#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

per
SIO KWELI

I'm certain hujaisoma hiyo sheria lakini kwavile Wapinzani walisusia, basi umechukua neno lao bila kujua it's just politics!!
Hata nikikuuliza ni sheria ipi hiyo iliyotenguliwa na JPM sidhani kama utaitaja!!

Let's try: Sheria ya Mafuta na Gas ya 2015 inasemaje kuhusu mgawanyo wa raslimali ya gas?

FYI, nimesoma mwenyewe sheria ZOTE 3, na sio kwa kuhadithiwa kama mnavyofanya nyie wengine!!
Sheria zote mbili ni za kifisadi na ya mk*per tayari imebatilishwa!! Wawekezaji walikuwa hawalipi kodi!! Kulikuwa na loop holes kibao za kukwepa kodi!! Kila mwaka wanadai kutokupata faida!! Na hilo haulijui? Hata kama ni mnufaika wa ufisadi huo hata ka aibu hauna?
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
Poor Tanzanian, we are in slave again.
 
Sheria zote mbili ni za kifisadi na ya mk*per tayari imebatilishwa!! Wawekezaji walikuwa hawalipi kodi!! Kulikuwa na loop holes kibao za kukwepa kodi!! Kila mwaka wanadai kutokupata faida!! Na hilo haulijui? Hata kama ni mnufaika wa ufisadi huo hata ka aibu hauna?
Umeshindwa kujibu! Umeshindwa kujibu kwa sababu HUIJUI!! Na kwavile huijui ndo umesema sheria zote MBILI wakati zipo 3!

Hakuna sehemu nyepesi kuwa mwanasiasa kama Tanzania kwa sababu watu waambie chochote kile, watakimeza bila hata kufanya utafiti!! Halafu huwa hamtaki kujifunza! Back in the days mlikuwa mnadanganywa kwamba Kigamboni ameuziwa Bush na anataka kuweka kambi za Kijeshi, na watu mkameza huo uongo!!

Sasa kabla hamjaenda kupata ajira kwenye kambi za kijeshi za Marekani huko Kigamboni, leo mnaambiwa gesi yote imeuzwa, nanyi mnakubali tu kama mlivyokubali kuhusu kuuzwa kwa Kigamboni!!
 
Hatukubali!! Kwanza tuambiwe the terms under this deal!! Toni bleya ni satanist!! We have turned back from depending on God in this fight against covid 19 to depending on a satanist!! Hapo tunategemea nini?? Mama with due respect, on this aspect you are leading us astray na dhamiri yako inajua hivyo ndio maana hakuna taarifa rasmi iliyotolewa baada ya ujio wa huyu mwabudu shetani!!
Ujue watanzania tunamwomba sana Mungu na mama uamuzi huu utakupa taabu sana!! Utaitesa sana dhamiri yako!! Hutakuwa na amani maisha yako yote na hutafurahia nafasi yako ya urais na utatamani afadhali usingeipata!! Mungu atakupinga!! Rais wangu nakupenda, nakuheshimu lakini katika hili hapana !!! Litaiumiza Tanzania na wewe binafsi utaumia sana!! Kindly please break the contract if any!!
Acha kuishi kwa kuamini ushirikina na umbeya wa vijarida vya udaku! Aliyekuambia TB ni satanist ni nani?
 
Kibarua kizito zaidi ya hicho ulichojipa cha kutetea kila alichofanya hata kama ni cha kijinga!! Halafu siku hizi umejiongezea kingine... ukiona naongea jambo positive kuhusu Samia, unaumia huku ukishindwa tu kuweka wazi kinachosukuma maumivu yako!

Halafu ajabu yako wewe... Hivi unataka mkishatoa nyuzi na posts za kumsifia, ndo unataka soooote tuungane na nyinyi kumsifia hata kama anasifiwa kwa jambo la kijinga, au?

Oneni sasa... serikali hatimae inalazimika kuleta the so-called Mabeberu kuweka sawa maforofyongo ya Mungu Mtu wenu mnayetaka asikoselewe!!! Au unataka kusema wewe unafahamu zaidi uhalisia kuliko Samia na serikali yake?

