#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

Kaka tuandikie kws kiswahili ili na sie tukuelewe maana daah.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
This women is selling again the national like what Kikwete did
 
Sioni jipya kwa hili la Tony Blair na Samia ni Sawa tu na kampuni ya Net Group Solution ya south Africa na awamu ya tatu ya Benjamin Mkapa. Net Group Solution ililetwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya kuboresha shirika la Tanesco lakini badala ya ndio mambo yakaenda hovyo zaidi. Ni ujinga kuajiri watu wa nje wawafanyie kazi ambazo hata nyie mkijipanga vizuri mnaweza kufanya tena vizuri zaidi kuliko hao watu wa nje. Hiki ni kiwango cha hali ya juu ya kutojiamini kwa viongozi wetu wa juu na kutafuta short cuts ambazo hazina mashiko na hazitupeleki popote. NAONA TU HII NI NJIA NYINGINE YA UPIGAJI WA KODI ZA WANANCHI AU MIKOPO NA MISAADA TOKA NJE.
 
Waliletwa wahindi TRC nao wakabooronga
 
Nili like mara 2 kumbe inajifuta.
Lkn hii ndio comment naweza hata i copy na kui save kwa kuisoma tena.
In short kama ni kweli basi hiyo instute ni Trojan horse.

Aliyesema " Mwaafrika ni nyani aliyechangamka" hakukosea.
Why? Hii kipawa cha upumbavu kinatoka wapi?
 
Waliletwa wahindi TRC nao wakabooronga
Hakuna binadamu atatoka nchi nyingine aje atujengee nchi wakati sisi tunademka tu. Haya yote Nyerere alishasema sana kwenye hotuba zake nyingi na logically ndivyo ilivyo lakini hawa viongozi wetu hawasikii. Ukiona hivyo ujue kuna agenda nyingine imejificha kwenye huo mpango. Tuna matatizo mengi sana hasa ya kiuchumi mbona hatujatafuta wazungu waje watutalie zaidi ya kutupa mikopo na marsharti magumu.
 
B

British Standards (BS). No country has ever been built by outsiders; the myopic Msoga view of nation building is just British Standards.

..Kagame ana pr firm inayomsafishia mambo yake.

..serikali ya angola iliwahi kuwa na pr firm ulaya na marekani.

..mataifa mengi ya kiafrika na kiarabu yanatumia pr firms na lobbyists kufanya kazi ya kung'arisha image za mataifa hayo, na kufungua milango ya mawasiliano na mashirikiano.

..kwa maoni yangu kuna mahali tulikosea ndio maana Tz imelazimika kumkodisha Tony Blair na taasisi yake kusaidia kuweka mambo yetu sawa.

..Wachangiaji wengi wanalaumu tulipoangukia badala ya kuangalia wapi tulijikwaa.
 
Hebu tueleze umuhimu wa hizo PR firms pale ambapo serikali husika inakuwa ikikandamiza uhuru wa kidemokrasia kwenye mataifa yao, na kwa uelewa wako, uwepo wa hizo PR firms hauwezi kuingilia majukumu ya waziri wa mambo ya nje?
 
Hebu tueleze umuhimu wa hizo PR firms pale ambapo serikali husika inakuwa ikikandamiza uhuru wa kidemokrasia kwenye mataifa yao, na kwa uelewa wako, uwepo wa hizo PR firms hauwezi kuingilia majukumu ya waziri wa mambo ya nje?

..pr firms zinasaidia "kuzitakasa" serikali dhalimu ktk viunga vya wafanya maamuzi wa nchi wafadhili.

..kwa wanaounga mkono udhalimu jambo hili ni zuri kwao. Kwa wanaopinga udhalimu jambo hili ni baya.

NB:

..hizo pr firms hufanya kazi kwa mashirikiano na serikali au wizara ya mambo ya nje iliyowakodi.

..kuna taarifa kwamba kagame alikuwa analipa pr firm usd 50k per month. Gaddafi alikuwa analipa 167k per month.
 
...beberu hilo limekuwa hired Mkuu!
Acha lugha zinazoashiria kufilisika kimawazo na busara, hao ni wadau wa maendeleo, unatakiwa kuwa active ili uendane nao, kwenye demokrasia na haki za binadamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…