Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.
Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.
Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!
Je una lipi la kusema?
Lakini mkuu vitu vya kichina ni FEKI kwahiyo nae ni profesa FEKI???Huo ni uprofesa wa kichina kama vilivyo vitu vyao. Akitoka madarakani uprofesa kushnei
Wachina wanachekesha sana, wana vyeti vya uprofesa!? Nchi zingine uprofesa unapatikana baada ya kufanya utafiti na kufundisha college na kwa vigezo vya kitaaluma.Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.
Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.
Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!
Je una lipi la kusema?
Bora huyu kuliko JK. Nakubali angalau anastahili akawa professor wa kiukweli ktk profession yake (utafiti ktk utabiri, urogaji, etc.). Kasoro tu ni kwamba kwenye field yake hawaandiki papers.
Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.
Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.
Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!
Je una lipi la kusema?
Mhhh!!!. Usomi umekuwa rahisi namna hii? Uprofesa wa kuletewa mezani hivi hivi tu? Hawa Wachina watakuwa na Lao jambo.
Ukiangalia historia ya viongozi dhalimu wengi waliopita duniani hii tabia wanaipenda fuatilia idd amin alijipa u fieldmarshal,jean bedel bokassa alijipa ufalme, samwel doe akajiita master sergeant huyu alianza na udoctor ameona hasikiki ndio kaamua kuwa profesa linganisha makubaliano yake na tcd kuhusu bunge la katiba na alichokisema wakati anapokea katiba inayopendekezwa kuhusu kura ya maoni na alichokizungumza china kuhusu hiyo kura utagundua huyu nae analengo la kubaki madarakani hata muda wake ukiisha kwa kigezo cha katiba ama kingine chochote atakachozua