya mzee na ugonjwa anaumwa .. kwani hata madactari huwa wanauwezo wa kuwaambia wagonjwa wao wenye magonjwa sugu ni muda gani wataishi duniani esp. cancer patients ... na unaposema unabii una maana gani...?!!! kwanini usiseme unajimu!...! kuna tofauti gani unajimu huu na wa yule wa mzee wa magomeni ..?!! ...
Tunasubiri la lowassa kuwa Rais kama alivyonajimu TB J!....
I always believe there is a big money in GODS business... Jamaa alisoma nyakati... akapanda hewani eti ni utabiri wake! ...
Basi Mi natabari kifo cha CCM arusha mjini uchuguzi ukirudiwa!...
RIP Mr President ....
Jambo usilolijua ni kama usk wa giza.Sikujua kama wewe ni bingwa wa kuhisi.I can assure you that ur terribly wrong with ur thinking.
Raisi wa malawi amefariki kama Ilivyo tabiriwa na Nabii TB joshua kuwa nadani ya siku 60 kiongozi mzee Afrika atafariki dunia Raisi huyo asubui alikuwa maututi lakaini habari za saivi zinasema ameshafariki source reuters
![]()
(Reuters) - Malawi President Bingu wa Mutharika has died after a heart attack, medical and government sources said .
The 78-year-old was rushed to a Lilongwe hospital on Friday after collapsing but was dead on arrival, the sources said.
mimi niliona live misa aliyokuwepo lowassa, tb hakumtabiria chochote wabongo wazushi sana, wala hakuongea naye kumpa profecy. wabongo acheni uongo khaaaa.
Utabiri upi?wa lowassa?
If I am terribly wrong, I will 'terribly' keep quiet
Moja ya nguzo za imani katika Uislaam ni kuamini kuwa ''heri na shari vyote vyatokana na M'Mungu''watoto wa mamdogo ni noma, angekuwa sheikh yaya mngesema kweli katabiri.