Narudia kama nilivyowahi kukuambia mara kadhaa... POLE SANA!!!

Nyerere kafanya mambo mengi sana nchi hii, na amefariki zaidi ya miaka 20 iliyopita lakini hadi leo watu wanamkosoa!! Sasa utaendelea kuumia sana ikiwa kila anapopigwa vitofa JPM, basi unaingia kwa sababu tu unataka awe anasifiwa tu!!!
Na hivi vitofali vya hizi siku 3 siyo mchezo, Kile cha jambazi Sabaya (Kijana mpendwa wa marehemu) hadi leo hakina majibu!! Hadi sasa naweza sema wazalendo uchwara wanachezewa robo uwanja (Ball possession <5%)
 
Uzuri historia huwa inajirudia...mark my words

Mkuu nowadays JF imekuwa na wajinga wengi sana wasiotumia akili au tuseme hawana maarifa, halafu wao hujikuta ni wajuvi Wa mambo.
Siasa zimeharibu sana jamii yetu.
Don’t engage with them. Let them enjoy their stupidity.
 
Same old story...

Nimeuliza hapa mara kadhaa lakini sijajibiwa, labda unisaidie wewe!!

Sote tumeona alivyo-deal na Accacia, tena cha ajabu ali-deal na makinikia ambayo yana-account only 30% ya mapato ya Acacia. Je, unataka kusema ni Acacia peke yake ndio waliokuwa wanaiibia Tanzania?

Maajabu haya...

Umekopa pesa kwa sababu nyingine, halafu unataka usamehewe madeni kwa sababu nyingine?

Na kama kweli aliamini madeni yanazidi kudidimiza, kwanini aliendelea kukopa huku akiaminisha watu kwamba ni pesa za ndani?! Magu alikopa Standard Chartered Bank na Credit Suisse!

Hivi mnaelewa maana ya kukopa kwenye private financial institutions?!

Magu alijaa janja janja tu! Kama vile kujifanya kuwaponda mabeberu huku akiaminisha wafuasi wake kwamba hatuwahitaji, lakini anapita mlango wa nyuma anapokea misaada ya hao hao mabeberu, huku akienda kukopa kwa hao hao mabeberu!!

Mkuu, Itoshe kusema wewe ni mjinga.
 
Namuona Kikwete Akimpendekeza Blair kwa mama!!Naamini Blair alianza kuwa Rafiki mzuri kwa Kikwete kabla ya Samia!!!
 
, ni Tanzanian Professionals wangapi wenye uwezo wa kupiga hodi na kufunguliwa kwa mikono miwili pale Belinda & Gates Foundation!
Nakuhakikishia ninamjua mtanzania mmoja tena bado kijana anaweza upiga hodi hapo.
===
Kuhusu maelezo mengine uliyonipa nashukuru. Lakini maswai yaliyojitokeza ngoja niendelee kufuatilia uzi huu.
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
Anamlipa kiasi au kitu gani in return?
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
Very disappointing! Why Tony Blair and not the WHO?
 
Mkopo kutoka private financial institutions unakosa vipi maumivu?!

Hakuna ambacho walishindwa!!

Tuchukulie SGR kwa mfano... kila kitu kilikamilika mwishoni mwa utawala wa Mzee wa Soga! Feasibility study ilishakamilika, na Mkandarasi alishapatikana!!

Sasa hapo utaita "sasa walishindwa nini kutekeleza"?! Tena niliwahi kumsikia Mzee wa Msoga siku za karibuni akisema "kwavile muda wangu ulikuwa unaelekea kwisha, nikawaagiza wasianze huo mradi kwa sababu unakuja utawala mwingine"

Mfano mwingine, barabara za Dar es salaam! Hadi pesa ilishatolewa tangu May 2015 lakini zikaja kujengwa na Magu!! Hivi hapo utasema "walishindwa nini"?

Mifano ipo mingi lakini itakuwa tunajaza server bila sababu!!

Kama kipi? Kuhamia Dodoma, au?! Nasikia Phillip Mpango kautangazia umma kwamba kumbe hata Contractor wa Mradi wa Bwawa la Nyerere hana sifa, matokeo yake kazi karibu zote ana-subcontract!!

