Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,956
Kaka tuandikie kws kiswahili ili na sie tukuelewe maana daah.President Samia hires ex UK PM to build Tanzania image! How much have we paid? Do we really Blair gonna build Tanzania image in international spheres? Do he really loves Tanzania or he is just an imperialism agent? Do we really they are for our good?
Vv
This women is selling again the national like what Kikwete didPresident Samia hires ex UK PM to build Tanzania image! How much have we paid? Do we really Blair gonna build Tanzania image in international spheres? Do he really loves Tanzania or he is just an imperialism agent? Do we really they are for our good?
Vv
Sioni jipya kwa hili la Tony Blair na Samia ni Sawa tu na kampuni ya Net Group Solution ya south Africa na awamu ya tatu ya Benjamin Mkapa. Net Group Solution ililetwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya kuboresha shirika la Tanesco lakini badala ya ndio mambo yakaenda hovyo zaidi. Ni ujinga kuajiri watu wa nje wawafanyie kazi ambazo hata nyie mkijipanga vizuri mnaweza kufanya tena vizuri zaidi kuliko hao watu wa nje. Hiki ni kiwango cha hali ya juu ya kutojiamini kwa viongozi wetu wa juu na kutafuta short cuts ambazo hazina mashiko na hazitupeleki popote. NAONA TU HII NI NJIA NYINGINE YA UPIGAJI WA KODI ZA WANANCHI AU MIKOPO NA MISAADA TOKA NJE.Rais wetu hamwitaji Tony Blair hata kidogo. Tanzania ndiyo iliyoikomboa hata Uingereza kifikra katika masuala ya ubaguzi na hata utawala katika misingi ya demokrasia ya kweli (Rejea msimamo wa Tanzania kuhusu ubaguzi wa rangi Afrika Kusini na Utawala wa walio wengi Zimbabwe). Hii misimamo ya nchi ndiyo inaliletea taifa heshima anayoitaka. Rais wetu arudie kwenye utawala bora aliouanzisha Mzee Mkapa hakumalizia vizuri katika kuunda taasisi zenye ujuzi na weledi; achague viongozi chini yake kwa misingi ya "merits" inayotokana na mapendekezo ya vyombo vyenye sifa (siyo maoni ya mtu binafsi au kwa misingi ya zamu ya kula nchi); na aruhusu demokrasia ya dhati ya vyama vingi ambayo ndiyo sera ya CCM. Akiamua Watanzania wa kunsaidia kurudisha heshima ya Tanzania wapo mradi watokane na uchambuzi wa kitaasisi. Tony Blair!!? Jamani!
Kurudi utumwani kwataka moyo... yule mtu aliiharibu sana nchi! Anatafutwa expert wa kurekebisha aliyofanya "shujaa" ushujaa wa wapi huo? Nakubaliana na Dr. Anthony Diallo kwa 100%.
Waliletwa wahindi TRC nao wakaboorongaSioni jipya kwa hili la Tony Blair na Samia ni Sawa tu na kampuni ya Net Group Solution ya south Africa na awamu ya tatu ya Benjamin Mkapa. Net Group Solution ililetwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya kuboresha shirika la Tanesco lakini badala ya ndio mambo yakaenda hovyo zaidi. Ni ujinga kuajiri watu wa nje wawafanyie kazi ambazo hata nyie mkijipanga vizuri mnaweza kufanya tena vizuri zaidi kuliko hao watu wa nje. Hiki ni kiwango cha hali ya juu ya kutojiamini kwa viongozi wetu wa juu na kutafuta short cuts ambazo hazina mashiko na hazitupeleki popote. NAONA TU HII NI NJIA NYINGINE YA UPIGAJI WA KODI ZA WANANCHI AU MIKOPO NA MISAADA TOKA NJE.
Nili like mara 2 kumbe inajifuta.Hii nchi nadhani nadhani tatizo kubwa ni elimu yetu mbovu, hivi kazi ya Balozi nje ya nchi ni ipi? Tuna Balozi wa kudumu UN na tuna waziri wa mambo ya nje, hakuna haha ya kuhire institute ya Blair kujenga reputation hewa iliyopotea. Hivi hiyo reputation iliyopotea kimataifa ni ipi?
Pia ni low IQ ya Hali ya juu kuhire Blair institute Kwa sababu ya Tanzania ku access COVID 19 vaccines, ni utopolo Kwa ufupi maana tuna wizara ya afya, tuna MSD ambayo imekuwa ikiagiza na kusambaza madawa nchini na mbaya zaidi tuna kitengo na watalaam wa tiba ya magonjwa ya mlipuko yaani hao wote hawana uwezo w ku access COVID 19 vaccines?
