President Samia for 2025!

President Samia for 2025!

Totautisha hisani na wajibu. Wewe unamsifia Samia kwenye mbolea as if ile ni hisani ameitolea mfukoni mwake. Ndio nakuambia serikali inapofanya Jambo sio hisani ni hukumu lake.

Halafu chuki unayo wewe. Mimi Sina chuki Bali naangalia mambo kwa mapana yake. Hatuwezi kuendelea kwa kupiga makofi kwa vitu vidogo kana kwamba Samiah anatoa msaada wakati ni mwajiriwa wa Wananchi. Punguza uchawa.
Kwa hiyo mtu akitimiza wajibu wake asisifiwe Kwa sababu sio hisani si ndio? Sio hisani yes Kwa nini wengine hawakufanya? Tutaanza kukusifia wewe 🤪🤪

Upana upi unauangalia wewe.Unajiita economist hujui kitu zaidi kutudhalilisha wanauchumi.
 
Be serious mkuu, unaniambia Samiah Kapiga kazi mara mbili ya Magufuli? Aiseeh. Unaongelea SGR, hivi credit anapewa alieanzisha mradi au aliyeukuta mradi?. Hivi Magufuli angesema akae kimya Wala asilete bwawa la Nyerere au SGR, au kuujenga daraja la busisi, etc huyo Samiah angefanya kazi gani?. Mpe credit Magufuli kwa kuanzisha hiyo miradi.

Halafu nikukumbushe ya kwamba kipindi Cha Magufuli, nchi ilifikia uchumi wa kati wa Chini. Ila Leo tumerudi uchumi wa Chini tulipotoka. Pia ukumbuke Deni la Taifa limepanda Trilioni 30 kwa miaka mitatu. Sasa niambie ni kazi gani kubwa aliyoifanya mama Samiah kumzidi Magufuli?.

Mwisho, ni kweli uchaguzi wa 2020 uliibwa tena kwa lazima. Moja ya ushahidi wa wazi ilikuwa ni kuzimwa kwa internet siku moja kabla ya kupiga kura na ilikaa hivyo kwa wiki mbili. Hili Jambo lilikuwa halijawahi kutokea hapa Tanzania ndio ilikuwa mara ya kwanza. Tulikuwa tunayasikia Uganda kwa Miseveni ila yakatokea Tanzania. Bila kusahau ujinga wa kupigisha kura vyombo vya Usalama siku moja kabla ya uchaguzi huko Zanzibar kwa kisingizio Cha vyombo vya Usalama kumbe wamejaa vijana wa uvccm Pemba. Tukubali CCM bila wizi wa kura hawawezi kushinda chaguzi.
Ukweli ndiyo huo hongera sana.
 
Be serious mkuu, unaniambia Samiah Kapiga kazi mara mbili ya Magufuli? Aiseeh. Unaongelea SGR, hivi credit anapewa alieanzisha mradi au aliyeukuta mradi?. Hivi Magufuli angesema akae kimya Wala asilete bwawa la Nyerere au SGR, au kuujenga daraja la busisi, etc huyo Samiah angefanya kazi gani?. Mpe credit Magufuli kwa kuanzisha hiyo miradi.

Halafu nikukumbushe ya kwamba kipindi Cha Magufuli, nchi ilifikia uchumi wa kati wa Chini. Ila Leo tumerudi uchumi wa Chini tulipotoka. Pia ukumbuke Deni la Taifa limepanda Trilioni 30 kwa miaka mitatu. Sasa niambie ni kazi gani kubwa aliyoifanya mama Samiah kumzidi Magufuli?.

Mwisho, ni kweli uchaguzi wa 2020 uliibwa tena kwa lazima. Moja ya ushahidi wa wazi ilikuwa ni kuzimwa kwa internet siku moja kabla ya kupiga kura na ilikaa hivyo kwa wiki mbili. Hili Jambo lilikuwa halijawahi kutokea hapa Tanzania ndio ilikuwa mara ya kwanza. Tulikuwa tunayasikia Uganda kwa Miseveni ila yakatokea Tanzania. Bila kusahau ujinga wa kupigisha kura vyombo vya Usalama siku moja kabla ya uchaguzi huko Zanzibar kwa kisingizio Cha vyombo vya Usalama kumbe wamejaa vijana wa uvccm Pemba. Tukubali CCM bila wizi wa kura hawawezi kushinda chaguzi.
Kuanzisha sio kutekeleza ndio maana Kwa miaka 6 alifanikisha vipande 3 Kwa kusua sua na kuleta visingizio

The same applies Kwa bwawa,alikuwa ana struggle kwenye 30% Kwa sababu hana pesa.