Hata hivyo niweke wazi jambo moja! Sina matatizo na Bwawa la Nyerere lakini JPM angekuwa amefanya uamuzi wa busara zaidi kama angeelekeza nguvu kwenye gas kuliko Bwawa la Nyerere kwa sababu economic impact ya gas ni kubwa mara dufu ya Bwawa la Nyerere!

Hio gas ambayo mikataba ilikuwa ya hovyo mpaka JPM ikabidi afunge mafile yao kwanza…stop being a puppet know your worth…hii nchi simply ilifanywa shamba la bibi mikataba wanaandika wenyewe mnakuja kusainishwa hv mkuu unaongea nini…

Aisee mimi naona umeweka akili yako mfukoni unaamua kujiongelea tu..feasibility study ni stage za awali sana kwenye mradi, pesa inatokaje hata design bado eti acheni kujenga maana unaingia utawala mwingine mkuu unanichekesha kweli
 
Hio gas ambayo mikataba ilikuwa ya hovyo mpaka JPM ikabidi afunge mafile yao kwanza…stop being a puppet know your worth…hii nchi simply ilifanywa shamba la bibi mikataba wanaandika wenyewe mnakuja kusainishwa hv mkuu unaongea nini…
Hivi nyie sio ndo mlikuwa mnaeneza uongo kwamba eti Wachina wameipoka Bandari ya Sri Lanka na kwahiyo hata ya Bagamoyo wataichukua?

Mwenzako mmoja nimemwambia anitajie angalau sheria inasemaje kuhusu umiliki wa gas, AMESHINDWA kutaja kwa sababu hakuna lolote analojua!!

Hata wewe mwenyewe nikikuambia taja hiyo sheria inasemaje, na Magu amebadilisha nini, NINA UHAKIKA KWA 100% huwezi kutaja kwa sababu hujui lolote zaidi ya kusikiliza maneno ya vichochoroni! Na kama nakusingizia, taja hapa sheria ya 2015 inasemaje kuhusu umiliki!!!
Aisee mimi naona umeweka akili yako mfukoni unaamua kujiongelea tu..feasibility study ni stage za awali sana kwenye mradi, pesa inatokaje hata design bado eti acheni kujenga maana unaingia utawala mwingine mkuu unanichekesha kweli
Typpical JPM Supporter!!!

Hivi unasoma na kuelewa wapi?

Yaani mradi uliokuwa tayari ku-take off, baada ya mkandarasi na funding kupatikana unaita feasibility study? Hivi unajua hata maana ya feasibility study wewe? Reuters hawa hapa...
Transport Minister Samuel Sitta told parliament on Saturday a Chinese consortium had been awarded a contract to build a 2,561 km (1,536 miles) standard gauge railway connecting Dar es Salaam port to land-locked neighbours at a cost of $7.6 billion.

“A consortium of Chinese railway companies led by China Railway Materials (CRM) has been picked to help us build the railway line,” he said.
Does it sound like it's on feasibility study phase?

Nasema hivi... mlikuwa mnadanganywa kwa sababu you don't know what's going on, na mlikuwa hamjishughulishi kutafuta ukweli.

Halafu unashindwa hata kutumia common sense!! Hivi unajua design inaweza kuchukua muda gani?! Yaani hata design ilikuwa bado but still JPM akaweza kuanza mradi kwa muda alioanza? Ajabu nyingine ni watu wa aina yako mliokuwa mnasema mradi wa reli kwa Mchina ulikuwa wa kifisadi! Sasa ina maana Mchina alipewa tenda ya kujenga kabla ya design?

Sasa kama mimi naweka akili mfukoni, wewe unayeshindwa kufahamu hata jambo dogo kama hili sijui utakuwa unaweka wapi akili yako!!
 
Yaani mishahara waliyokuwa wanalipwa, only God knows walikuwa wana-survive vipi!
Kama tutakuwa tunajadili kwa kunyoosheana vidole, tunaweza tusifikie muafaka. Ila tukijikita kwenye utaifa na uhalisia, basi tunafika sehemu tukauona ukweli.

