Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Ni " Crypto Jews " ,sijui kama unaelewa historia na hili neno
Ungeelewa alichomaanisha , kuna serikali zinaongozwa na vibaraka waliopachikwa ili kulinda maslahi ya wazayuni na Marekani hapo middle east na Saudi Family ni moja wapo , wale si waarabu wa asili ni mamluki waliopachikwa hapo kwa maslahi ya west alliance na makampuni yao ya mafuta , Jordan pia ni similar situation , vibaraka wasio na asili ya uarabu ila wanajiita wafalme wa kiarabu na wanatawala kwa mkono wa chuma na kulindwa na majeshi ya nchi za magharibi ili kuzima upinzani wa raia maana wanajijua hawakubaliki kwa raia na ni mamluki
Hao ' Crypto jews' ni aina nyingine ya wayahudi wenye asili ya kiarabu?

Mathanzua zitto junior
 
Mtu anakorofisha watu kisa dini ila akianza kichezea vitasa anataka msaada... Acha wamfue aje asaidiwe na allah
 
Prince wa Salman wa Saudi Arabia amesema kuwa hataki kujihusisha na mgogoro wa Palestine. Ana nchi yake na anapaswa aangalie mambo yanayohusu nchi yake.

==========

Saudi Arabia's Crown Prince Mohammed bin Salman told US Secretary of State Antony Blinken that he does not personally care about what he referred to as the "Palestinian issue", according to a report in The Atlantic.

Published on Wednesday, the report gave a picture of 11 months of Washington's negotiation efforts in the region after the outbreak of war in Gaza, citing "two dozen participants at the highest levels of government in America and across the Middle East".

It stated that during a visit to Saudi Arabia in January, Blinken and the crown prince met in the Saudi city of al-Ula to discuss the prospect of the Gulf kingdom normalising relations with Israel amid the ongoing Israeli war on Gaza.

Months earlier, Riyadh had appeared to be making progress in forming ties with Israel during US-led discussions, which were later derailed by the outbreak of war on 7 October.
If a normalisation deal were to occur, the crown prince expressed to Blinken a desire for calm in Gaza.

According to The Atlantic, Blinken enquired whether the Saudis could tolerate Israel periodically re-entering the territory to strike the besieged Gaza Strip.

“They can come back in six months, a year, but not on the back end of my signing something like this,” Mohammed bin Salman responded.

“Seventy percent of my population is younger than me,” the crown prince explained to Blinken.

“For most of them, they never really knew much about the Palestinian issue. And so they’re being introduced to it for the first time through this conflict. It’s a huge problem. Do I care personally about the Palestinian issue? I don’t, but my people do, so I need to make sure this is meaningful.”

No deal without a Palestinian state​

A Saudi official described this account of the conversation to The Atlantic as “incorrect”.

In public, Mohammed bin Salman has stated that Saudi Arabia will not normalise relations with Israel without the establishment of a Palestinian state with East Jerusalem as its capital.

"The Kingdom will not cease its diligent efforts to establish an independent Palestinian state with East Jerusalem as its capital," he said at a recent annual address before the Shura Council in Riyadh.

"We confirm that Saudi Arabia will not establish diplomatic relations with Israel until that goal is achieved."
According to The Atlantic, in return for a normalisation deal with Israel, Saudi Arabia would seek to enter into a mutual defence treaty with Washington.

That would require ratification from two-thirds of the US Senate, which the crown prince told Blinken was most likely under a Biden administration. That was partly due to a perception that US progressives may back it if a Palestinian state was built into the deal.

Mohammed bin Salman told Blinken that pursuing a normalisation deal with Israel would come at great personal cost to him. He pointed at the example of Egyptian President Anwar Sadat, who was assasinated in 1981, a few years after signing a peace accord with Israel.

“Half my advisers say that the deal is not worth the risk,” the de-facto Saudi leader said. “I could end up getting killed because of this deal.”

Polling during the early stages of the war showed that over 90 percent of Saudis believed that Arab states should cut ties with Israel.

Despite that, there has been a crackdown on acts of Palestinian solidarity in Saudi Arabia, with reports of people being detained for expressing opinions on the conflict on social media, as well as for wearing a Palestinian keffiyeh in the holy city of Mecca.

