Huu ukoloni mweusi tumeshachoka nao,mzee kifimbo cheza katuletea umasikini+ufukara,tuachiwe tupumueeeeee...[/QUO
kumbe mnamtaka sultan nawahurumia wazanzibar weusi watabaguliwa sana kama enzi hizo
.
wake up bro, u are in a state of sleep walking....................
nngu007
hawakumataka kwasababu moja tu.................................conflict of interest ..........my opinion
Sasa MBONA Sultani alikimbilia MOMBASA akanyimwa MSAADA akaenda DAR akapewa Msaada na NYERERE? na kwenda UINGEREZA?
Conflict of interest... just for your Own OPENION? Haujui Maana lakini Walalamika eh? It is disgraceful...
Na ni kwanini hadi leo WaZENJI hawamtaki MWARABU? ni wachache tu na wengi ni waPEMBA na baadhi ya waliochanganyika?
Lakini ni Lazima muwe na chuki na kitu kimoja oooh ni NYERERE huyo... JUST for the sake of IT; Hakuna anayeongelea BIASHARA ya UTUMWA hata kidogo sababu - Mwarabu alikuwa na Maana
Kweli toka Karne hiyo ya 17 Mwarabu kaingia Zanzibar hakujenga CHUO KIKUU CHOCHOTE???
Sasa MBONA Sultani alikimbilia MOMBASA akanyimwa MSAADA akaenda DAR akapewa Msaada na NYERERE? na kwenda UINGEREZA?
Conflict of interest... just for your Own OPENION? Haujui Maana lakini Walalamika eh? It is disgraceful...
Na ni kwanini hadi leo WaZENJI hawamtaki MWARABU? ni wachache tu na wengi ni waPEMBA na baadhi ya waliochanganyika?
Lakini ni Lazima muwe na chuki na kitu kimoja oooh ni NYERERE huyo... JUST for the sake of IT; Hakuna anayeongelea BIASHARA ya UTUMWA hata kidogo sababu - Mwarabu alikuwa na Maana
Kweli toka Karne hiyo ya 17 Mwarabu kaingia Zanzibar hakujenga CHUO KIKUU CHOCHOTE???
Na ni kwanini ASP na UMMA hawakumtaka walimsema kama kibaraka wa Mwarabu
sultan alipokelewa na nyerere au kwa amri ya muengereza? tunawajuwa ambao nyerere aliwablock wasiondoke hapo dar alitaka warejee znz wakauliwe, lakini umri wao ni mrefu habari zikfika kwa muengerea wakasafirishwa.
la pili wewe mtanganyika linakuuma vipi tatizo la znz na wanzibari wenyewe wapo?
wazenji gani wasiomtaka mwarabu au unakusudia wana ccm, hao aghlabu huwa ni ndugu zenu kutoka tanganyika.
ikiwa kujenga chuo kikuu ni kipi kimejengwa na nyerere? usije ukasema cha dsm hicho kimetifishwa tu katika azimio la arusha
ona picha hii ya shahada ya skuli ya 1914 huko zanzibar na wewe tuletee ya 1914 ya tanganyika
View attachment 100098
Sifikiri kama shahada ya tanganyika atakuletea.
Kinacho wasumbua akili watanganyika ni roho mbaya zidi ya zanzbr,jana marais watatu wa nchi za afrika mashariki walikaa kuanzisha shirikisho lao bila ya kuwaalika watanganyika kwa sababu wamesha waelewa watanganyika ni nuksi kukaa nao pamoja.
Mapinduzi ni uhaini ...sasa haya yaweje matukufu?Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanyika mwaka 1964 chini ya uongozi wa Field Marshall Okello.Bwana shamte alikuwa akiwakilisha serekali ya kidhalimu ya kisultan.
Uhuru wa zanzibar 1963 ulikua sawa na uhuru wa rhodesia chini ya ian smith. waafrika wa rhodesia walijikomboa baada ya vita vigumu vya ukombozi na kuzaliwa nchi ya zimbabwe. uhuru wa zanzibar chini ya sultani ulikua uhuru bandia. Katika hizi video zenu tulimsikia mwanamapinduzi Abrahamani Babu akieleza jinsi waafrika chini ya ASP walivyokua wanadhulumiwa kwenye kila chaguzi licha ya kushinda. Kutokana na dhuluma wakalazimika kufanya mapinduzi january 1964 hivyo kupata ukombozi toka utawala wa kitumwa wa sultani.Saa nyengine nyinyi watanganyika wana CCM munatufanya tujiulize, ivi mumesoma shule zipi? munajuwa tofauti baina ya mchana na usiku?
Hebu kada Ngongo ninatumai, ninadhani, ninafikiri kwamba kwa unajuwa tofauti baina ya UHURU NA MAPINDUZI?
ikwezekana usike jazba zako za kawaida.