Mwisho kwani ilikuwa lazima hayo uliyoyataja yafanyike? Kuna mahala yalikuwa kwenye vision ya Nchi? Si ni utashi tuu wake binafsi.

Kama sio hayo yangefanyika mengine.Unaongelea daraja as if bila Daraja Maisha hayaendi huko Mwanza au with Daraja itaongeza thamani saana kwenye maisha ya watu.

Mara nyingi wenye akili ndogo Huwa wanakimbilia miradi ya kupigia picha kama madaraja nk ,huwezi kuwasikia wana deal na m
Program za kuwatoa watu kwenye umaskini kama anavyofanya Rais Samia kwenye Kilimo,Uvuvi na Ufugaji ambako 61% ya Labour force Iko.

Uchumi wa kati sio issue ya mtu mmja Bali ni muendelezo wa kule tulikotoka Kwa sababu uchumi Kwa miaka yote hapa Tanzania Huwa unakua na hivyo itafika pont tutafikia uchumi wa Kati wa Juu.

Pili wewe unajiita economist wakati ni mbumbumbu wa Uchumi,huelewi hata maana ya Uchumi wa kati unaropoka tuu.Ni.lini Tzn imeshuka kutoka Lower Middle Income Hadi Poor country? Acha kujiita economist wewe unatia aibu.

Samia haitajiekuiba uchaguzi ana maelfu ya utitiri wa miradi na program za kuonesha kuanzia miradi aliyoanzisha Mwendazake Hadi aliyoanzisha yeye,Ajira, biashara, uwekezaji, miundombinu,Elimu,maji,nk.

Kiufupi hakuna awamu imewahi pump pesa majimboni kama awamu ya 6,unaelewa Hilo?
 
Kuna watu wanajipigia mahesabu kugombea 2025.

Mama Samia bado ndiye best option kuendelea urais.

Stability ya kiuchumi iliyopo tusiiyumbishe, Issues zilizokuwepo bado mama amezimudu.

Kina Mwigulu, January, Mpina na hata wale wanaoenda kimyakimya kama simba mawindoni, muachieni mama Samia amalize kile alichokianza.

Sasa wale msionielewa msije niua buree, kwa hizi ndogo ndogo sina maokoto!

Mama Samia for 2025!
Kunako majaaliwa ungeongezea mkuu!!

Ya Mungu mengi!
 
Kuanzisha sio kutekeleza ndio maana Kwa miaka 6 alifanikisha vipande 3 Kwa kusua sua na kuleta visingizio

The same applies Kwa bwawa,alikuwa ana struggle kwenye 30% Kwa sababu hana pesa.

Mwisho kwani ilikuwa lazima hayo uliyoyataja yafanyike? Kuna mahala yalikuwa kwenye vision ya Nchi? Si ni utashi tuu wake binafsi.

Kama sio hayo yangefanyika mengine.Unaongelea daraja as if bila Daraja Maisha hayaendi huko Mwanza au with Daraja itaongeza thamani saana kwenye maisha ya watu.

Mara nyingi wenye akili ndogo Huwa wanakimbilia miradi ya kupigia picha kama madaraja nk ,huwezi kuwasikia wana deal na m
Program za kuwatoa watu kwenye umaskini kama anavyofanya Rais Samia kwenye Kilimo,Uvuvi na Ufugaji ambako 61% ya Labour force Iko.

Uchumi wa kati sio issue ya mtu mmja Bali ni muendelezo wa kule tulikotoka Kwa sababu uchumi Kwa miaka yote hapa Tanzania Huwa unakua na hivyo itafika pont tutafikia uchumi wa Kati wa Juu.

Pili wewe unajiita economist wakati ni mbumbumbu wa Uchumi,huelewi hata maana ya Uchumi wa kati unaropoka tuu.Ni.lini Tzn imeshuka kutoka Lower Middle Income Hadi Poor country? Acha kujiita economist wewe unatia aibu.

Samia haitajiekuiba uchaguzi ana maelfu ya utitiri wa miradi na program za kuonesha kuanzia miradi aliyoanzisha Mwendazake Hadi aliyoanzisha yeye,Ajira, biashara, uwekezaji, miundombinu,Elimu,maji,nk.