'Full support for Palestine'​

Earlier this month, Middle East Eye asked senior Saudi royal Prince Turki al-Faisal about the crackdown on Palestinian solidarity in the kingdom.

“I haven’t felt myself any restrictions on my expressions of support for Palestine in Saudi Arabia, nor have I seen any particular reporting on that,” he responded. “Except perhaps in some publications that are not friendly to Saudi Arabia.

“But what I see of the Saudi press, whether written or on television or in social media, is full support for Palestine and no restriction on expressing support for Palestinians.”

Prince Turki said that while he was not privy to official discussions, the chances of normalisation at present were slim due to Israel’s stance on Palestinian statehood.

“The whole [Israeli] government is saying no Palestinian state. So how can there be normalisation between us and them with those positions in place?”

Prince Turki also dismissed speculation that Hamas may have carried out its surprise attack on southern Israel - which killed around 1,140 people - in order to torpedo Saudi-Israel normalisation.

"For Hamas to have done what it did, it would have required [time] to prepare for it,” he said. “At least a couple of years to gather the human and material resources to launch a campaign like that.”
He is a snake in the grass
 
Hizi story za "Islam ndugu yake Islam" ipo huku nchi masikini; wengine wana angalia maslahi ya nchi zao kwanza then mengine ndio yanafata
Hivi iliishia wapi si Sheikh gani sijui wa misikiti wa huko Dar alitaka kuitisha maandamano ya kuwa support Hamas?
 
Hivi iliishia wapi si Sheikh gani sijui wa misikiti wa huko Dar alitaka kuitisha maandamano ya kuwa support Hamas?
Imagine mtu na akili zake kabisa ana support ugaidi; same person hawezo kuandaa maandamano ya kumdhibiti PK asiendelee kuua Wacongo. Vita vya Congo vinatuathiri Watanzania direct cause hatuwezi kufanya biashara na Congo and hence vina athiri uchumi wetu but again tunajikuta tunaanza kupokea wakimbizi wengi nchini mwetu. Wapalestina wana tuathiri nini Watanzania? Hilo moja, la Pili ni hili, Sudan, Somalia wanauana kila mara; huyo sheikh halimuumi hilo cause wale ni Waislamu watu? Stupid.
 
Ni " Crypto Jews " ,sijui kama unaelewa historia na hili neno
Ungeelewa alichomaanisha , kuna serikali zinaongozwa na vibaraka waliopachikwa ili kulinda maslahi ya wazayuni na Marekani hapo middle east na Saudi Family ni moja wapo , wale si waarabu wa asili ni mamluki waliopachikwa hapo kwa maslahi ya west alliance na makampuni yao ya mafuta , Jordan pia ni similar situation , vibaraka wasio na asili ya uarabu ila wanajiita wafalme wa kiarabu na wanatawala kwa mkono wa chuma na kulindwa na majeshi ya nchi za magharibi ili kuzima upinzani wa raia maana wanajijua hawakubaliki kwa raia na ni mamluki
Acha uongo wewe. Kumbe hata "Crypto Jews" hauwajui halafu unata kulisha watu uongo. Watu wakiamua kujitambua na kufuata njia zao mnaanza kuwabatiza majina.

Haya, badala ya kujifanya mnapigania Msikiti wa pale Jerusalem ambao upo sehemu ambayo haina asili ya dini ya kiislam kwanini wasiende kupigania misikiti ya Medina na Mecca inayoongozwa na hao mnaowasema hawana uislam wala uarabu bali wamewekwa na west kwa interests za west.

Waislam wameanza kwenda kuhiji Makka na Madinna tangu miaka mingi sana iliyopita na mafuta yalivumbuliwa mwaka 1938. Kipindi chote hicho Saud ilikuwa ni jangwa tu, mlitaka ibaki kuwa jangwa kisa?

Watafiti na wavumbuzi wa mafuta waliamua kushirikiana na wahusika wenye hizo rasilimali ambapo kwa sheria na taratibu za pale huwa zipo chini ya mfalme, shida ipo wapi?
Kwako Mwarabu ni yupi?
 