Tony Blair ni mfanya biashara anajua Samia world bank wame approve pesa za COVID 19 , hivyo yeye anawaza ile pesa kwenda kwenye institute yake na kampata mama yenu mpendwa, hata USA na mataifa Yana sukuma kila nchi za Dunia ya tatu wapate pesa kutoka world bank ili in return pesa zote zinarudi kwao kw ajiri ya kupata chanjo za corona by force , sisi kama nchi tutabakiwa na kulipa loans na pesa itakuwa imekwenda kwao, kwahiyo ni lazima uwe kiongozi wa kutafakari haya mambo Kwa kina sio kuitikia Kwa kila jambo.
Mataifa hayo wanajua Tanzania population inskuwa , mil60 kuchanjwa wote maana yake serikali itshitaji si chini ya trilion 3 , so world bank na IMF na WHO hawaoni shida ku approve pesa Kwa ajiri ya chanjo Kwa sababu immediately zikiwa approved astrazeneca, Pfizer, Johnson ndo hao wata supply hizo dawa, hivo WHO Yuko pale kutoa mapande kama yakina zidane kwao, so go against ndipo utaona Cha moto. Tujiulize tu ni proposal ngapi ziko pending world bank kutoka Tanzania au nchi zingine za Dunia ya tatu kuomba fedha za kuanzisha viwanda ili kujikwamue na kuweka vijana wetu kwenye ajira hazijawa approved? Ok good let's focus on COVID-19, tuko million 60, tuliochanjwa laki 3 , waliokufa hawafiki hata elfu moja, hata tunapoongea hapa Bado mil60 yote hawako mahospitalini wakipumulia machine na haitatokea , hii force kutoka majuu sio Kwa ajili ya kuzuia corona na Kwa ajili ya kuuza vaccines, hatukatai tusichanjwe lakini kama taifa tuangalie priority zetu na agenda zetu kwanza, agenda ya taifa hili sio kuhire institute kuondoa reputation hewa, agenda yetu ni maendeleo na kuondoa umasikini uliokithiri Tanzania, vijana wapate ajira wajiingizie kipato na sio mengine .
Hakuna binadamu atatoka nchi nyingine aje atujengee nchi wakati sisi tunademka tu. Haya yote Nyerere alishasema sana kwenye hotuba zake nyingi na logically ndivyo ilivyo lakini hawa viongozi wetu hawasikii. Ukiona hivyo ujue kuna agenda nyingine imejificha kwenye huo mpango. Tuna matatizo mengi sana hasa ya kiuchumi mbona hatujatafuta wazungu waje watutalie zaidi ya kutupa mikopo na marsharti magumu.Waliletwa wahindi TRC nao wakabooronga
Hivi Ile lugha ya "Beberu" imeanza toweka pole pole au mimi tu niko gizani. Tutakoma kulinga Sasa....beberu hilo limekuwa hired Mkuu!
B
British Standards (BS). No country has ever been built by outsiders; the myopic Msoga view of nation building is just British Standards.
Alipaswa kuwa Milembe bahati mbaya akaenda ikulu...(Dk Diallo).yule mtu aliiharibu sana nchi!
Hebu tueleze umuhimu wa hizo PR firms pale ambapo serikali husika inakuwa ikikandamiza uhuru wa kidemokrasia kwenye mataifa yao, na kwa uelewa wako, uwepo wa hizo PR firms hauwezi kuingilia majukumu ya waziri wa mambo ya nje?..Kagame ana pr firm inayomsafishia mambo yake.
..serikali ya angola iliwahi kuwa na pr firm ulaya na marekani.
..mataifa mengi ya kiafrika na kiarabu yanatumia pr firms na lobbyists kufanya kazi ya kung'arisha image za mataifa hayo, na kufungua milango ya mawasiliano na mashirikiano.
..kwa maoni yangu kuna mahali tulikosea ndio maana Tz imelazimika kumkodisha Tony Blair na taasisi yake kusaidia kuweka mambo yetu sawa.
..Wachangiaji wengi wanalaumu tulipoangukia badala ya kuangalia wapi tulijikwaa.
Hebu tueleze umuhimu wa hizo PR firms pale ambapo serikali husika inakuwa ikikandamiza uhuru wa kidemokrasia kwenye mataifa yao, na kwa uelewa wako, uwepo wa hizo PR firms hauwezi kuingilia majukumu ya waziri wa mambo ya nje?
Acha lugha zinazoashiria kufilisika kimawazo na busara, hao ni wadau wa maendeleo, unatakiwa kuwa active ili uendane nao, kwenye demokrasia na haki za binadamu!...beberu hilo limekuwa hired Mkuu!
Ni ukweli ulio dhahiri ndio maana tunashauri kila siku kuchagua marafiki wemaUshauri toka Rwanda