Ukisema mwenye mtazamo huu ni mfuasi/shabiki wa JPM, na yeye akasema kwakuwa waliminywa kipindi cha JPM ni genge la wa Msoga, basi hakutakuwa na hoja zenye afya hapa.

Kwakuwa uko kwenye taasisi za kifedha, ni ninj kinakupa uhitaji wa kuajiri? Wasomi waliojaa mitaani, uwiano wa kazi kwa watu waliopo kazini? Matakwa ya kisiasa? Uchumi wa nchi?

Ikifanya tathmini, kuanzia wizarani, kila mtu anatimiza majukumu yake vizuri na kwa kiwango cha majukumu aliyosaini, kuna gap litakalohitaji kuajiri? Kwa kiasi gani? Kwanini hawaajiri?

Taasisi binafsi, mtu mmoja anapiga kazi za watu hata wanne walioko serikalini, kazi zinaenda, efficiency inaonekana, mambo ni tofauti sana na huko serikalini, wizi upo kwa efficacy timilifu kabisa.

Mashirika ya umma, kuyabinafsisha haikuwa kosa, labda utaratibu uliotumika ndo ulikuwa kosa (Tanesco kuweka chini ya NetGroup haikuwa imeuzwa unless kama utasema iliuzwa kwa kiasi gani na kwa nani). Kwa mfumo wa kiserikali, hakuna shirika lolote litakalojiendesha kwa tija na hasa kama linahusika na uzalishaji au utoaji huduma kwa jamii, sababu zilizomfanya Samia aseme pesa alizokopa kwaajili ya corona, zisipitie utaratibu wa kawaida na uliozoeleka kwenye matumizi yake ndo sababu hizo hizo zinazokwamisha taasisi zote za serikali.

Kuondoa pesa mtaani, sidhani kama kunahusiana na umasikini, hali ya nchi iko hivyo, anzia kwenye bajeti ya nchi, useme inawezekana vipi pesa zijae mtaani? Kwa utaalamu wako kwenye fedha, inapaswa kuwa vipi hapa? Tukope, tusambaze pesa mtaani, zikae kiholela tayari kwa upigaji, ndio maendeleo? Watu wanafanya kazi zaidi ya moja, mpaka masaa 18 kwa siku iki kuipata hiyo fedha, sisi tunataka iwepo tu mtaani kwa kwenda ofisini kunyanyasa wananchi na kuhudhuria semina na warsha zisizo na tija? Uhalisia ni huo, Mwinyi na Kikwete wamemwaga pesa, wametengeneza majizi na wao wakiwa sehemu ya upigaji, nchi ilipiga hatua gani?
 
Hata hivyo niweke wazi jambo moja! Sina matatizo na Bwawa la Nyerere lakini JPM angekuwa amefanya uamuzi wa busara zaidi kama angeelekeza nguvu kwenye gas kuliko Bwawa la Nyerere kwa sababu economic impact ya gas ni kubwa mara dufu ya Bwawa la Nyerere!
Hapa ndipo nimeelewa kuwa kama kuwa MISINFORMED, basi ni wote na sipaswi tena kuona kama unajadili hoja kwa dhati ya utaifa ila ushabiki, kwamba ni miongoni mwa wanufaika wa yasiyofaa.

Kwamba hujui kuwa gesi imeuzwa? SONGAS, PANAFRICAN, yote hayo hujui? Unadhani Tanesco anatumia gesi bure bure, unadhani kwanini kabla ya bomba la Mtwara Tanesco ilikuwa inapewa gesi endapo tu ipo ya ziada kwenye pipeline? Unadhani kwanini JPM alikataa kuwaongezea muda wa kuendelea kukaa hapa hao akina SONGAS? 2024 ilikuwa iwe mwisho, ila Msoga theory imerudi kwa nguvu, January na mama wamesema wanenda kuiangalia upya mikataba iliyokwama, ipo 17 sio?

Endelezeni mlipoishia, na nadhani ndio maana halisi ya KAZI IENDELEE. Mtaishi milele sio?
 
Back
Top Bottom