Huu upuuzi wa kuponda dini na imani za watu ,ni ushenzi na ukosefu wa akili na maadili + busara .....
Upo sahihi
Mimi ni mkristo ila kuna wakristo feki humu wanaojiona wamekunywa maji ya msalaba kuliko wengine , mna guts za kutukana dini ya kiislamu
Labda kama wewe ni mgeni humu na mitaani huko. Kuna watu wamekuwa victimized kwa imani yao kama wakristo? Hata humu wakristo wameona ili kwenda sawa inabidi wajifyatue akili. Ndiyo maana humu kumechangamoa siku hizi.
kisa ushabiki wa hao mashoga zenu mnaowaabudu huko kwenye makanisa feki yenu kwa ujinga wenu wa kutoijua injili na Bible kiundani .
Wapumbavu wakubwa ,grow up !
Ona, umerudia kilekile ambacho umetoka kukikemea, it's obvious umeenda kuvaa ID nyingine ili ulete maigizo. Kama uliamua kukemea tabia, basi ungeonyesha consistency, lakini umetoka kukemea halafu hatua mbili mbele na wewe unaleta matusi yaleyale unayoyatoa kupitoa ID nyingine.
 
Imagine mtu na akili zake kabisa ana support ugaidi; same person hawezo kuandaa maandamano ya kumdhibiti PK asiendelee kuua Wacongo. Vita vya Congo vinatuathiri Watanzania direct cause hatuwezi kufanya biashara na Congo and hence vina athiri uchumi wetu but again tunajikuta tunaanza kupokea wakimbizi wengi nchini mwetu. Wapalestina wana tuathiri nini Watanzania? Hilo moja, la Pili ni hili, Sudan, Somalia wanauana kila mara; huyo sheikh halimuumi hilo cause wale ni Waislamu watu? Stupid.
Very stupid in deed. Imagine Hezbollah ina faida gani chini ya jua.
 
Saudi yote inalindwa na Marekani isingekuwa hivyo Saddam Hussain alikuwa anataka kukunyaga na kuweka kambi Riyadh. US=Mayahudi. Akili mtu wangu
Na umesahai Mmarekani anauza silaha Saudi ilikummaliza Houthi asisumbue ukande ule kumbuka saudi intelligence yake bado changa sana na houthi mfadhili wake iran kumbuka saudi na irani hawaelewani manake houthi anashambalia sana visima vya mafuta vya saudia
 
Acheni upuuzi huo uonevu kama Israel angekua haufanyi kwa watu wa gaza na palestine yote kwa ujumla kunagekua hakuna kelele watu kuwakuta kwenye ardhi yao aharibu mashamba yao na kuwafukuzi majumbani kawao alafu akae kimya na alikijilinda aitwe gaidi na majina mabaya? Mtasema sana lakini unyonge kwa waislam haupo ni either ufe lakini haki yako sio ya kumuachia mtu pale watapigana tu kwa miaka mingi hata kama ni hawana teknolojia na silaha kubwa kubwa imani ya na moyo wao vinatosha kuchukia udhalimu wa west. Wamechagua kufia pale kwao huo ndio uzalendo wa kweli
 
Saudi Arabia gave a big shock to Muslims!

Saudi Arabia's Crown Prince Mohammed bin Salman has made a big statement against Palestine!

"I don't care about the Palestinian issues; I don't care about Palestine."

Mecca and Medina are not a place for politics, we will not allow any activity in support of Palestine here.

We have completely banned putting up any posters or offering prayers in support of Palestine.

PIA SOMA
- Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu
 
hongera sn salman ww ni akiliz kubwaz.....ayatola anaishi kwa mahandaki kama panya buku huku akisubiri zawadi toka kwa nyahuu
FB_IMG_1728559936503.jpg
 
Saudi Arabia gave a big shock to Muslims!

Saudi Arabia's Crown Prince Mohammed bin Salman has made a big statement against Palestine!

"I don't care about the Palestinian issues; I don't care about Palestine."

Mecca and Medina are not a place for politics, we will not allow any activity in support of Palestine here.

We have completely banned putting up any posters or offering prayers in support of Palestine.

PIA SOMA
- Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu
USA walihakikisha hii familia inashida madaraka na inadumu milele kwa masalahi ya USA and his allies
 
Back
Top Bottom