Mjinga wewee hujui! shamte alikua pale kuiwakilisha dola ya kisultani ya zanzibar 'sultanate of zanzibar' waliowakilisha jamhuri ya watu wa zanzibar ni wanamapinduzi waliomwangusha sultani na kuweka jamhuri ikiongozwa na rais karume. Mnajidai kujua bila kwenda shule, mtarudishwa kwenye utumwa bila kujuaWatanganyika wengi wameugua maradhi ya malaria sugu ndio maana uwezo wao wa kufikiri unakuwa mdogo na obama kesho kutwa anawaletea vyandarua,hivi pale UN unaweza kuiwakilisha nchi bila ya nchi?shamte yupo pale kuiwakilisha jamhuri ya watu wa zanzibr.
Mazindu Msambule
Kwa nyinyi watanganyika sulatan ni mbaya kwa sisi wazanzibari ni mzuri tena sana sana sana kupita kipimo,
leo hii ukiwauliza wazanzibari sio wazanzibara (wazanzibara waliletwa kufanya makazi tu) nani bora awe mtawala wa zanzibar....sultan au tanganyika....basi mia fil mia watachaguwa sulatan.
sisi wazanzibari hatusikii kama ni waafrika the way u ppl think u are
Kwa ufupi tu Mazindu Msambule, sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan na hilo ninakuomba uwaambie watanganyika wenzako woooooooooote, tia magazeti kauli hiyo
Nyinyi watanganyika ni mahuluku shida tu, ugaidi wenu umo ndnai ya vyama vyenu vya siasa CCM, CDM na vitakavokuja baadae, humo ndio munamoteswa na kuuliwa huku munapiga makofi
Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% na hatutaki muungano na tanganyika
bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........
Kakojoe ukalale.
sultan alipokelewa na nyerere au kwa amri ya muengereza? tunawajuwa ambao nyerere aliwablock wasiondoke hapo dar alitaka warejee znz wakauliwe, lakini umri wao ni mrefu habari zikfika kwa muengerea wakasafirishwa.
la pili wewe mtanganyika linakuuma vipi tatizo la znz na wanzibari wenyewe wapo?
wazenji gani wasiomtaka mwarabu au unakusudia wana ccm, hao aghlabu huwa ni ndugu zenu kutoka tanganyika.
ikiwa kujenga chuo kikuu ni kipi kimejengwa na nyerere? usije ukasema cha dsm hicho kimetifishwa tu katika azimio la arusha
ona picha hii ya shahada ya skuli ya 1914 huko zanzibar na wewe tuletee ya 1914 ya tanganyika
View attachment 100098
unasema ninachuki na nyerere, huyo ni raisi wako wewe, wewe ndo unayetakiwa kumpenda au kumchukia, mim nitawependa au nitawachukia maraisi wa znz.
Sasa itabidi mulie tu au muwafuate waarabu huko uarabuni. Hao unaowaita wazanzibara ni majority na ndio waliofanya mapinduzi kujikomboa kwenu madhalimu mnaowaona wao watumwa. Walifanya busara kufanya muungano na ndugu zao waafrika wa tanganyika kwani walijua wanaishi nyumba moja na adui wenye maankal wenye kuamini wazanzibara ni watumwa.Mazindu Msambule
Kwa nyinyi watanganyika sulatan ni mbaya kwa sisi wazanzibari ni mzuri tena sana sana sana kupita kipimo,
leo hii ukiwauliza wazanzibari sio wazanzibara (wazanzibara waliletwa kufanya makazi tu) nani bora awe mtawala wa zanzibar....sultan au tanganyika....basi mia fil mia watachaguwa sulatan.
sisi wazanzibari hatusikii kama ni waafrika the way u ppl think u are
Kwa ufupi tu Mazindu Msambule, sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan na hilo ninakuomba uwaambie watanganyika wenzako woooooooooote, tia magazeti kauli hiyo
Nyinyi watanganyika ni mahuluku shida tu, ugaidi wenu umo ndnai ya vyama vyenu vya siasa CCM, CDM na vitakavokuja baadae, humo ndio munamoteswa na kuuliwa huku munapiga makofi
Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% na hatutaki muungano na tanganyika
bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........
LordJustice1
kinachoisumbuwa zanizbar ni utawala wa CCM
niniiiii waende zao huko znz kuna nn cha ajabu chakutupa presha? Watakula karafuuu zao. Kupiga kelele na watu hata nyanya na kitunguu mpaka vitoke bara si wehu huo.
Sasa itabidi mulie tu au muwafuate waarabu huko uarabuni. Hao unaowaita wazanzibara ni majority na ndio waliofanya mapinduzi kujikomboa kwenu madhalimu mnaowaona wao watumwa. Walifanya busara kufanya muungano na ndugu zao waafrika wa tanganyika kwani walijua wanaishi nyumba moja na adui wenye maankal wenye kuamini wazanzibara ni watumwa.
kumbe unasumbuliwa na uvivu unapenda hela za sultan hujui kazipata wapi? mwisho wa siku atakupiga kiliberali na kale ka-mkia kadogo.
Daaaah !............huyu jamaa vipi, mbona mi simuelewi !?