Kiufupi hakuna awamu imewahi pump pesa majimboni kama awamu ya 6,unaelewa Hilo?
Rais Samiah ameanzisha mradi gani zaidi ya kuuza bandari kwa wajomba zake?
 
Rais Samiah ameanzisha mradi gani zaidi ya kuuza bandari kwa wajomba zake?
Mbumbumbu kama wewe mko wengi sana.

Wala sihitaji kusimulia orodha hapa nitajaza seva,nakupa issue Moja tuu.

Bajeti ya Kilimo kutoa bil.297 Hadi Bil.970

Bajeti ya Barabara(TARURA) kutona bil.250 Hadi Bil.800

We Kwa akili zako fupi unadhani awamu ipo Ina miradi Mingi hapo hata kabla g kutajiwa?
 
Mbumbumbu kama wewe mko wengi sana.

Wala sihitaji kusimulia orodha hapa nitajaza seva,nakupa issue Moja tuu.

Bajeti ya Kilimo kutoa bil.297 Hadi Bil.970

Bajeti ya Barabara(TARURA) kutona bil.250 Hadi Bil.800

We Kwa akili zako fupi unadhani awamu ipo Ina miradi Mingi hapo hata kabla g kutajiwa?
Bajeti za Kilimo zilikuwepo tangu enzi za mkoloni,Barabara nyingi zimejengwa tangu awamu ya tatu,nne na tano,wewe mwenye akili ndefu ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa unanyonya?
 
Bajeti za Kilimo zilikuwepo tangu enzi za mkoloni,Barabara nyingi zimejengwa tangu awamu ya tatu,nne na tano,wewe mwenye akili ndefu ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa unanyonya?
😁😁😁😁 Zilikuwepo Kwa kiasi gani? Na kama Zilikuwepo Kwa nini hazikuleta mapinduzi ya Kilimo?

Nimekupa swali hapo sihitaji maelezo yasiyo na maana, Bajeti ya Tarura kutoka Bil.270 Hadi Bil 800 on the same first year alipoanza.

Wewe Kwa akili Yako ya kimbumbumbu ni nani Kati ya Mwendazake na Mama ataje ga Barabara nyingi Kwa kipindi chake? Nipe jibu sihitaji blaa blaa zisizo na msingi.
 
Kuna watu wanajipigia mahesabu kugombea 2025.

Mama Samia bado ndiye best option kuendelea urais.

Stability ya kiuchumi iliyopo tusiiyumbishe, Issues zilizokuwepo bado mama amezimudu.

Kina Mwigulu, January, Mpina na hata wale wanaoenda kimyakimya kama simba mawindoni, muachieni mama Samia amalize kile alichokianza.

Sasa wale msionielewa msije niua buree, kwa hizi ndogo ndogo sina maokoto!

Mama Samia for 2025!
Kwani amefuta IGA iliyokataliwa na Watanganyika?

HATOGOMBEA!!
 
Sawa pamoja na povu lako hili Je huelewi kwamba Duniani Kuna dollar crisis?

Je hujui kwamba shida ya dollar imeanza post covid 19? Na Je hujui kwamba hili ni tatizo la Nchi karibia zote za Afrika kuanzia Egypt Hadi Ghana?

Ulitaka Serikali itoe dollar bila rationing Ili uchukue uanguke?

Mwisho pamoja na wewe Kuzuia dollar hizo chache umewahi enda dukani ukakosa bidhaa kisa wewe umeuziwa Dola kidogo?

Punguza ujinga Mzee,Dola Iko reserved Kwa Ajili ya biashara zile Zenye umuhimu tuu Hadi hapo uchumi utakapokuja kutengamaa ndio itakuwa free tena.
Umeongea vyema sana ndugu Choice variable!!

Wakati wafanyabiashara wakikosa dollar kuagizia bidhaa nje,

Dollar za kusafirisha viongozi wetu nje ya nchi kuzurura zinapatikana.
 
Umeongea vyema sana,

Wakati wafanyabiashara wakikosa dollar kuagizia bidhaa nje,

Dollar za kusafirisha viongozi wetu nje ya nchi kuzurura zinapatikana.
Bidhaa gani imekosekana sokoni? Cha kufahamu ni kwamba sio kila bidhaa utapata Dola, zingine zalisheni humu humu ndani.
 
Back
Top Bottom