Well,kama alimpenda sana ikawaje akampiga ili hali alikuwa mjamzito mpaka akamsababishia kifo?Mke wa kwanza wa Mobutu Maria Anttoinette alikufa baada ya kupigwa na mumewe akiwa mja mzito. Mobutu aliumia sana kwani alimpenda sana mkewe. alimuahisha Brussels kwa ndege lakini haikusaidia.
nitafanya interview naoUtawafuatilia vipi ambavyo no tofauti na ulivyo hapa?
nAAMKwa kupenda huko anasa,akaandaa pambano la Ngumi uzito wa juu,ubingwa wa dunia mwaka 1974 Mohammed Alli vs George Foreman, ngumi hizi zilikua maarufu km 'Rumble in the Jungle' ilikua ni hasara kwa nchi
Mkuu ,safari lini ?nAAM
Dikteta wote upenda kusifiwa tuAlimfunga mwanamziki franco kisa franco alikua akiimba kuukosoa utawala wake lakini baadea alimtoa baada ya kumtungia wimbo murua unaoitwa Candidat na Bisso MOBUTU wimbo huu ukiachilia unamsifia mobtu but huwa naupenda sana bonge moja la wimbo..
duuh,, ss na hizo ndumba iliwekewa huko huko ufaransa auTrue
Ilitengenezwa ufaransa kwa oda maalumu
Ilikua ni kofia ya kawaida tu,alikua nazo 7 ,kuna moja alimpa mwandishi wa habari alimuombaD
duuh,, ss na hizo ndumba iliwekewa huko huko ufaransa au
SeptemberMkuu ,safari lini ?
SawaSeptember
na ilifanyiwa ushirikina ili aogopeke.True
Ilitengenezwa ufaransa kwa oda maalumu
habari za ubelgij mkuuwatoto wake wAtatu wapo Belgium mwez ujao nitakuwa huko nifAfwatilia
We unampenda sana Mobutu!Alikataa na ukiangalia vizuri hakuhusika
Yeye alimueka lumumba house arrest ,lumumba mwenyewe akatoroka ndio akaenda kukamatwa huko na wanajeshi wengine wakamuua na kuteketeza mwili wake na acid
Agizo lilitoka US
unatisha dada ake!Aliweka visasi sana, waziri wa Elimu Pierre Mulele alikuwa rafiki wa Lumumba, baada ya Lumumba kufariki Mulele alikimbimbilia Brazzaville. Mobutu alimtumia ujumbe kumuomba arudi na aliahidi atampa nafasi ya uongozi. Alivyorudi tu alimkata kidole kimoja baada ya kingine mpaka anakufa.
safi nipo jijini Antwerphabari za ubelgij mkuu
[emoji23]alikua mtata mno aliwahi pia kusemaAliwaambia nyie polisi na wanajeshi hamna akili mnanidai mshahara wakati mmebeba bunduki jiongezeni
[emoji16]haha ndio mkuu, but jamaa hua nina mtetea sanaWe unampenda sana Mobutu!
Mauaji yake alihusika bana